Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kama hukuweza kuninunulia Ugoro, nitaweza kweli kuficha kwa Mkwe anayenileteaga Ugoro wa Dubai kabisa 😅Mzee wangu friji lako haligandishi kabisa🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hukuweza kuninunulia Ugoro, nitaweza kweli kuficha kwa Mkwe anayenileteaga Ugoro wa Dubai kabisa 😅Mzee wangu friji lako haligandishi kabisa🤣🤣
😂😂 ngoja waje hii kesi kubwa sana.Kama hukuweza kuninunulia Ugoro, nitaweza kweli kuficha kwa Mkwe anayenileteaga Ugoro wa Dubai kabisa 😅
Kwamba hujui alishafariki? Usitukumbushe machungu Mkuu.
😂😂😂😂 uongo😂😂😂 nikisema mimi ni nani warembo wote mtajazana pm best.
Babu uko makini 😂😂😂Mbona nafahamu sisi kama Wazee wa Boma tulipokea posa ya Countrywide kwaajili ya kumuoa huyo Lamomy
Ngoja niitishe kikao cha dharura kulijadili hili 😅
😂😂😂 Countrywide kumbe unamdanganyaga babu na ugoro?!Kama hukuweza kuninunulia Ugoro, nitaweza kweli kuficha kwa Mkwe anayenileteaga Ugoro wa Dubai kabisa 😅
Eehhh.....[emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787]Makubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weeee...thubutu kumnunulia hyooo vepeeee [emoji2]Haswaaaa, ampe hiyo vipi?
Anaendeshaga tu kusuuza roho na yeye masikini.
Ingekuwa kumpa angemnunulia lake mwenyewe.
Hii niliwahi skia mda sanaaaa...nkajua uongo na Ile ya katibu wa itikadi na mama Pau pia iliwahi tokeaEnzi za ujana nililala zangu lojoo. Mara nasikia zogo. Kumbe mfalme alishikiriwa kwenye korrido anataka kukimbia chumba chote kimetapakaa kinyesi sasa mzozo kashikiliwa bibie lizy anaambiwa ayafue mashuka balaa! Mfalme alivoona ataumbuka ndio akataka atimue mbio lakini hakumaliza korido wakawa washamnyaka.
Pole sanaaKuna mambo ndio nimeyajua hapa for the first time
Sema lulu kapitia mengi, namu imagine aliwezaje kubanjuka na marehemu Komba na kile kitambi?! 😂😂😂Hii niliwahi skia mda sanaaaa...nkajua uongo na Ile ya katibu wa itikadi na mama Pau pia iliwahi tokea
Tambua Mello kala teuzi.Usinitisheeeee, wale ni mastar na kusemwa ni kawaida.
Labda kama wewe ni mgeni wa jukwaa hili, yamewahi kusemwa makubwa zaidi ya hili.
Kwani nimesema wameua hadi niwe na kesi ya kujibu? Watanipatia wapi kwanza?
Hebu nipishe bwana.
Si unajua Wazee na Ugoro damu damu, bado wewe tu hujanileteaga zawadi.😂😂😂 Countrywide kumbe unamdanganyaga babu na ugoro?!
Nishajua mbinu zako
Tuko makini kwenye kulinda mali ya Mkwe wetu.Babu uko makini 😂😂😂
Hutaki watu wanyapie khaaa!!
Grahams babu mtoto kashaa kaa kwenye code nipe ruksa nitoe kibunda ama?😂😂😂Sema kwelI? Lete nikutunzie mpk pasaka 😂😂😂
Mimi ni diamond nimekuambia wewe tuu sawa.😂😂😂😂 uongo