kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Nimecheka hii watakupatia wapi!Usinitisheeeee, wale ni mastar na kusemwa ni kawaida.
Labda kama wewe ni mgeni wa jukwaa hili, yamewahi kusemwa makubwa zaidi ya hili.
Kwani nimesema wameua hadi niwe na kesi ya kujibu? Watanipatia wapi kwanza?
Hebu nipishe bwana.