Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Nifah Nifah Nifah, nimekuita mara 3, rudi kwenye mstari, unakengeuka.

the bold hajambo lkn? anakubaliana na haya?
Mbona hukuwahi kuniambia nilipokuwa kwenye huo mstari?
Usinipangie cha kuandika, its either usome au upite kimya.

Watu sijui mkoje? Kwani mnanilipa hadi mnipangie?
 
Mbona hukuwahi kuniambia nilipokuwa kwenye huo mstari?
Usinipangie cha kuandika, its either usome au upite kimya.

Watu sijui mkoje? Kwani mnanilipa hadi mnipangie?
duuu ama kwel kale kanifah kapole kapole kamekuwa katata siku hz,

Soriy mamiloo, jiachie kwa raha zako.
 
Je, una supporting document yoyote kama kithibitisho? Au ndio kulisemwa na alisema? Zamani nilikuwa ninaamini kirahisi niliyoyasoma mtandaoni ila siku hizi watu wanapenda kuona likes nyingi na kuna habari nyingi zinasemwa na baadae kuthibitika si kweli, mfano ni hii juzi tunaambiwa Mzee Mpango amekata moto, tukatajiwa hadi aliyeandaliwa kutangazwa kwa nafasi yake ya VP......baadae ikaweje?

Hii habari yako nitaitunza hadi nitakapopata vithibitisho ndio nitaiamini, kwa sasa ni habari nyepesi tu, ambayo hata mimi ningeweza kukaa na bando langu la jero nikaitunga.

Wasalaam!
 

Hakuna cha watoto wa mjini mkuu unless ni wateja wao

Ila kwa kiasi kikubwa Mastar wanadalaliwa na machawa wao au wanaume mashoga wanaozunguka nao 24/7

Pia hawa designers, ukiona star ana urafiki sana au anashonewa sana nguo kwa designer flani, bhasi hapo connection ipo

Wengine ni hawa "dada" Na "kaka" Zao wa mjini ambao wengi huwa na majina na connections za watu wakubwa. Unakuta hawana bond yoyote ya kibiashara na mastar Ila wanaiva sana, hapo connection ipo

Na wengine ni hawa photographers wao japo hawa hawana influence kwenye maisha yao Ila wana contacts za mastar karibia wote

Uzuri wa hizi groups zote zipo kwenye Instagram page zao kwa sababu huwa wanawatag na kama hawajapewa tag, bhasi lazma watu husika wacomment

Sifundishi mtu ununuzi wa sex Ila naongea uhalisia kwa sababu kupata access na mastar sio kitu kikubwa kama inavyoonekana 😁😁
 
duuu ama kwel kale kanifah kapole kapole kamekuwa katata siku hz,

Soriy mamiloo, jiachie kwa raha zako.
🤣🤣🤣
Mkuu sio hivyo, kila mtu ana upande wake wa pili ambao huwezi kuujua ni hadi umchokoze…

Mi bado kapole jamani, yaishe Mkuu.
Peace
 
Sasa Mkuu, aliyekuomba uamini ni nani?
Supporting document kwa kitu gani?

Unashindwa nini kusoma na kuendelea na mambo yako hadi ulete ubishani?
Tafuta vithibitisho kivyako, mimi sio shida zangu hizo.
 
🤣
Ukishakojoa bao la kwanza tu. Unaanza kujutia hela yote iliyotumika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…