Huyo hiyo tabia kaanzia makongoKila nikijaribu kuizoom sura ya salama kwenye ubongo wangu, basi hii taarifa ya kwamba anasagana hua inagoma kabisa kuingia akilini[emoji849]
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hiyo tabia kaanzia makongoKila nikijaribu kuizoom sura ya salama kwenye ubongo wangu, basi hii taarifa ya kwamba anasagana hua inagoma kabisa kuingia akilini[emoji849]
Umewasha moto nyoka wanatoka wanatema sumu tuu 😄🔥Jana ulinisema sana leo nimebadilika, nimewapa kitu mlimiss 🤣🤣🤣
Huo ni upande mwingine wa stori, hongera una akili 👏🏽👏🏽Nilichoelewa hapa ni kwamba wanandoa tajwaa (LULU & MAJAY) wote wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja wakiwa nje ya ndoa zao. Suala la Ali Kiba, Sherie, na Papaa hayana uzito kivile.
Chief usichukulie serious story za humu jamvini nyingi ni za uongoMmhh hatar hii weka mbal aisee.. kusagana yeye... kutatuliwa marinda yeye... umalaya yeye.. huyu mtu sasa ana pride gan kwenye maisha yake? Hiv hata akikaa kujaribu kujipima nafsin as how worthy is she anapata jibu gani? Kuna kip cha thaman alichonacho cha kujivunia utu wake sasa kwa hatua hiyo aliyo fikia????
Maana kama ni chemical reaction, yeye ana fall as irreversible one..
Poor girl.. she is a dead living. Nimemuonea huruma sana. Yan hana thaman hata ukimlinganisha na mwajuma ndala ndefu anayepambana na life yake ki bishi huku uswahili
Majibu unayo tayari.Hivi hizi issue za usagaji kwa bongo movies ni kweli??....
Nakumbuka miaka ile huo uvumi ulimkuta sana wolper, wema, lulu na salama. Na pia mama flani msanii wa band maarufu ya zamani ambaye alitoa wimbo miaka ya hivi karibuni na kassim mganga "star", alikuwa na shtuma za kuwa mratibu wa hizo issue kwa mastar
Aaaah Mkuu kuwa serious kidogo, hilo dudu la yuyu umeliona kwa macho yako?Halooo!.... Movie nzima nimevutiwa na scene 2 tu...
Eti kwambaa!?...
Majizo anapakuliwa!
Lulu anasagwa na salama!
Kuhusu lulu kusagwa, ni haki yake yuko sahihi!... Kwasababu wanaume tumepungua sana sikuhizi!
Halafu salama(hizi ni zandani kabisa!) Ana dudu! (Dushelele, Shedede!) Ni Shemale!....
Hata madam rittah nae... Salama (anampakua!)...ni basha wake!
Acha amtafute Mungu, usimbezeMason wabaya sana...
Halafu kanavyohangaikaga kwenye makanisa sasa
Wewe? Analisemeaje sasa?Hivi lulu ashalisemea hili la mumewe???
Nadhani Maumivu aliyonayo moyoni ni makali mnoooo binafsi namkubali alivo strong and cool hata kama ana mambo yake
Sikutaka kumtaja jina maana namuona umri umeenda sana na wengi hawamfahamu kwa kizazi hiki. Kwa hiyo bora aendelee kuzeeka vizuri na uzuri wakeMajibu unayo tayari.
Confirmed!
Nyota sipendi kuliongelea suala lake sababu ya mahaba yangu kwake yananipa upofu kuyaeleza.
Nilikua mdau wao mkubwa Njenje Band zamani kabla hajafiwa na mume wake na mwanzilishi Babu Njenje. Ile bendi yote ya yote walikua na mambo nao....
Hahahaha................nilijiwekea nadhiri zamani kabisa kwamba baada ya 50 mambo ya dogodogo nawaachia Vijana, nashukuru nilimudu hilo.Na ndio hao wanawaua wazee wetu. Unakuta umri huo unaoa kabinti kadogo kazuri, watoto wako mwenyewe au wa majirani zako wanapita nako hadi unapandisha presha na kisukari. Unaanza mfuatilia kwenye simu na sehemu zote unazokwenda na bado ukishalamba mchanga. Unawaachia watoto makesi ya mali mahakamani na mama yao mpya
Asee hii situation isikie tu maana wazee Mkishanasa kwa majini kama uwoya, hamuambiliki wala hamsikii 😁😁
Alianza kaka mtu, akachakata…Kesho nahamia dar
Siwezi kukubali yanipite yote haya so aliwatongoza au wao walimtongoza?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🫶inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!
nimeshindwa kufungua hii code! ni mchezo gani huo king kiba anaoucheza?
Kwenye ubuyu lazima kunakuwa na ufanano…Nifah unanikumbusha marehemu Warumi
Umetofautiana naye jinsia tu.
Inaonesha kama uliyoyadema kuhusu Lulu ni kweli, basi hajawahi kutulia na hatokaa atulie.
Tatizo hawa wanawake nyakati zao zikipita ndo basi. Wakati niko shule ya msingi nilikuwa nikiona sura ya Odemba kwenye tangazo la lotion nilikuwa nasisimka... nyakati hizohizo akatokea Hoyce Temu ikawa balaa. Nikiwa sekondari O - level ndo ikawa enzi za kina Nora, Sinta, Fiderine Iranga na Kajala. Tamaa yangu ikawaka sana juu yao. A - level nilikuwa bize sana na ndo ilikua Mr Blue kaanza kuvuma. Nikiwa Chuo ndo wakaibuka kina Wema, Uwoya na Kidoti.... katika maisha yangu nilijiambia kama kumtafuna Uwoya itanipeleka motoni acha niende tu. Yule mwanamke kwenye enzi zake alinivuruga mno. Kidoti hajawahi kunivuruga sana kwa sababu ya ukosefu wa chura. Kwa huu wakati tuliopo tamaa yangu iliwaka kwa yule socialite Sanchoka ila siku nimemwona mama yake LIVE ikabidi nitengue tamaa zangu na kutafakari upya.... yule mama enzi za ujana wake nadhani wazee walipambana sana kumpata.🤣🤣🤣 Naona umemdhamiria Lulu kwelikweli!