Luludiva: Nina miaka 19, nitaolewa nikifikisha miaka 25

Luludiva: Nina miaka 19, nitaolewa nikifikisha miaka 25

Sura haidanganyi. Ukisema alikosea kutamka badala ya 3 akaweka 1 hapo nitakubali. Lakini useme ni miaka 19 tangu azaliwe !! NEVER !!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utamtambuaje mwanamke mzee?
Manyonyo kuwa bata au umoja
Sura kuwa ngumu
Kwapa kukomaa
Mikono kuota sugu kwa nyuma na kuweka alama nyeusi
Paja kukomaa
Macho kuwa makavu
Kuota kunyanzi vidoleni
Mikono kushindwa kukunjuka yote....
Baada ya hapo kifuatacho ni kupinda mgongo....
Zifuatazo ni picha za binti na mbibiView attachment 1197785View attachment 1197787
 
Hawanaga kumbukumbu ya matukio waliyofanya nyuma
IMG_20190905_082509.jpeg
 
Utamtambuaje mwanamke mzee?
Manyonyo kuwa bata au umoja
Sura kuwa ngumu
Kwapa kukomaa
Mikono kuota sugu kwa nyuma na kuweka alama nyeusi
Paja kukomaa
Macho kuwa makavu
Kuota kunyanzi vidoleni
Mikono kushindwa kukunjuka yote....
Baada ya hapo kifuatacho ni kupinda mgongo....
Zifuatazo ni picha za binti na mbibiView attachment 1197785View attachment 1197787
Watanzania tuna safari ndefu sana.So huyo caucasioan kwa vile mweupe amejaa ni binti.?
 
Labda kamaanisha miaka 19 akiwa ndani ya fani ya mziki, ambayo aliianza kuimba akiwa na miaka 18, so ukijumlisha hapo utapata jibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani watu wanabisha utadhani wao ndio wamemzaa, si mwenyewe kasema jamani
Kuna wacheza mpira wengi wanajipa umri mdogo pia lakini sijawahi kuona wakikashifiwa na kutukanwa namna hii.
 
Hivi form 4 ndo kamaliza mwaka juzi au hakufikia elimu ya secondary kabisa?
Na ukumbuke alikuwa house girl wa Ferooz enzi zile za "ninao ninao" featuring Prof J, sasa sijui hapo alikuwa amemaliza kidato gani kabla ya kuanza u-house maid miaka kumi na kadhaa iliyopita. The numbers aren't adding up.
 
Back
Top Bottom