Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Mkuu nikitaka kumpata mama sanchoka nafanyaje?
 
Sis wengine inawezekana tu tulizaliwa na neema za Mungu, haya yooote yanayowapeleka mbio hawa watu wooote tajwa humu mbona mimi sioni chochote cha maana hapo. Yan sion hata mtu wa maana sanaa wa kuniumiza kichwa, how come people spend alot of money just for fu*ck's sake????..
Am soo different
 
Mmmhhhh!!!!! Hatari na nusu
 
Nimeona huko Instagram diamond kapost namba ya mtu ya inayoishia na 7777, huyo jamaa kaweka dau la 10m "kuonana" na zuchu. Diamond kashapanick mpaka anapost mtandaoni. Au ni mzee Grahams umeweka dau la 10M umle zuchu? 🀣🀣
Si wewe ulisema hapa kuna mdau alijiapiza lazima ampate Zuchu?
 
Si wewe ulisema hapa kuna mdau alijiapiza lazima ampate Zuchu?
🀣
Inawezekana ndio huyohuyo.

Hiyo inbox jamaa anasema anataka kuonana nae kwa 10minutes tu 🀣🀣🀣.

Yuko tayari kulipia gharama za "kuonana".


Zingatia neno kuonana 🀣🀣

Hiyo namba ya jina linakuja Nabil Abdallah 🀣🀣
 
Sasa Zuchu nae ana nini cha kupapatikiwa hivyo? Labda umaarufu tu ila hana kitu bora hata Tanasha.

Ila Diamond nae mswahili sana, suala kama hilo si la kulimaliza kimyakimya jamani? Hayo ni mambo ya wanawake kuchambana hadharani na wanaotaka kukuibia bwana sio wanaume.
 
Huyo jamaa utakuta ana fantasy ya kumla zuchu 🀣. Ndio maana yupo tayari kulipia gharama za "kuonana"

Hiyo namba sasa hivi mabinti wanaisumbua mno🀣🀣🀣.

Wanasema huyo jamaa ametumia hela nyingi kupata namba ya zuchu 🀣🀣 jamaa anao ujasiri wa hali ya juu na hela.


Ila Diamond alivyopanick mpaka kupost nimecheka sana 🀣🀣🀣
 
Lazima asumbuliwe, 10M mchezo?

Diamond ndio huwa nashindwa tu hapo kumkubali, ana ujinga mwingi mno!
 
Nimeona huko Instagram diamond kapost namba ya mtu ya inayoishia na 7777, huyo jamaa kaweka dau la 10m "kuonana" na zuchu. Diamond kashapanick mpaka anapost mtandaoni. Au ni mzee Grahams umeweka dau la 10M umle zuchu? 🀣🀣
Yule atakuja kuniua Babu yenu, maana kwa vile viuno akivileta kitandani si kisukari na presha vitanipanda Mzee wenu πŸ˜œπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…