Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Masikini baba yangu umepitia maisha magumu sana!
Pole…

Usijaribu sasa hivi maana utakutana na mabalaa pension itaisha yote!
Asante Mkuu, Nashukuru nilivuka salama ule mtego, japo kwa ku-struggle sana.

Unataka kusema miaka yenu Ujuzi umeongezeka?

Maana kuna Mstaafu mwenzangu alikutana na kibinti fulani wakati anafatilia Pension yake Hapo DSM, aliishia kumalizwa hela zote na yule binti.

Tulifanya kumchangia nauli ya kurudi Kijijini
 
View attachment 2844883View attachment 2844884Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!

Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.

Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!

Basi… ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!

PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!

Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!

Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!

ACHANA NA SALAMA…
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!

ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NG’OMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba “Catch the flight not the feelings “?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.

ALI KIBA NDIO ZAIDI
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!

Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindi…

Wasalaam,

Nifah.
Niffah we kiboko kumbe unajuwa kushusha ubuyu hv yaani cocastic haoni ndani kwa uandishi huu
 
weedada dishilimeyumba.kamawalikuwa wanapendana kwanini hawakuoana?kipi kinawazuia wasioane?kwanini baada tu yakanumba kufa kiba asitangaze ndoa kwakuwa kizuizi kimeondoka?

mbona bilnasi baada ya ruge kufa chap akachukua demuwake?kiba yeyé alishindwa nini ndugu mwandishi?kanumba alivyokufa siangedaka chombo chake chapu?tungejua kweli wanapendana ila badalayake majizo ndio kaonyesha uthubutu huoni unatuhadaa?

wee dada hunaakili Labda wewe ndio unae firw.a achakuwaongelea watu umbea usiokuwepo.weemwenyewe unaliwa bure bilandoa naumezalishwa juu kazi kufatilia watu boya wee

ukiendelea naujuha huu utaliwa nakuzalishwa sana nandoa huioni kamwe
Mbona umeshikilia sana mimi kuolewa? Unataka kuwa mke mwenzangu nini hivyo kutokuolewa kwangu nakuchelewesha ama vipi?

Na siolewi kabisaaaaa, achana na hilo sasa tafuta lingine jipya hilo limeshachuja.
 
Back
Top Bottom