ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Acha ushabiki msio na msingi...Kuna kanuni inayotumika katika kushikilia watu, kuwafungulia mashtaka, kuwahukumu au kuwaachia watu. Kama una ushahidi kuwa Lulu ni muuaji au Sheikh Ponda hana hatia kwa tuhuma zinazomhusu ni vyema usaidia Jamhuri mkuu kufikia haki.