Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Tatizo hawa wanawake nyakati zao zikipita ndo basi. Wakati niko shule ya msingi nilikuwa nikiona sura ya Odemba kwenye tangazo la lotion nilikuwa nasisimka... nyakati hizohizo akatokea Hoyce Temu ikawa balaa. Nikiwa sekondari O - level ndo ikawa enzi za kina Nora, Sinta, Fiderine Iranga na Kajala. Tamaa yangu ikawaka sana juu yao. A - level nilikuwa bize sana na ndo ilikua Mr Blue kaanza kuvuma. Nikiwa Chuo ndo wakaibuka kina Wema, Uwoya na Kidoti.... katika maisha yangu nilijiambia kama kumtafuna Uwoya itanipeleka motoni acha niende tu. Yule mwanamke kwenye enzi zake alinivuruga mno. Kidoti hajawahi kunivuruga sana kwa sababu ya ukosefu wa chura. Kwa huu wakati tuliopo tamaa yangu iliwaka kwa yule socialite Sanchoka ila siku nimemwona mama yake LIVE ikabidi nitengue tamaa zangu na kutafakari upya.... yule mama enzi za ujana wake nadhani wazee walipambana sana kumpata.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hivi kuna Queen Masanja ex wa Dr Mwaka ni hatari yule mama mzuri mpaka kucha
 
Wazee wengine unakuta wana ulimbukeni na kushika fedha nyingi kwa mara moja (Pension) ndiyo hujikuta wanaangukia humo.

Nashukuru Mungu, nilianza kushika vihela baada ya kuanza form V maana ile likizo ya kusubiri matokeo ya kidato cha IV niliitumia kuwekeza.

Shukrani kwa appreciation zako Mkuu
Hivi huwa uko serious kusema we ni mzee, hakika mi najuaga ni chai tu za humu unatuuzia!
 
Labda uwe na matatizo ya kiafya hasa ya akili ndo hutamuelewa Mama Sanchi. Mungu aliumba dunia na viumbe vyake halafu akamuumba Mama Sanchi.
It is literally the other way around
IMG_20230806_151921.jpg
 
Aaaah Mkuu kuwa serious kidogo, hilo dudu la yuyu umeliona kwa macho yako?
Nakumbuka kwa macho yangu nilimshuhudia Salama...

Walitoka back stage na late Ngwair ....

Wakiwa wameongozana walikuja kwenye table niliyokuwepo....

ilikua Fiesta 2009 ilifanyika peninsula beach musoma... Kipindi Ile nilikua na visenti si haba .....

Nakumbuka walikuja kwenye tabe ya pamoja nikiwa muagizaji mkuu alikuwa hatumii kilevi ila tuligongana nae toilet....

kipindi naenda kulimwaga kojo nikiwa stimu, pembeni nina Wana(wapambe)....

Nikaingia ghafla kwenye toilet ya kike, na nikamshudia live akiwa anafunga zipi ya suruali...!

Aliniita chemba na kunisihi sana, nilichokiona nikihifadhi tu moyoni...

Ndio mara ya kwanza kumuona salama anatoa machozi!..

Nilimuhurumia mnoo!.... akanieleza kwa hisia za majonzi madhila anayopitia...

Ndio maana anaamua kuwa vile watu wanavyomuona...

Na Mimi nilikausha kiume tangu kipindi Ile hadi leo hii ndio nimefunguka kwenye hii post ...

Ili kukazia ukweli ninaoujua na nilioushuhudia kwa macho yangu mawili!.
 
Back
Top Bottom