whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,161
- 2,454
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anahela aseme Vijana wampe connection.Grahams anajua ngoja atusaidie.
Hilo lilikuwa dau la kipindi kile cha Magu, sijui miaka hii ya Mama kufungua Nchi, usikute likapanda.Sasa kuhusu laki 7 kwangu sio tatizo sasa nampata wapi huyo?
Salama aliwahi kuwa demu wa fid q .unataka sema fid q ni ????Halooo!.... Movie nzima nimevutiwa na scene 2 tu...
Eti kwambaa!?...
Majizo anapakuliwa!
Lulu anasagwa na salama!
Kuhusu lulu kusagwa, ni haki yake yuko sahihi!... Kwasababu wanaume tumepungua sana sikuhizi!
Halafu salama(hizi ni zandani kabisa!) Ana dudu! (Dushelele, Shedede!) Ni Shemale!....
Hata madam rittah nae... Salama (anampakua!)...ni basha wake!
Shukrani Mkuu.Pesheni 😁😁 imeleta balaa sana Ila endelea kutupa nasaha kama hizi
Pamoja sana mkuu
Nadhani ninahitaji kuwa na stress zaidi ili nizidi kuwapenda hawa viumbe.It is literally the other way aroundView attachment 2845283
Wajinga wale nao watu wazima wameshindwa hata kuzaa mtoto mmoja mmoja? Yule wa kike ndio basi tena.Inatia sana hasira japo watoto hawakukaa kidhembe japo kukosa kwao watoto nako ni tatizo kiasi mali lazma zihame kwenda familia zingine
Nakumbuka kwa macho yangu nilimshuhudia Salama...
Walitoka back stage na late Ngwair ....
Wakiwa wameongozana walikuja kwenye table niliyokuwepo....
ilikua Fiesta 2009 ilifanyika peninsula beach musoma... Kipindi Ile nilikua na visenti si haba .....
Nakumbuka walikuja kwenye tabe ya pamoja nikiwa muagizaji mkuu alikuwa hatumii kilevi ila tuligongana nae toilet....
kipindi naenda kulimwaga kojo nikiwa stimu, pembeni nina Wana(wapambe)....
Nikaingia ghafla kwenye toilet ya kike, na nikamshudia live akiwa anafunga zipi ya suruali...!
Aliniita chemba na kunisihi sana, nilichokiona nikihifadhi tu moyoni...
Ndio mara ya kwanza kumuona salama anatoa machozi!..
Nilimuhurumia mnoo!.... akanieleza kwa hisia za majonzi madhila anayopitia...
Ndio maana anaamua kuwa vile watu wanavyomuona...
Na Mimi nilikausha kiume tangu kipindi Ile hadi leo hii ndio nimefunguka kwenye hii post ...
Ili kukazia ukweli ninaoujua na nilioushuhudia kwa macho yangu mawili!.
Salama aliwahi kuwa demu wa fid q .unataka sema fid q ni ????
Hivi ninyi mnaopenda mizigo ni kwamba huwa hamuangalii kabisa sura, mfano hata mwanamke akiwa na sura mbaya yani ile objective ugliness ila as long as ana mzigo, ninyi mnamuona mzuri na mnavutiwa naye tu siyoNadhani ninahitaji kuwa na stress zaidi ili nizidi kuwapenda hawa viumbe.
Mkuu! Nimeogopa hadi nakosa la kusema!Nakumbuka kwa macho yangu nilimshuhudia Salama...
Walitoka back stage na late Ngwair ....
Wakiwa wameongozana walikuja kwenye table niliyokuwepo....
ilikua Fiesta 2009 ilifanyika peninsula beach musoma... Kipindi Ile nilikua na visenti si haba .....
Nakumbuka walikuja kwenye tabe ya pamoja nikiwa muagizaji mkuu alikuwa hatumii kilevi ila tuligongana nae toilet....
kipindi naenda kulimwaga kojo nikiwa stimu, pembeni nina Wana(wapambe)....
Nikaingia ghafla kwenye toilet ya kike, na nikamshudia live akiwa anafunga zipi ya suruali...!
Aliniita chemba na kunisihi sana, nilichokiona nikihifadhi tu moyoni...
Ndio mara ya kwanza kumuona salama anatoa machozi!..
Nilimuhurumia mnoo!.... akanieleza kwa hisia za majonzi madhila anayopitia...
Ndio maana anaamua kuwa vile watu wanavyomuona...
Na Mimi nilikausha kiume tangu kipindi Ile hadi leo hii ndio nimefunguka kwenye hii post ...
Ili kukazia ukweli ninaoujua na nilioushuhudia kwa macho yangu mawili!.
Sasa wewe kupanda nae ndege ulijuaje kama katoka kupeleka tunda kwa jamaa jamani? 🤣🤣Kama anahela aseme Vijana wampe connection.
Uzuri wake ukiwa na hela, anaweza kukufuata mahali ulipo.
Miaka miwili nyuma dau la Uwoya ilikuwa 1.5M sijui kwasasa, Japo mwanzoni mwa mwaka huu nilipanda naye ndege akitokea kumpelekea Tunda jamaa mmoja Mchimbaji wa Dhahabu sehemu fulani.