Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaoishi porinj tunakosa mengi
Mkuu salama ana mjegeje?
Mbona niliskia analiwa na mzee fid q?
Yaani dar uchafu mwingi sana
Huyu ni nani?Tena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.
Kwa anayemfukuaKuna muda mahusiano yanakua hayaeleweki.Sasa majizo bahiri hadi kwa mkewe pesa zake anazipeleka wapi!?
Ukishastaafu Utumishi na kuanza kuishi kwa Pension kama Mimi lazima utumie hela zako ki-Ubahili fulani maana hazikawii kuisha hasa zile za Mkupuo.hauna hela mzee mwenye nazo haoni hasara kuzitumbua kwa kujaribu kurudi alipojia dunian
Lucas Yuko huko mbaralib bhna wapi na wapi na mamb ya dar es
Ndugu yetu Lucas mwashambwa angekuwa analeta japo habari kama hizi ili sisi wa enzi ya Mwalimu tuweze kujua mambo ya wajukuu zetu, angekuwa na faida humu jukwaani.
mkuu yaani celebribities tena wa bongoflava waachane sababu ya maneno haya? Sisi watu wa makete ndani ndani ukute post kama hii inamuhusu mkeo, ndio vitaitishwa vikao hadi vya mizimu, ila sio hawa kina majizo.Dada Nifah ina wezekana unacho sema kina ukweli, lkn anglia madhara yanayo wezakutokea baada ya maandishi yako haya.
Mfano hawa watu wana watoto na wakatengana kwasababu tu ya haya maandishi yako, utajisikiaje?
Safiii shimo baya la nyoka tu 😄Ali Kiba hachagui, mpaka Gigy Money kapita nae
Nifah unanikumbusha marehemu WarumiView attachment 2844883View attachment 2844884Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!
Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.
Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!
Basi… ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!
PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!
Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!
Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!
ACHANA NA SALAMA…
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!
ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NG’OMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba “Catch the flight not the feelings “?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.
ALI KIBA NDIO ZAIDI
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!
Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!
Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindi…
Wasalaam,
Nifah.
Majay ni Kufukua mtaro wa wanaume wenzie sa sijui naye anafukuliwa mi sitaki jua hatainasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!
nimeshindwa kufungua hii code! ni mchezo gani huo king kiba anaoucheza?
Yes, kimyakimya mno ndio maana wakati Chibu anamtukana kwamba kamzidi kwa kuchakata tunaojua tulicheka sana.Kwahiyo yeye anachakata kimya kimya then anaenda msikitini?
Hebu nipe hata watatu aliowachakata?
Uzuri ni mtoto wa kariakoo yule
Hahaha........naona una kampeni Babu yenu nikachomwe moto huko ahera eeh 😜Sasa hapo Lulu si alikuwa hajajifungua hata mtoto wake wa kwanza? Maana alijifungua July 2021.
Uliza tena huenda dau limeshashuka.
Mambo zako upendazo😁Safiii shimo baya la nyoka tu 😄
Kusoma kuona kuzisikia na kuzifanya 😄🤣Mambo zako upendazo😁
ohoo! hadi nimedinda afu nipi kwa ofisiKufukua mtaro