Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Heshimu faragha za wake za watu ndoa yake ikivunjika watoto wake wakikosa malezi ya pande mbili utajisikiaje.
Mbona wewe unaliwa kiboga na ... Nawe tukuanike hapa.
Huyu mtu ana ndugu,wazazi,mawifi,mashemeji wanapita humu wanajisikiaje
 
Tofautisha mahaba na ngono siku zote mwizi huwa mtamu thus Cha mtu kitamu,ukikihalalisha hakina ladha Tena.
Mapenzi ya mme na mke hayawezi kuwa matamu kama ya mchepuko sababu yanaongozwa na ibilisi.
 
Huko mwishon kbsa nkam sio kweli , kwamba wanafany michozo ilikatazwa na vtabu vya dini
 
Dah kwa hakika hakuna anayeweza ng'amua wanawake wanataka nini exactly!!
Nina uhakika mchizi CEO mzigo anapiga vzr hadi dogo maji anaita Mma, mapesa anayo ya kutosha.....ninyi wanawake mnataka nini?
Labda karma sijui, au Jizo ana bahati mbaya kwenye haya mambo yetu ama sijui ndiyo kachagua yawe hivi, ila hayamwendei poa.

Unajua alimpa mimba Hamisa huku akiwa mapenzini na rafiki wa Hamisa, tena rafiki kweli kama ndugu. Na penzi lao likafia hapo, akimwachia Hamisa.

Lakini, baadaye alichokuja kufanyiwa na Hamisa ni zaidi kudhalilishwa.

Na aliingia mapenzini na Nargis huku akijua wazi ni mchumba wa mshikaji wake, Masoud Kipanya. Kilichompata kwa Nargis mnakijua.

Ova
 
Cc warumi popote ulipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…