Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Tena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.
Huyu ni nani?
Caren au Carol?
 
inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

nimeshindwa kufungua hii code! ni mchezo gani huo king kiba anaoucheza?
 
hauna hela mzee mwenye nazo haoni hasara kuzitumbua kwa kujaribu kurudi alipojia dunian
Ukishastaafu Utumishi na kuanza kuishi kwa Pension kama Mimi lazima utumie hela zako ki-Ubahili fulani maana hazikawii kuisha hasa zile za Mkupuo.

Hata hivyo Umri umetutupa Mkono, kwahiyo ukipata Mwanamke wa kustarehe naye huwi kama ulivyokuwa Kijana maana nguvu zimeisha hivyo kuishia kumchezea kwa mikono na ukifanikiwa kupanda juu basi ka-Moja, napo ukimaliza hamu yote imekata hadi baada ya miezi mingine kupita 😜
 
Dada Nifah ina wezekana unacho sema kina ukweli, lkn anglia madhara yanayo wezakutokea baada ya maandishi yako haya.
Mfano hawa watu wana watoto na wakatengana kwasababu tu ya haya maandishi yako, utajisikiaje?
mkuu yaani celebribities tena wa bongoflava waachane sababu ya maneno haya? Sisi watu wa makete ndani ndani ukute post kama hii inamuhusu mkeo, ndio vitaitishwa vikao hadi vya mizimu, ila sio hawa kina majizo.
 
View attachment 2844883View attachment 2844884Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!

Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.

Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!

Basi… ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!

PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!

Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!

Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!

ACHANA NA SALAMA…
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!

ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NG’OMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba “Catch the flight not the feelings “?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.

ALI KIBA NDIO ZAIDI
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!

Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindi…

Wasalaam,

Nifah.
Nifah unanikumbusha marehemu Warumi
Umetofautiana naye jinsia tu.


Inaonesha kama uliyoyadema kuhusu Lulu ni kweli, basi hajawahi kutulia na hatokaa atulie.
 
inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

nimeshindwa kufungua hii code! ni mchezo gani huo king kiba anaoucheza?
Majay ni Kufukua mtaro wa wanaume wenzie sa sijui naye anafukuliwa mi sitaki jua hata
 
Kwahiyo yeye anachakata kimya kimya then anaenda msikitini?
Hebu nipe hata watatu aliowachakata?
Uzuri ni mtoto wa kariakoo yule
Yes, kimyakimya mno ndio maana wakati Chibu anamtukana kwamba kamzidi kwa kuchakata tunaojua tulicheka sana.

Alikochakata Kiba miaka 5-6 ndio Chibu anachakata mida hii halafu anajiona mjanja!
Mfano Gigy, Kiba alishamaliza wakati ndio anaingia mjini, Chibu ndio anachakata saa hizi!
 
Back
Top Bottom