Lulu: Sipendi "masharobaro"

Ndio hivyoo wanakua wametulia angalau japo sio wotee, ,
Maana kuna mwingine ana 50 years lakini akili zake ni miaka 18

Masharo uharo weng wana akil za usiku tu hakuna la maana wanalowaza.tehtehhh
 
Mtu mzima kashajenga ana watoto wanne wote wanafanya kazi mshahara wake ukiingia unakua hauna kazi zaidi ya starehe, useme nn usipewe.sasa sisi masharo kazi yenyewe kunyoa tumepenga kwa mama amina kodi 30 per month

Hahahaaaaa umenchekesha sana asee
 
Kuna categories za masharo, wanaojitambua na wasiojitambua.
Wanaojitambua hawaongi.
Wasiojitambua full kuhonga.
Sasa dada lulu hapa cjui alikua anawalenga wapi haswa.
Sijajiandaa kwa maswali twafadhali..
 


Ninashida ya kupata namba yake plz mwenye namba yake aniPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…