Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Hahahaha................nilijiwekea nadhiri zamani kabisa kwamba baada ya 50 mambo ya dogodogo nawaachia Vijana, nashukuru nilimudu hilo.

Dogodogo wengi ukiona anakukubali wewe Mzee ujue amelenga jambo fulani kwako.

Mambo ya kutawanya mali ulizochuma na mke wako wa ujana sio jambo lenye afya kwenye Uzee wako.

Huwa najisemea kama nilifanikiwa kulala na "Visu" vyote vile enzi za ujana wangu nitakuwa nimebakiza nini kwa kibinti kidogo cha umri wa Mjukuu wangu wa mwisho.
Hiyo ni hekima Ila kwa wazee baadhi sidhani kama wanaeza kukuelewa.

Huwa nakubali uwepo wako hapa jukwaani mkuu maana naamini ni age mate wa mzee wangu 🙏🏽
 
Salama hana mashine ila ni msagaji na anajulikana tangu kipindi kirefu tu na aliwahi kuwa kwenye mahusiano na Regina Mengi ila Fid aliwahi kupita kipindi cha nyuma sana.
Nasikia yeye ndio kasababisha Mengi akose wajukuu kwa Regina!

Ila Regina mzuri jamaniiiii 🙌🏾🙌🏾
 
Na ndio hao wanawaua wazee wetu. Unakuta umri huo unaoa kabinti kadogo kazuri, watoto wako mwenyewe au wa majirani zako wanapita nako hadi unapandisha presha na kisukari. Unaanza mfuatilia kwenye simu na sehemu zote unazokwenda na bado ukishalamba mchanga. Unawaachia watoto makesi ya mali mahakamani na mama yao mpya

Asee hii situation isikie tu maana wazee Mkishanasa kwa majini kama uwoya, hamuambiliki wala hamsikii 😁😁
Kwani mfano mzuri si upo kwa mzee wetu tuliyempoteza miaka ya majuzi hapo yule tajiri pekee mweusi?
Ndio hayohayo.
 
Hivi hizi issue za usagaji kwa bongo movies ni kweli??....

Nakumbuka miaka ile huo uvumi ulimkuta sana wolper, wema, lulu na salama. Na pia mama flani msanii wa band maarufu ya zamani ambaye alitoa wimbo miaka ya hivi karibuni na kassim mganga "star", alikuwa na shtuma za kuwa mratibu wa hizo issue kwa mastar
Yani kwamba anaziratibu vipi? Sijaelewa hapo Mkuu.
 
Hiyo ni hekima Ila kwa wazee baadhi sidhani kama wanaeza kukuelewa.

Huwa nakubali uwepo wako hapa jukwaani mkuu maana naamini ni age mate wa mzee wangu 🙏🏽
Wazee wengine unakuta wana ulimbukeni na kushika fedha nyingi kwa mara moja (Pension) ndiyo hujikuta wanaangukia humo.

Nashukuru Mungu, nilianza kushika vihela baada ya kuanza form V maana ile likizo ya kusubiri matokeo ya kidato cha IV niliitumia kuwekeza.

Shukrani kwa appreciation zako Mkuu
 
Majibu unayo tayari.
Confirmed!

Nyota sipendi kuliongelea suala lake sababu ya mahaba yangu kwake yananipa upofu kuyaeleza.
Nilikua mdau wao mkubwa Njenje Band zamani kabla hajafiwa na mume wake na mwanzilishi Babu Njenje. Ile bendi yote ya yote walikua na mambo nao....
Tupe ubuyu kidogo Mkuu, mi mbona leo nimemsaliti Ali Kiba? 🤣🤣🤣
 
Tatizo hawa wanawake nyakati zao zikipita ndo basi. Wakati niko shule ya msingi nilikuwa nikiona sura ya Odemba kwenye tangazo la lotion nilikuwa nasisimka... nyakati hizohizo akatokea Hoyce Temu ikawa balaa. Nikiwa sekondari O - level ndo ikawa enzi za kina Nora, Sinta, Fiderine Iranga na Kajala. Tamaa yangu ikawaka sana juu yao. A - level nilikuwa bize sana na ndo ilikua Mr Blue kaanza kuvuma. Nikiwa Chuo ndo wakaibuka kina Wema, Uwoya na Kidoti.... katika maisha yangu nilijiambia kama kumtafuna Uwoya itanipeleka motoni acha niende tu. Yule mwanamke kwenye enzi zake alinivuruga mno. Kidoti hajawahi kunivuruga sana kwa sababu ya ukosefu wa chura. Kwa huu wakati tuliopo tamaa yangu iliwaka kwa yule socialite Sanchoka ila siku nimemwona mama yake LIVE ikabidi nitengue tamaa zangu na kutafakari upya.... yule mama enzi za ujana wake nadhani wazee walipambana sana kumpata.
Nikiwa Chuo ndo wakaibuka kina Wema, Uwoya na Kidoti....
mhh shikamoo mama
 
Mbona hadi marehemu Ngwair kala sana?
Wewe hebu toka huko maporini 😂
Sasa sio kosa langu Mimi kuishi porini
Ngwair lazima alifumua kisela sela yaani ile gangster sex,

It seem that salama anapenda wahuni sio walamba lips ,
Hapo anasaga kina lulu then anaenda kuliwa na mwamba mmoja
 
Sasa sio kosa langu Mimi kuishi porini
Ngwair lazima alifumua kisela sela yaani ile gangster sex,

It seem that salama anapenda wahuni sio walamba lips ,
Hapo anasaga kina lulu then anaenda kuliwa na mwamba mmoja
Hizo ndio pigo zake, kuna mwingine niliambiwa pia nimemsahau kidogo.
 
Back
Top Bottom