The genuius
Member
- Dec 14, 2019
- 69
- 42
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mnapotosha jamii kila siku kwa taharuki Kwan hilo nalo mnashindwaHuna macho hadi usione wanavyobembelezwa?
Hivi osho ya kikao sio kwa ajili ya kufanya kazi - yaani kutumia intellect yako katika kujadili mambo na kufikia maamuzi ambayo ni constructive. Sasa kama hakuna kikao kilifanyika na lunch walipewa, posho ni ya nini?Ni haki yao.Kikao kina posho kikatiba.Sitting Allowance.Mikono wamenyoosha wakapokea mshiko na kurudi nyumbani siku mbili bila kikao.Hii ni sawa sawa na kusubiri lift ambayo hujui itatokea wakati gani.
Si unajua tena siasa zetu ni za kubadili gia angani!
Mungu kajibuWazee wetu
[emoji23]Ubatizo wa moto aliotabiri yusufu makamba umemfikia naona hata kulala vizuri halali
Ulisema ukanena finally yametimuIla huu utamaduni sio mzuri,huu wa kukomoana,maana una create circle ya kukomoana huko mbele,
Hata Kama sio wewe,watoto wajukuu,vitukuu wanaweza kuja kupata tabu,
Tuishi kwa upendo,ooh
Na yamekua
Malipo ni hapahapaHeshima zenu wazee wetu kwa kufika. Ombi; Msiwaachie razi tu vijana wetu hao. Hao wote walikuwa hawaja zaliwa mlipojiunga chamani. Laiti wangewaomba wazee kuwahoji. Kweli maadili sasa kwishney
DaaahFiziolojia,
Yaani CCM hawapendi kushindwa. Watakuwa wamewatisha Wazee wa watu mpaka wakakubali kutokea ili kuondoa sibu. Logically huwezi kumuita kwenye kamati mtu ambaye siyo mwanachama wako.
[emoji38][emoji38][emoji38]Kuna habari zinazosemekana kuwa mzee Makamba na Abdulrahman Kinana (makatibu wakuu wa zamani CCM) wanaweza kuhojiwa na kamati ya maadili CCM leo hii jumatatu ya tarehe 10 February, 2020.
Hii ni baada ya wazee hao wakongwe wa chama hicho kuwachomesha mahindi wajumbe wa kamati ya maadili kwa siku mbili mfulizo (ijumaa na j'mosi) ambao walikaa kuanzia asubuhi mpaka jioni kuwasubiri bila ya mafanikio.
------------ ----------- ------------ ------------ -------
UPDATE
Makatibu wakuu wastaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuf Makamba na Abdulrahaman Kinana wamefika mbele ya kamati ndogo ya Usalama na Maadili katika ofisi ndogo za CCM Lumumba Jijini, Dar