Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mijegeje yote iliyojaa dunian mwanamke mwenzangu ana utam gani? kuna watu kwaMungu watakua ndio petroliNdoa yao ina misukosuko sana ila kuachana ni vigumu maana kila mmoja ana pressure upande wake kama ulivyosema.
Lulu alitaka kutukomesha kuwa baada ya yote ila kaolewa, mumewe nae ndio kuonesha uungwana tena japo mwanamke katoka jela ila kamuoa.
Lulu hawezi kuachana na Salama hata, bado wanatoana cheche vizuri tu.
Kuna utafiti wambea tutaishi maisha marefu, watuache kwakweli.ndio wazimu wa kuwa msanii na kutuwekea mambo public, kwa hiyo shigongo naye anavyoweka mambo ya watu magazetini tumfanyaje? kitu usichokijua watz umbea upo damuni, nashukuru nimejua ally kiba na lulu wanapasha viporo angalau nimepata umbea wa kumsimulia baba mwana wewe bakia na userious wako utazeeka
😂😂😂😂 umbea ni muhimu kwa afya ya akiliKuna utafiti wambea tutaishi maisha marefu, watuache kwakweli.
Hamna lolote kujiendekeza tu!wewe naye hujui mtu mbea husema ukweli ila shida ni moja tu hajapewa ruhusa ya kusema huo ukweli?? tatizo wewe ni wa kiume ungekua wa kike ungeelewa jinsi gani umbea unachoma choma kifua kuliko unavyotaka kwenda haja kubwa kinyesi kinavyokuchoma, hapo ukute moyo wake mwepesii muache atugee miubuyu sie hatufatilii app ya mange
Yes, hata mimi nimewahi kusikia na kwa Ali pia nasikia sio haba. Huenda ndio maana hawaachani 😂😂Kuna taarifa za chini chini nilizisoma humu nadhani alizileta marehemu warumi miaka 4 iliyopita, kuwa Lulu ni mtundu hasa eneo la 6x6.
Sijui nilitaka kusema nini.........ila anayemkula iwe rasmi ama kwa kuiba atakuwa anafaidi sana.
Wosia wangu kwa Vijana ukiwa mdau wa hayo mambo hakikisha umejiwekeza kabisa, yasije kukukuta mambo ya CK wa Wema Sepenga 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Pole Shemeji*Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!*
👆 NGACHOKA shemeji! 👆
anayejiendekeza ni nani sasa
Leo umechachukaaaaa 🤣🤣🤣Hahaha................hayo si ndiyo Mambo Vijana wanapenda, ukiwa na mtu wa hivyo huna hamu ya kuiba nje, maana muda wowote anakubadirishia gia inakuwa burudaaani kabisa 🙈🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Kweli Vijana wanafaidi 😜
Halafu wanapata bahati wanaletewa hapa kwa uwazi sababu huku tunatumia ID fake wanaleta ujuaji!Kwa mambo yanayofanyika mjini Dar es Salaam hata hizi habari zinazoripotiwa hazijafika nusu ya kinachoendelea. Kuna mambo machafu mno yanafanywa na hawa mastaa njaa. Wakati fulani nikiwa mdhambi nilijua mambo mengi sana ya kishenzi yanayofanywa na mastaa. Media za Tanzania zinaripoti machache mno tena kwa kuchuja.
Inaonesha wewe sio mdau kabisa wa hili jukwaa........huku hapakufai.Acha kuharibu Ndoa za watu Mkuu.
HEKIMA NI JAMBO JEMA KULIKO UMBEA UNAOLETA HAPA JF.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Na ritha tena......mkuu hii mi kwangu ngumu kumesa bhanaWenye mji wenu.
Ila kwa Lulu...... tokea zamani tu watu wanakibutua tokea akiwa Perfect Vision.
Ila hizi ndoa hizi watu wanachekeana kwenye Social Networks ila ndani kunafukuta.
Kiba mzee wa vitonga/kulelewa,Madam Rita kamlea wee mpaka alisahahu kazi yake ya mziki, so now yupo kwa Lulu kimya kimya.
Furahia kupendwa! Uache kujifanya nunda sijui mgumu wa republicAh weeee! Nina maisha poa sana sasa hivi.
Mpaka kichwa kimetulia nawaletea maubuyu kama hivi unavyoona.
Mapenzi ni tiba.
AsantePole Shemeji