Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Kwahiyo Salama anamkojolea Lulu? Nasikia nae mcovid 19 kiongozi anakasaga hatari. Ila mjini hapa aisee yani kuna dem mkovid 19 kiongozi alimuhonga ist ili tu amsage tena dem ndo alikuwa anafanya kudai kwa kudeka
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Dah nimecheka sana!
Kumbe dau huwa linapanda na kushuka kama bei ya mafuta? Aiseee 🙌🏾🙌🏾
Hali ya upandaji wa dollar dhidi ya shilingi huchangia pia hao wajasiriamali kupandisha gharama zao.

Ila enzi za Magu gharama zilishuka maradufu sio kama saivi 🤗
 
Tena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.
Unamuongelea Cassandra au 😅😅😅😅
Halafu kweli mtoto kafanana na kaka mtu
Ila wale kwao wanafanana sana
 
Kwahiyo Salama anamkojolea Lulu? Nasikia nae mcovid 19 kiongozi anakasaga hatari. Ila mjini hapa aisee yani kuna dem mkovid 19 kiongozi alimuhonga ist ili tu amsage tena dem ndo alikuwa anafanya kudai kwa kudeka
Halafu unakuwaga na ubuyu wewe? Wala sikuwa nikifahamu kama huyu kistuli anasagwa na Mzee Mdee, duh!
 
Sasa wewe kupanda nae ndege ulijuaje kama katoka kupeleka tunda kwa jamaa jamani? 🤣🤣
Bahati nzuri nimekuwa nafanya Shughuli zangu kule, kwahiyo nafahamu kinachoendelea. Hata huyo Bottemo, I once met her kwenye Air Tanzania akitokea kule.

Sio mara moja ama mbili nakutana na Slay queen maeneo yale. Mara nyingi ukipanda ndege ya Jumatatu asubuhi unakuta wanarudi Dsm na Ijumaa ndiyo huwa wanaenda.

Wale wachimbaji hawaoni kazi kumwaga hela, Imagine gharama ya ticket ya ndege to and from pamoja na mshiko wake.
 
View attachment 2844883View attachment 2844884Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!

Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.

Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!

Basi… ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!

PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!

Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!

Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!

ACHANA NA SALAMA…
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!

ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NG’OMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba “Catch the flight not the feelings “?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.

ALI KIBA NDIO ZAIDI
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!

Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindi…

Wasalaam,

Nifah.
Kwamba mapenzi yao yanazidi ya George Mpoji na Amanda? Huku mshikaji wao wa karibu Jeff akiwa shahidi wa kila hatua?
 
Hali ya upandaji wa dollar dhidi ya shilingi huchangia pia hao wajasiriamali kupandisha gharama zao.

Ila enzi za Magu gharama zilishuka maradufu sio kama saivi 🤗
Kwahiyo kama mdau inabidi ufuatilie kujua bei elekezi kwa wakati husika? 🤣🤣🙌🏾
 
Unamuongelea Cassandra au 😅😅😅😅
Halafu kweli mtoto kafanana na kaka mtu
Ila wale kwao wanafanana sana
Hivi unajua wewe ndio umenifumbua akili? Kumbe ni Nambua?
Jamani jamani!
Na hizi lingerie za Nacharo ni za kwake? Haki sijui mengi kumbe? Loh 🙌🏾🙌🏾

Huu ndio uzuri wa thread ya umbea, unatoa na kupokea umbea mpya.
 
Kabisa ukienda kichwa kichwa lazima wakupige parefu kupata huduma yao 🤗
Leo umenifurahisha sana, tafadhali usiwe unakosekana kwenye thread zangu za ubuyu maana leo umeupiga mwingi sana.

Unaonekana una vituko sana, mama anafeli wapi asitulie nyumbani mfurahie maisha jamani?
 
Bahati nzuri nimekuwa nafanya Shughuli zangu kule, kwahiyo nafahamu kinachoendelea. Hata huyo Bottemo, I once met her kwenye Air Tanzania akitokea kule.

Sio mara moja ama mbili nakutana na Slay queen maeneo yale. Mara nyingi ukipanda ndege ya Jumatatu asubuhi unakuta wanarudi Dsm na Ijumaa ndiyo huwa wanaenda.

Wale wachimbaji hawaoni kazi kumwaga hela, Imagine gharama ya ticket ya ndege to and from pamoja na mshiko wake.
Wanunuzi/watu ambao wanaweza kumwaga hela kwa ajili ya K au tako KUBWA
1. Wachimbaji madini
2. Wauza ngada
3. Wanasiasa
4. Watu waliopata pesa nyingi za ghafla kwenye ajira, utapeli, biashara, mirathi, fidia, pensheni, kuuza viwanja/nyumba e.t.c


Hayo makundi ni ndio wateja sana, na ndio wanacontrol bei elekezi ya soko. Hao watu wakiwa wachache ndio bei elekezi inashuka. Wakiwa wengi na binti akiwa mzuri mwenye tako kubwa. Bei inashoot mpaka 3m per night 🤣. Kuna kaewura fulani hivi kanakopanga bei elekezi 🤣
 
Leo umenifurahisha sana, tafadhali usiwe unakosekana kwenye thread zangu za ubuyu maana leo umeupiga mwingi sana.

Unaonekana una vituko sana, mama anafeli wapi asitulie nyumbani mfurahie maisha jamani?
Uzee unakuja na mambo mengi Mkuu, najua akimaliza kusalimia Wajukuu huko Mjini atarudi kuni-join but for now naondoa stress na JF.

Thanks for your Compliment, nikipata wasaa nami nitawa-join nitakapoona taarifa za kuwasili Ubuyu moto moto kutoka Jikoni kwako.

See you there
 
Watu wanaingia Hadi vyumbani na kuangalia watu wanavyo t!@an@. Hadi wanapata hizi taarifa.
 
Wanunuzi/watu ambao wanaweza kumwaga hela kwa ajili ya K au tako KUBWA
1. Wachimbaji madini
2. Wauza ngada
3. Wanasiasa
4. Watu waliopata pesa nyingi za ghafla kwenye ajira, utapeli, biashara, mirathi, fidia, pensheni, kuuza viwanja/nyumba e.t.c


Hayo makundi ni ndio wateja sana, na ndio wanacontrol bei elekezi ya soko. Hao watu wakiwa wachache ndio bei elekezi inashuka. Wakiwa wengi na binti akiwa mzuri mwenye tako kubwa. Bei inashoot mpaka 3m per night 🤣. Kuna kaewura fulani hivi kanakopanga bei elekezi 🤣
Uko sahihi Mkuu

Kuna jamaa alipata 200M mwezi Juni mwaka huu, alipanga apartment na kuanza kuwala hao Slay queens mmoja baada ya mwingine.

Hakuchukua round mzigo ukawa umeisha, saivi amerudi kuchimba tena. Anajiapiza akizipata tena lazima ampate Chuzu, sijui kama atafanikiwa kumpata maana Chibu anamlinda sana yule binti
 
Uko sahihi Mkuu

Kuna jamaa alipata 200M mwezi Juni mwaka huu, alipanga apartment na kuanza kuwala hao Slay queens mmoja baada ya mwingine.

Hakuchukua round mzigo ukawa umeisha, saivi amerudi kuchimba tena. Anajiapiza akizipata tena lazima ampate Chuzu, sijui kama atafanikiwa kumpata maana Chibu anamlinda sana yule binti
Kuna dogo alipata mgao wa mirathi 30m+. Pesa aliyeyushia Dar na Dubai na maslayqueen wa Instagram wenye misambwanda. Kaishiwa na sasa kajificha kwa dada yake 🤣

Pesa+upwiru=0
 
Halooo!.... Movie nzima nimevutiwa na scene 2 tu...

Eti kwambaa!?...
Majizo anapakuliwa!
Lulu anasagwa na salama!


Kuhusu lulu kusagwa, ni haki yake yuko sahihi!... Kwasababu wanaume tumepungua sana sikuhizi!

Halafu salama(hizi ni zandani kabisa!) Ana dudu! (Dushelele, Shedede!) Ni Shemale!....

Hata madam rittah nae... Salama (anampakua!)...ni basha wake!
So wakina fid q walikuwa wana mpakua
 
Mbona siwajui hao? Kama nimewahi kuwasikia ila siwajui.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dash! Umenichekesha sana.
Huwajui George Mpoji na Amanda?
Jeff mshauri na mshikaji wao wa karibu?

Itakuwa bado wewe ni under 23.
Ila hawa wana mapenzi yalikuwa moto haijawahi tokea. Waulizie wajanja wa enzi hizo watakuambia.
 
Back
Top Bottom