Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari Mkuu, ilikuwa experience nzuri sana nyakati zile 🤗Hahaha
Hali ya upandaji wa dollar dhidi ya shilingi huchangia pia hao wajasiriamali kupandisha gharama zao.🤣🤣🤣🤣🤣 Dah nimecheka sana!
Kumbe dau huwa linapanda na kushuka kama bei ya mafuta? Aiseee 🙌🏾🙌🏾
Unamuongelea Cassandra au 😅😅😅😅Tena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.
Halafu unakuwaga na ubuyu wewe? Wala sikuwa nikifahamu kama huyu kistuli anasagwa na Mzee Mdee, duh!Kwahiyo Salama anamkojolea Lulu? Nasikia nae mcovid 19 kiongozi anakasaga hatari. Ila mjini hapa aisee yani kuna dem mkovid 19 kiongozi alimuhonga ist ili tu amsage tena dem ndo alikuwa anafanya kudai kwa kudeka
Bahati nzuri nimekuwa nafanya Shughuli zangu kule, kwahiyo nafahamu kinachoendelea. Hata huyo Bottemo, I once met her kwenye Air Tanzania akitokea kule.Sasa wewe kupanda nae ndege ulijuaje kama katoka kupeleka tunda kwa jamaa jamani? 🤣🤣
Kwamba mapenzi yao yanazidi ya George Mpoji na Amanda? Huku mshikaji wao wa karibu Jeff akiwa shahidi wa kila hatua?View attachment 2844883View attachment 2844884Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!
Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.
Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!
Basi… ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!
PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!
Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!
Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!
ACHANA NA SALAMA…
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!
ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NG’OMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba “Catch the flight not the feelings “?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.
ALI KIBA NDIO ZAIDI
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!
Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!
Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindi…
Wasalaam,
Nifah.
Kwahiyo kama mdau inabidi ufuatilie kujua bei elekezi kwa wakati husika? 🤣🤣🙌🏾Hali ya upandaji wa dollar dhidi ya shilingi huchangia pia hao wajasiriamali kupandisha gharama zao.
Ila enzi za Magu gharama zilishuka maradufu sio kama saivi 🤗
Kabisa ukienda kichwa kichwa lazima wakupige parefu kupata huduma yao 🤗Kwahiyo kama mdau inabidi ufuatilie kujua bei elekezi kwa wakati husika? 🤣🤣🙌🏾
Hivi unajua wewe ndio umenifumbua akili? Kumbe ni Nambua?Unamuongelea Cassandra au 😅😅😅😅
Halafu kweli mtoto kafanana na kaka mtu
Ila wale kwao wanafanana sana
LukulediJamaa katoka Lukuledi jana, hajui maisha ya mjini.
Leo umenifurahisha sana, tafadhali usiwe unakosekana kwenye thread zangu za ubuyu maana leo umeupiga mwingi sana.Kabisa ukienda kichwa kichwa lazima wakupige parefu kupata huduma yao 🤗
Wanunuzi/watu ambao wanaweza kumwaga hela kwa ajili ya K au tako KUBWABahati nzuri nimekuwa nafanya Shughuli zangu kule, kwahiyo nafahamu kinachoendelea. Hata huyo Bottemo, I once met her kwenye Air Tanzania akitokea kule.
Sio mara moja ama mbili nakutana na Slay queen maeneo yale. Mara nyingi ukipanda ndege ya Jumatatu asubuhi unakuta wanarudi Dsm na Ijumaa ndiyo huwa wanaenda.
Wale wachimbaji hawaoni kazi kumwaga hela, Imagine gharama ya ticket ya ndege to and from pamoja na mshiko wake.
Uzee unakuja na mambo mengi Mkuu, najua akimaliza kusalimia Wajukuu huko Mjini atarudi kuni-join but for now naondoa stress na JF.Leo umenifurahisha sana, tafadhali usiwe unakosekana kwenye thread zangu za ubuyu maana leo umeupiga mwingi sana.
Unaonekana una vituko sana, mama anafeli wapi asitulie nyumbani mfurahie maisha jamani?
Uko sahihi MkuuWanunuzi/watu ambao wanaweza kumwaga hela kwa ajili ya K au tako KUBWA
1. Wachimbaji madini
2. Wauza ngada
3. Wanasiasa
4. Watu waliopata pesa nyingi za ghafla kwenye ajira, utapeli, biashara, mirathi, fidia, pensheni, kuuza viwanja/nyumba e.t.c
Hayo makundi ni ndio wateja sana, na ndio wanacontrol bei elekezi ya soko. Hao watu wakiwa wachache ndio bei elekezi inashuka. Wakiwa wengi na binti akiwa mzuri mwenye tako kubwa. Bei inashoot mpaka 3m per night 🤣. Kuna kaewura fulani hivi kanakopanga bei elekezi 🤣
Kuna dogo alipata mgao wa mirathi 30m+. Pesa aliyeyushia Dar na Dubai na maslayqueen wa Instagram wenye misambwanda. Kaishiwa na sasa kajificha kwa dada yake 🤣Uko sahihi Mkuu
Kuna jamaa alipata 200M mwezi Juni mwaka huu, alipanga apartment na kuanza kuwala hao Slay queens mmoja baada ya mwingine.
Hakuchukua round mzigo ukawa umeisha, saivi amerudi kuchimba tena. Anajiapiza akizipata tena lazima ampate Chuzu, sijui kama atafanikiwa kumpata maana Chibu anamlinda sana yule binti
So wakina fid q walikuwa wana mpakuaHalooo!.... Movie nzima nimevutiwa na scene 2 tu...
Eti kwambaa!?...
Majizo anapakuliwa!
Lulu anasagwa na salama!
Kuhusu lulu kusagwa, ni haki yake yuko sahihi!... Kwasababu wanaume tumepungua sana sikuhizi!
Halafu salama(hizi ni zandani kabisa!) Ana dudu! (Dushelele, Shedede!) Ni Shemale!....
Hata madam rittah nae... Salama (anampakua!)...ni basha wake!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dash! Umenichekesha sana.Mbona siwajui hao? Kama nimewahi kuwasikia ila siwajui.