Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Mkuu umenisoma kwa umakini lakini? Hizo pipo hakuna cha kuziachanisha!

Ni penzi la milele, yani mmoja wapo au wote wakiondoka duniani.
Niamini, wanapendana sana.
Dada Nifah ina wezekana unacho sema kina ukweli, lkn anglia madhara yanayo wezakutokea baada ya maandishi yako haya.
Mfano hawa watu wana watoto na wakatengana kwasababu tu ya haya maandishi yako, utajisikiaje?
 
Dada Nifah ina wezekana unacho sema kina ukweli, lkn anglia madhara yanayo wezakutokea baada ya maandishi yako haya.
Mfano hawa watu wana watoto na wakatengana kwasababu tu ya haya maandishi yako, utajisikiaje?
Watakuwa wapumbavu wote, wanaachanaje sababu ya maandishi ya umbea tena kutoka kwa watu wasiyemjua?
Huu ni umbea tu, nothing serious kama wanajielewa.
 
Halafu wanapata bahati wanaletewa hapa kwa uwazi sababu huku tunatumia ID fake wanaleta ujuaji!

Haya hata Mange hawezi kusema japo anajua sababu ya ushkaji wake na Ali Kiba.
Tena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.
 
Mnahitaji hela za ziada na makamera yale ya kuona mbali
Unakodi karibu na walipokutana kama ni hotel nje ya nchi au mji mwingine
Wewe unawafuata kama grizly bear hawakuoni ila wewe unawachora na kuwapiga picha kama zote
Huo ndio unoko usiokuwa na shaka maana ushahidi unauweka hapa

Huku reporters wa umbea wanalipwa vizuri
Daaa naongea sana
 
Back
Top Bottom