Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Mmhh hatar hii weka mbal aisee.. kusagana yeye... kutatuliwa marinda yeye... umalaya yeye.. huyu mtu sasa ana pride gan kwenye maisha yake? Hiv hata akikaa kujaribu kujipima nafsin as how worthy is she anapata jibu gani? Kuna kip cha thaman alichonacho cha kujivunia utu wake sasa kwa hatua hiyo aliyo fikia????
Maana kama ni chemical reaction, yeye ana fall as irreversible one..

Poor girl.. she is a dead living. Nimemuonea huruma sana. Yan hana thaman hata ukimlinganisha na mwajuma ndala ndefu anayepambana na life yake ki bishi huku uswahili
Chief usichukulie serious story za humu jamvini nyingi ni za uongo

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hivi hizi issue za usagaji kwa bongo movies ni kweli??....

Nakumbuka miaka ile huo uvumi ulimkuta sana wolper, wema, lulu na salama. Na pia mama flani msanii wa band maarufu ya zamani ambaye alitoa wimbo miaka ya hivi karibuni na kassim mganga "star", alikuwa na shtuma za kuwa mratibu wa hizo issue kwa mastar
Majibu unayo tayari.
Confirmed!

Nyota sipendi kuliongelea suala lake sababu ya mahaba yangu kwake yananipa upofu kuyaeleza.
Nilikua mdau wao mkubwa Njenje Band zamani kabla hajafiwa na mume wake na mwanzilishi Babu Njenje. Ile bendi yote ya yote walikua na mambo nao....
 
Halooo!.... Movie nzima nimevutiwa na scene 2 tu...

Eti kwambaa!?...
Majizo anapakuliwa!
Lulu anasagwa na salama!


Kuhusu lulu kusagwa, ni haki yake yuko sahihi!... Kwasababu wanaume tumepungua sana sikuhizi!

Halafu salama(hizi ni zandani kabisa!) Ana dudu! (Dushelele, Shedede!) Ni Shemale!....

Hata madam rittah nae... Salama (anampakua!)...ni basha wake!
Aaaah Mkuu kuwa serious kidogo, hilo dudu la yuyu umeliona kwa macho yako?
 
Hivi lulu ashalisemea hili la mumewe???

Nadhani Maumivu aliyonayo moyoni ni makali mnoooo binafsi namkubali alivo strong and cool hata kama ana mambo yake
Wewe? Analisemeaje sasa?
Hawezi na Lulu huwa haongelei mambo ya wanaume zake kabisa.

Ila kuna kipindi kulikuwa na tension kubwa, kidogo aache kumpost mumewe kwenye birthday day yake kitu ambacho sio kawaida hadi minong’ono ilipoanza ndio akapost.
 
Majibu unayo tayari.
Confirmed!

Nyota sipendi kuliongelea suala lake sababu ya mahaba yangu kwake yananipa upofu kuyaeleza.
Nilikua mdau wao mkubwa Njenje Band zamani kabla hajafiwa na mume wake na mwanzilishi Babu Njenje. Ile bendi yote ya yote walikua na mambo nao....
Sikutaka kumtaja jina maana namuona umri umeenda sana na wengi hawamfahamu kwa kizazi hiki. Kwa hiyo bora aendelee kuzeeka vizuri na uzuri wake

Ila dar 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
 
Na ndio hao wanawaua wazee wetu. Unakuta umri huo unaoa kabinti kadogo kazuri, watoto wako mwenyewe au wa majirani zako wanapita nako hadi unapandisha presha na kisukari. Unaanza mfuatilia kwenye simu na sehemu zote unazokwenda na bado ukishalamba mchanga. Unawaachia watoto makesi ya mali mahakamani na mama yao mpya

Asee hii situation isikie tu maana wazee Mkishanasa kwa majini kama uwoya, hamuambiliki wala hamsikii 😁😁
Hahahaha................nilijiwekea nadhiri zamani kabisa kwamba baada ya 50 mambo ya dogodogo nawaachia Vijana, nashukuru nilimudu hilo.

Dogodogo wengi ukiona anakukubali wewe Mzee ujue amelenga jambo fulani kwako.

Mambo ya kutawanya mali ulizochuma na mke wako wa ujana sio jambo lenye afya kwenye Uzee wako.

Huwa najisemea kama nilifanikiwa kulala na "Visu" vyote vile enzi za ujana wangu nitakuwa nimebakiza nini kwa kibinti kidogo cha umri wa Mjukuu wangu wa mwisho.
 
Kesho nahamia dar
Siwezi kukubali yanipite yote haya so aliwatongoza au wao walimtongoza?
Alianza kaka mtu, akachakata…

Baadae akaja mdogo mtu, na Gigy alivyo na laana akamruhusu akachakata!
Mwenyewe anasema wala hajali, waliyataka wenyewe!

Japo kaka mtu alimind kimtindo alipogundua dogo nae kachakata.
 
inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

nimeshindwa kufungua hii code! ni mchezo gani huo king kiba anaoucheza?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🫶
Nimecheka sanaaaaa, sana!
 
Nifah unanikumbusha marehemu Warumi
Umetofautiana naye jinsia tu.


Inaonesha kama uliyoyadema kuhusu Lulu ni kweli, basi hajawahi kutulia na hatokaa atulie.
Kwenye ubuyu lazima kunakuwa na ufanano…

Ndio maisha yake hayo Mkuu, nadhani mumewe anajua vyema na kukubaliana na hilo.
 
🤣🤣🤣 Naona umemdhamiria Lulu kwelikweli!
Tatizo hawa wanawake nyakati zao zikipita ndo basi. Wakati niko shule ya msingi nilikuwa nikiona sura ya Odemba kwenye tangazo la lotion nilikuwa nasisimka... nyakati hizohizo akatokea Hoyce Temu ikawa balaa. Nikiwa sekondari O - level ndo ikawa enzi za kina Nora, Sinta, Fiderine Iranga na Kajala. Tamaa yangu ikawaka sana juu yao. A - level nilikuwa bize sana na ndo ilikua Mr Blue kaanza kuvuma. Nikiwa Chuo ndo wakaibuka kina Wema, Uwoya na Kidoti.... katika maisha yangu nilijiambia kama kumtafuna Uwoya itanipeleka motoni acha niende tu. Yule mwanamke kwenye enzi zake alinivuruga mno. Kidoti hajawahi kunivuruga sana kwa sababu ya ukosefu wa chura. Kwa huu wakati tuliopo tamaa yangu iliwaka kwa yule socialite Sanchoka ila siku nimemwona mama yake LIVE ikabidi nitengue tamaa zangu na kutafakari upya.... yule mama enzi za ujana wake nadhani wazee walipambana sana kumpata.
 
Back
Top Bottom