Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Enzi za ujana nililala zangu lojoo. Mara nasikia zogo. Kumbe mfalme alishikiriwa kwenye korrido anataka kukimbia chumba chote kimetapakaa kinyesi sasa mzozo kashikiliwa bibie lizy anaambiwa ayafue mashuka balaa! Mfalme alivoona ataumbuka ndio akataka atimue mbio lakini hakumaliza korido wakawa washamnyaka.
 
Kipindi flan mwaka juzi nimeshamla mazi mmoja kama Salama ilikua Tanga Barabara ya 16. Manzi tom boy kinyama amenyoa halaf juu kaacha vile vi dread kama wasanii au bodaboda..Sema manzi alikua white balaa.. ni mweupe sana . anapiga pensi zake tshirt na raba kali alikua ana ofis moja pale maeneo ana chezesha kamali. So u tom boy plus wateja wake wahun wahun tu halaf hana shobo [emoji28]. Yan kwakifupi ni ngum sana hata kuwaza kumwingia Sema ndio nikamlia raket zangu kama after 2 days upelelez wangu ukakamilika akajikuta ndani ya kuta 4 na muhuni mstaarabu mimi.
Baada ya show kali tunapiga stori nikamuuuliza oya mbona jiko linaonekana kama halitumiki hili kupika pika shida nini? Akacheka sana "akanambia inaonekana we muhuni sana kama umeligundua hilo..ujue mimi watu wengi sana wananichukulia kama mwanaume hiv kulingana na mtindo wangu wa maisha so ni kama wananiogopa flan kuniletea hizo habari, hata wewe nimekushangaa sana umewezaje, inaonekana we sio mwenyeji mkoa huu".
[emoji23][emoji23]
Uongo huu sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enzi za ujana nililala zangu lojoo. Mara nasikia zogo. Kumbe mfalme alishikiriwa kwenye korrido anataka kukimbia chumba chote kimetapakaa kinyesi sasa mzozo kashikiliwa bibie lizy anaambiwa ayafue mashuka balaa! Mfalme alivoona ataumbuka ndio akataka atimue mbio lakini hakumaliza korido wakawa washamnyaka.
Aibu zote za nini jamani? 😭😭
Mungu awaokoe waachane na huo ushenzi.
 
Enzi za ujana nililala zangu lojoo. Mara nasikia zogo. Kumbe mfalme alishikiriwa kwenye korrido anataka kukimbia chumba chote kimetapakaa kinyesi sasa mzozo kashikiliwa bibie lizy anaambiwa ayafue mashuka balaa! Mfalme alivoona ataumbuka ndio akataka atimue mbio lakini hakumaliza korido wakawa washamnyaka.
Ni kamzozo,yaani Mwaikimba nje nje😳😳😳
 
Back
Top Bottom