Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Salama aliwahi kuwa demu wa fid q .unataka sema fid q ni ????
 
Pesheni 😁😁 imeleta balaa sana Ila endelea kutupa nasaha kama hizi

Pamoja sana mkuu
Shukrani Mkuu.

Ndiyo maana ni busara, ukiwa Kijana fanya mambo yote umalize kuliko kuja kuyafanya Uzeeni.

Inakuwa aibu kunyooshewa vidole kwamba Mzee yule ni Mzee hovyo.
 
Inatia sana hasira japo watoto hawakukaa kidhembe japo kukosa kwao watoto nako ni tatizo kiasi mali lazma zihame kwenda familia zingine
Wajinga wale nao watu wazima wameshindwa hata kuzaa mtoto mmoja mmoja? Yule wa kike ndio basi tena.

Mzee wa watu kafa hajaona mjukuu!
 

Mkuu [emoji533]au 🤏[emoji2533]
 
Mkuu! Nimeogopa hadi nakosa la kusema!
Sina swali tena, Asante.
 
Aliyosema dada nimeshayasikia sana mabaa pale sinza .swala la lulu na salmaa walikuwa enzi zao ila kuendelea hilo sijalisikia .
Ila majay pia zipo sana ila wanadai yy na mkewe wamekubaliana kwamba hata jamaa akimkuta na demu hamind na lulu akimkuta na kidume hamind hata wanaclub yao arusha maneja analiwa na maji na huwa wanakaa meza moja wakija arusha .
Mtajiuliza sasa chuki na mtangazaji wa ar niaje ?ni kwamba jizo na tivu walikuwa in love kabisa .na hata kipindi katangaza kumuoa ni timbwili.
Stori ya ndani ya wasanii wote ni kwamba kulana kisamvu ni maagano ya umaarufu kuzimu.
Jay z
Eminem
Michael jackson
2pac
Hawa wote wamekuwa na tuhuma za kuliwa au kula mashoga
Wala ndogo wasanii si ali
Diamond huyu wanaenda mbali staki sema anawala wezie na analiwa .

Lakini kwa upande wa wasanii wanawake hakuna asietoa tako kuanzia wema .wolper.lina .etc sababu ukweli hawa wanapewa madau makubwa mtu atoe mil 3 na tiketi ya go and return mgodini mwanza unategemea asile jisho?
Tuache wasanii wadada hawa wajanja tunaolewa nao baa 70' per wanatoa ni kama kakuona wa kupita au una mdomo.
Sijataka wasimulia ya hawa vijana wanaotambia hela mjini ni makubwa na aibu.
 
Sasa wewe kupanda nae ndege ulijuaje kama katoka kupeleka tunda kwa jamaa jamani? 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…