Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Kwahiyo Mafundi wamekutana .......

Niliwahi kukutana na Mwanamke fundi miaka ya ujana, wakati huo hata hayo mambo ya kunyonya koni yalikuwa hayajaingia.

Bwana bwana, pamoja na kuwa tayari nilikuwa kwenye late 50 nilitamani kulia kwa raha....najiuliza hadi leo yule mwenzangu alijulia wapi yale mambo. Kwa lafudhi laini alisema ukijisikia kuCum you just cum 😜

Kweli Vijana wanafaidi 🤗
Masikini baba yangu umepitia maisha magumu sana!
Pole…

Usijaribu sasa hivi maana utakutana na mabalaa pension itaisha yote!
 
Tena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.
Ohooooooooo 🔥
 
Mnahitaji hela za ziada na makamera yale ya kuona mbali
Unakodi karibu na walipokutana kama ni hotel nje ya nchi au mji mwingine
Wewe unawafuata kama grizly bear hawakuoni ila wewe unawachora na kuwapiga picha kama zote
Huo ndio unoko usiokuwa na shaka maana ushahidi unauweka hapa

Huku reporters wa umbea wanalipwa vizuri
Daaa naongea sana
Mpe mtaji Nifah atuletee mambo kama ya tmz bongo 😄
 
Ali nadhani ndiyo mambo yake hayo anakula kimya kimya ukimuangalia usoni so innocent
Mi shabiki yake leo nimejikaza sana kumuandika, ingekuwa sivyo mbona ana mengi tu?
Tena mengine naona kabisa kwa macho yangu maana huwa naonana nae mara nyingi.

Basi tu hanaga shida na mtu kaka wa watu zaidi ya ‘kuchakata’ basi!
 
Mmhh hatar hii weka mbal aisee.. kusagana yeye... kutatuliwa marinda yeye... umalaya yeye.. huyu mtu sasa ana pride gan kwenye maisha yake? Hiv hata akikaa kujaribu kujipima nafsin as how worthy is she anapata jibu gani? Kuna kip cha thaman alichonacho cha kujivunia utu wake sasa kwa hatua hiyo aliyo fikia????
Maana kama ni chemical reaction, yeye ana fall as irreversible one..

Poor girl.. she is a dead living. Nimemuonea huruma sana. Yan hana thaman hata ukimlinganisha na mwajuma ndala ndefu anayepambana na life yake ki bishi huku uswahili
Hatari sana!
 
Mi shabiki yake leo nimejikaza sana kumuandika, ingekuwa sivyo mbona ana mengi tu?
Tena mengine naona kabisa kwa macho yangu maana huwa naonana nae mara nyingi.

Basi tu hanaga shida na mtu kaka wa watu zaidi ya ‘kuchakata’ basi!
Kwahiyo yeye anachakata kimya kimya then anaenda msikitini?
Hebu nipe hata watatu aliowachakata?
Uzuri ni mtoto wa kariakoo yule
 
Tena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.
Halafu kama nimeshamjua hiviiiii?
Yule mtoto chotara lakini mbona anafanana sana na marehemu baba yake huyo dada?
Kama ni yeye lakini… Huwa najiuliza sana!
 
Mnahitaji hela za ziada na makamera yale ya kuona mbali
Unakodi karibu na walipokutana kama ni hotel nje ya nchi au mji mwingine
Wewe unawafuata kama grizly bear hawakuoni ila wewe unawachora na kuwapiga picha kama zote
Huo ndio unoko usiokuwa na shaka maana ushahidi unauweka hapa

Huku reporters wa umbea wanalipwa vizuri
Daaa naongea sana
Bongo hii ni kujitakia shida tu Mkuu.

Mimi naandika tu bure atakayeamini sawa, asiyeamini shida zake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom