Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #21
Na ndio nilitaka iwe hivyo, hata mwalimu wangu wa uandishi nimemwambia leo nitamshangaza.Mh! Sikufikiria kuwa wewe unaweza kuandika haya!.. but anyway Kilimanjaro si mlima tu ni kilevi pia!
Sitaki kuzoeleka katika aina moja ya uandishi/habari.