Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Alikuwa anasoma Magogoni[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] warumi acha dhihaka...lulu na diploma lini hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anasoma Magogoni[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] warumi acha dhihaka...lulu na diploma lini hiyo?
Unaweza ukawa sahihi. Lakini kuna maandiko uwe unaenda nayo mstari kwa mstari na neno kwa neno. Laa sivyo, utaingia chaka la kenge mkuu.alisoma kweli TPSC....
alifanya diploma ya human resources alianzia cheti.... alisoma na dogo wa braza angu pale
niko makini mkuu.... mimi ni mamba chaka la kenge siwez kuingia kabisaUnaweza ukawa sahihi. Lakini kuna maandiko uwe unaenda nayo mstari kwa mstari na neno kwa neno. Laa sivyo, utaingia chaka la kenge mkuu.
Mimi kama lecturer wa pale ifm nitahakikisha lazima nimtie kupitia somo langu
Pole nyingi sana kwa bwana majizo
unafikiri kisa lecture unaweza mtia mtoto wa tajiri au mke wa tajiri.. kisa unamfundisha?
unaweza kumtia tu moyo wake ukupende aamue kukupa... ila sio kwa ushawishi wowote?
shigongo anasoma tumaini university mwaka wa kwanza.. chuo anakuja na range rover.. walimu wanapaki vi spacio.. yeye kajiajiri na walimu wameajiriwa.. wanajichekesha tu darasani kila dakika blaza shigongo hebu fafanua hii kwa uhalisia ili wanafunzi wenzako waelewe
Jela na vituo vya starehe pia vinatoa elimu ya maisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu mtoto kasoma Diploma lini?
Mlioko Daslam majibu Tafadhali...
Dada wa taifaHuyo anaejalidiwa ndio nani kwani...[emoji30][emoji30]
Anasema kozi gani mkuu?unafikiri kisa lecture unaweza mtia mtoto wa tajiri au mke wa tajiri.. kisa unamfundisha?
unaweza kumtia tu moyo wake ukupende aamue kukupa... ila sio kwa ushawishi wowote?
shigongo anasoma tumaini university mwaka wa kwanza.. chuo anakuja na range rover.. walimu wanapaki vi spacio.. yeye kajiajiri na walimu wameajiriwa.. wanajichekesha tu darasani kila dakika blaza shigongo hebu fafanua hii kwa uhalisia ili wanafunzi wenzako waelewe
We jamaa si upo pentagon????Mimi kama lecturer wa pale ifm nitahakikisha lazima nimtie kupitia somo langu
Pole nyingi sana kwa bwana majizo
Basi sawa...[emoji30][emoji30]Dada wa taifa
Amesoma magogoni tulikua nae paleHuyu mtoto kasoma Diploma lini?
Mlioko Daslam majibu Tafadhali...