Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
cheers binti yangu..kwani kuna shidaHata kidogo,
Cheers.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cheers binti yangu..kwani kuna shidaHata kidogo,
Cheers.
ndio wazimu wa kuwa msanii na kutuwekea mambo public, kwa hiyo shigongo naye anavyoweka mambo ya watu magazetini tumfanyaje? kitu usichokijua watz umbea upo damuni, nashukuru nimejua ally kiba na lulu wanapasha viporo angalau nimepata umbea wa kumsimulia baba mwana wewe bakia na userious wako utazeekaUMBEA Usiozingatia Privacy ya mtu ni UJUHA!
Mleta Mada akiambiwa atoe ushahidi wa anachokisema, atatoa ushahidi?
HUMU JF HATUJUANI ILA HAIMAANISHI KUWA UNAEMUONGELEA VIBAYA HAYUPO HUMU.
HESHIMA NI JAMBO DOGO LAKINI LINA MAANA KUBWA SANA.
hivi hili s celebrity forum?? alitaka upeleke wapi jf gargets?Halafu kwa anayejua habari za mjini wala hakuna jipya hapa katika niliyoyasema.
Nisipowaletea ubuyu wanalalamika, nikileta ninavunja ndoa za watu.
Kwahiyo ni nani wa kuleta ubuyu wake? Ukiwa star haya ndio maisha yako, huwezi kuyakwepa.
Science and teknolojihivi hili s celebrity forum?? alitaka upeleke wapi jf gargets?
alitakiwa yeye aende huko majukwaa ni mengihuku anatafta nn kama sio umbea wa kujua privacy za watuScience and teknoloji
Mmmh Nifah huu ubuyu wa leo kibokoView attachment 2844883View attachment 2844884Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!
Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.
Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!
Basi… ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!
PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!
Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!
Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!
ACHANA NA SALAMA…
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!
ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NG’OMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba “Catch the flight not the feelings “?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.
ALI KIBA NDIO ZAIDI
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!
Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipo kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!
Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindi…
Wasalaam,
Nifah.
ukitaka kujua anafaidi anayemtomba tafta kibunda na we uunge folen uje utupe mrejesho ana utam gNKuna taarifa za chini chini nilizisoma humu nadhani alizileta marehemu warumi miaka 4 iliyopita, kuwa Lulu ni mtundu hasa eneo la 6x6.
Sijui nilitaka kusema nini.........ila anayemkula iwe rasmi ama kwa kuiba atakuwa anafaidi sana.
Wosia wangu kwa Vijana ukiwa mdau wa hayo mambo hakikisha umejiwekeza kabisa, yasije kukukuta mambo ya CK wa Wema Sepenga 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Mbea km sisi huyoooalitakiwa yeye aende huko majukwaa ni mengihuku anatafta nn kama sio umbea wa kujua privacy za watu
Lulu na uwoya Yasemekana wakiwa kwa bed ni mafundi haswaa...wanatoka vyoteeee...Kuna taarifa za chini chini nilizisoma humu nadhani alizileta marehemu warumi miaka 4 iliyopita, kuwa Lulu ni mtundu hasa eneo la 6x6.
Sijui nilitaka kusema nini.........ila anayemkula iwe rasmi ama kwa kuiba atakuwa anafaidi sana.
Wosia wangu kwa Vijana ukiwa mdau wa hayo mambo hakikisha umejiwekeza kabisa, yasije kukukuta mambo ya CK wa Wema Sepenga [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Umeniaibisha sana! Sema ushateleza haina nomaTena pro kabisa.
Ila sasa hivi nimepatikana
Hahaha................hayo si ndiyo Mambo Vijana wanapenda, ukiwa na mtu wa hivyo huna hamu ya kuiba nje, maana muda wowote anakubadirishia gia inakuwa burudaaani kabisa 🙈🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Lulu na uwoya Yasemekana wakiwa kwa bed ni mafundi haswaa...wanatoka vyoteeee...
Kwa mambo yanayofanyika mjini Dar es Salaam hata hizi habari zinazoripotiwa hazijafika nusu ya kinachoendelea. Kuna mambo machafu mno yanafanywa na hawa mastaa njaa. Wakati fulani nikiwa mdhambi nilijua mambo mengi sana ya kishenzi yanayofanywa na mastaa. Media za Tanzania zinaripoti machache mno tena kwa kuchuja.Halafu kwa anayejua habari za mjini wala hakuna jipya hapa katika niliyoyasema.
Nisipowaletea ubuyu wanalalamika, nikileta ninavunja ndoa za watu.
Kwahiyo ni nani wa kuleta ubuyu wake? Ukiwa star haya ndio maisha yako, huwezi kuyakwepa.
Wanaume hawaeleweki wanataka Nini ujue..unaweza mpa vyote Bado akakuchiti tuuHahaha................hayo si ndiyo Mambo Vijana wanapenda, ukiwa na mtu wa hivyo huna hamu ya kuiba nje, maana muda wowote anakubadirishia gia inakuwa burudaaani kabisa [emoji85][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kweli Vijana wanafaidi [emoji12]
Tuhuma za ubakhili nimezisikia mara nyingi sana kwake, si mwenyewe unaona badala ya kumnunulia mkewe gari la maana atikise jiji hajafanya hivyo ila kampa range yake ya miaka ya 90?Kuna muda mahusiano yanakua hayaeleweki.Sasa majizo bahiri hadi kwa mkewe pesa zake anazipeleka wapi!?
Ngoja achuje chuje kidogo dau lipungue.ukitaka kujua anafaidi anayemtomba tafta kibunda na we uunge folen uje utupe mrejesho ana utam gN
Ndoa yao ina misukosuko sana ila kuachana ni vigumu maana kila mmoja ana pressure upande wake kama ulivyosema.Nifah ktk Moja na mbili,sishangai ht Moja ukiiona tu Ile ndoa unajua pale ni mtihani majay anataka tu Mtu WA kulea WATOTO na lulu kuwakomesha mtaa Wa Saba...
Inshort majay Yuko kimkakati na Lulu Yuko kimkakati na wale wanaweza wasiachane Kwa kua Lulu ni smart woman,anajua anachotaka...!!!
Lulu Bado hayupo sawa ukimsoma tu mabandiko yake Mengi though anapretend happiness Kuna vingi anavikosa na anavitamani sema janga la jela Ndo limefanya atulie
Kuhusu kua na Ali Kiba sishangai Hata kidogooo Wala kusagana na salama nilidhani wameachana kumbe Bado wamo kaaah
wakat wewe unasubiri achuje kuna wenzio wana risk it all haijalishi dau kias gan ndio hao kina kiba wamedataNgoja achuje chuje kidogo dau lipungue.
Mambo ya kukamuliwa kibunda cha 2M nani anataka, hapo hujalipia five stars hotel plus misosi 🙌