Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Enzi za ujana nililala zangu lojoo. Mara nasikia zogo. Kumbe mfalme alishikiriwa kwenye korrido anataka kukimbia chumba chote kimetapakaa kinyesi sasa mzozo kashikiliwa bibie lizy anaambiwa ayafue mashuka balaa! Mfalme alivoona ataumbuka ndio akataka atimue mbio lakini hakumaliza korido wakawa washamnyaka.
Hii niliwahi skia mda sanaaaa...nkajua uongo na Ile ya katibu wa itikadi na mama Pau pia iliwahi tokea
 
Usinitisheeeee, wale ni mastar na kusemwa ni kawaida.
Labda kama wewe ni mgeni wa jukwaa hili, yamewahi kusemwa makubwa zaidi ya hili.

Kwani nimesema wameua hadi niwe na kesi ya kujibu? Watanipatia wapi kwanza?
Hebu nipishe bwana.
Tambua Mello kala teuzi.
 
Back
Top Bottom