Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dash! Umenichekesha sana.
Huwajui George Mpoji na Amanda?
Jeff mshauri na mshikaji wao wa karibu?

Itakuwa bado wewe ni under 23.
Ila hawa wana mapenzi yalikuwa moto haijawahi tokea. Waulizie wajanja wa enzi hizo watakuambia.
Wala mimi sio mdogo hivyo, mtu mzima ila siwajui hao nahisi huo ni ubuyu wa wahenga zaidi maana nisingekosa kuujua kama ulikuwa hot hata kama ni enzi nakua.

Ungesema walau kidogo, mbona watu mnakuwa wachoyo jamani wakati mimi nawapa maubuyu for free?
 
Kuna dogo alipata mgao wa mirathi 30m+. Pesa aliyeyushia Dar na Dubai na maslayqueen wa Instagram wenye misambwanda. Kaishiwa na sasa kajificha kwa dada yake 🤣

Pesa+upwiru=0
Hatari sana Mkuu

Bora kuplay low

After all Ukienda Uzaramoni kule unajikamatia vigoli vyako Cheap na mambo wanajua kuliko hao Slay queens ambao ukiachana na kufuga Kucha ndefu hakuna Kitu wanaweza kwa bed.

Sio kutest mic one check ama Kumwaga Mauno ya Mkoleni, kote ni zero tu afu unakuta umetumia hela nyingi kumpata
 
Hivi unajua wewe ndio umenifumbua akili? Kumbe ni Nambua?
Jamani jamani!
Na hizi lingerie za Nacharo ni za kwake? Haki sijui mengi kumbe? Loh 🙌🏾🙌🏾

Huu ndio uzuri wa thread ya umbea, unatoa na kupokea umbea mpya.
Nacharo ni mwingine
Ndiyo huyo Nambua hv inaweza kuwa kweli zile mbegu za kaka mtu au ya walimwengu tu
 
Hatari sana Mkuu

Bora kuplay low

After all Ukienda Uzaramoni kule unajikamatia vigoli vyako Cheap na mambo wanajua kuliko hao Slay queens ambao ukiachana na kufuga Kucha ndefu hakuna Kitu wanaweza kwa bed.

Sio kutest mic one check ama Kumwaga Mauno ya Mkoleni, kote ni zero tu afu unakuta umetumia hela nyingi kumpata
Babu umechachukaaaa
 
Hatari sana Mkuu

Bora kuplay low

After all Ukienda Uzaramoni kule unajikamatia vigoli vyako Cheap na mambo wanajua kuliko hao Slay queens ambao ukiachana na kufuga Kucha ndefu hakuna Kitu wanaweza kwa bed.

Sio kutest mic one check ama Kumwaga Mauno ya Mkoleni, kote ni zero tu afu unakuta umetumia hela nyingi kumpata
Kuna kitu kinaitwa fantasy. Kila siku ushazoea kumuona slayqueen na tako lake akilipost Instagram, Facebook, YouTube, kwenye Tv. Unakuwa na matamanio ya hali ya juu, unakaa unawaza uko unapiga doggy huku tako KUBWA limepakwa wese,linatetemeka. Unakuwa nusu chizi, unatafuta pesa kwa nguvu ili kutimiza fantasy hizo. Pesa ukizipata sasa .......ndio mtu unamwaga hela kama atm mbovu isiyo na password 🤣. Mpaka hela iishe ndio akili inarudi 🤣
 
View attachment 2844883View attachment 2844884Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!

Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.

Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!

Basi… ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!

PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!

Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!

Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!

ACHANA NA SALAMA…
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!

ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NG’OMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba “Catch the flight not the feelings “?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.

ALI KIBA NDIO ZAIDI
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!

Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindi…

Wasalaam,

Nifah.
Khanifah, it seems you are good at everything you do, hongera sana.
 
Wala mimi sio mdogo hivyo, mtu mzima ila siwajui hao nahisi huo ni ubuyu wa wahenga zaidi maana nisingekosa kuujua kama ulikuwa hot hata kama ni enzi nakua.

Ungesema walau kidogo, mbona watu mnakuwa wachoyo jamani wakati mimi nawapa maubuyu for free?
Kipindi hicho sasa huu muda wa maongezi kupitia simu ilikuwa ni kwa kukwangua karatasi (hakuna kuunga bundle wala soft),sasa hizo karatasi tulikuwa tunaziita dollar,mfano ilikuwa inaanzia dollar 1,2, 5 ...sasa hawa wapenzi muda mwingi walikuwa wakitembelea sana Magomeni Morocco na maeneo mengine.

Hawa watu mmoja alikuwa akinunua dollar lazima amnunulie mwingine na lazima Jeff pia atanunuliwa dollar ili naye akaweke kwenye kimobitel chake na watsmpelekea popote alipo hata Getto watapeleka.

Muda woote walikuwa pamoja kwa umoja.
Ngoja wengine watakumalizia yaliyo baki binti.
 
Kuna kitu kinaitwa fantasy. Kila siku ushazoea kumuona slayqueen na tako lake akilipost Instagram, Facebook, YouTube, kwenye Tv. Unakuwa na matamanio ya hali ya juu, unakaa unawaza uko unapiga doggy huku tako KUBWA limepakwa wese,linatetemeka. Unakuwa nusu chizi, unatafuta pesa kwa nguvu ili kutimiza fantasy hizo. Pesa ukizipata sasa .......ndio mtu unamwaga hela kama atm mbovu isiyo na password 🤣. Mpaka hela iishe ndio akili inarudi 🤣
Hahahaha...............kwa kweli Mkuu, ndiyo maana kuna msemo "Vunja Mifupa kama meno yapo"

Ila roho inauma unapoagiza mzigo alafu Ukute yaliyomo hayamo 🙌
 
Babu umechachukaaaa
Hahahaha.................Ningeambiwa niwape seminar Wanawake na Mabinti, ni kuwa Muda wanaoutumia Saluni bora wautumie kujifunza Kumridhisha Mwanaume.

Imagine unakutana na demu mkali alafu hata Kutuma salamu hajui, usipokuwa makini anaweza kuondoka na kilungu cha gia.

Akiwa kwa bed hata kiuno hajui kunyonga ila sasa unakuta ana sura kali, tako kama la Sanchoka alafu rangi ni ile kutoka Dubai.

Mwanaume unabaki Kujilaumu kutwa kucha 🙌
 
Kwa kweli Mkuu

Mara mia kuchukua Kuku wa Kienyeji, wengi huwa ni mafundi kuliko hao Slay queens
Hao maslayqueen ni umaarufu unawabeba. Wengine ni wazito zaidi ya Gogo yaani wazito kama karavati. Ila sikuhizi wamebuni mbinu mpya ya kuonesha kuwa wako flexible na wepesi ndio maana wanapost wapo gym. Ile kupost gym ni mbinu ya kuonesha wako flexible. Unganisha dots kwa nini slayqueen wengi siku hizi wanapost wapo gym?
Ile ni indirect marketing strategy 🤣🤣
 
Hao maslayqueen ni umaarufu unawabeba. Wengine ni wazito zaidi ya Gogo yaani wazito kama karavati. Ila sikuhizi wamebuni mbinu mpya ya kuonesha kuwa wako flexible na wepesi ndio maana wanapost wapo gym. Ile kupost gym ni mbinu ya kuonesha wako flexible. Unganisha dots kwa nini slayqueen wengi siku hizi wanapost wapo gym?
Ile ni indirect marketing strategy 🤣🤣
Binafsi nimewavua vyeo otherwise waje waniprove wrong

Ningeweza kuandika mengi hapa but I reserve my comment.......kama kuna namna ya wao kupata ujumbe waambiwe waende wakapigwe Msasa hata hapo Bagamoyo ama hata Lindi tu.

Kuna Wazee wakipewa elfu 30 tu wanatoa darasa safi kabisa kwa hawa mabinti wenye kujua kutumia Instagram kuliko kujua kupangilia rangi za Shanga zao.

Sio muda wote kuweka makope na makucha marefu alafu kwa bed zero.
 
Binafsi nimewavua vyeo otherwise waje waniprove wrong

Ningeweza kuandika mengi hapa but I reserve my comment.......kama kuna namna ya wao kupata ujumbe waambiwe waende wakapigwe Msasa hata hapo Bagamoyo ama hata Lindi tu.

Kuna Wazee wakipewa elfu 30 tu wanatoa darasa safi kabisa kwa hawa mabinti wenye kujua kutumia Instagram kuliko kujua kupangilia rangi za Shanga zao.

Sio muda wote kuweka makope na makucha marefu alafu kwa bed zero.
🤣
Unataka waongeze ubora wa huduma.
 
Back
Top Bottom