King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ndio hivyoo wanakua wametulia angalau japo sio wotee, ,
Maana kuna mwingine ana 50 years lakini akili zake ni miaka 18
Mtu mzima kashajenga ana watoto wanne wote wanafanya kazi mshahara wake ukiingia unakua hauna kazi zaidi ya starehe, useme nn usipewe.sasa sisi masharo kazi yenyewe kunyoa tumepenga kwa mama amina kodi 30 per month
Hivi ile shule ni ya komba kwelii!!!ilishapigwa mnada eee
Mbona umemind sana, we sharobaro nini.
Yeah sema tatizo na mimi sipendi vitoto kama lulu napenda watu wazima kama Mamaa Sakina wa Mashujaa atii
Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee , Elizabeth Michael Lulu amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na masharobaro akidai kuwa siku zote ni pasua kichwa ila anazimikia watu wazima waliomzidi sana umri.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii , Lulu alisema akiwa na mwanaume anapenda ampite angalau miaka kumi na kuendelea kwa kuwa anakuwa ni mtu mzima na muelewa siyo masharobaro kila wakati wanafikiria jinsi gani wataonekana smati na si kufikiria maisha.
Masharobaro hawana nafasi kwangu , kwa sababu hawafikirii maisha kabisa , hata mwanaume atakayenioa nafikiri atanipita zaidi ya miaka kumi, hapo ndiyo itakuwa sawa tofauti na hivyo sitaki masharobaro , alisema Lulu .
Kuna watu walimkombolea.
Mimi ulikua unanidanganya sio!!!!!
Nilikuwa namzingua tu huyo Le mburulazzz honey maongezi ya humu usichukulie serious barafu la moyo kwako nimekwama
Kuna watu walimkombolea.
Hahahaa!kubwa zima hata haya halina.
Hhhhhaaaaaa looo (ni utani tu bana)
Yaan unajiumiza bure tu haki ya mamaaa, tafuta demu achana na nyeto
Like!!
Honey naomba nikutoe dinner kesho!
Dinner ndo nanii?? Anafanya kazi wapiii