The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Lundenga anacheza na hili shindano
poor promotion
watu wengi walikuwa hawajui..
no proper media coverage
wasanii waku perform ndo kabisa
mganda hamna kitu
Jaydee akavaa kama anaenda Disco
jukwaa likammeza ,hakuwa hata na dancer mmoja
kaimba nyimbo moja, katoka
kurudi nyimbo ya pili....so poor perfomance
stage ilivyo kuwa na mirangi rangio myekundu utasema jukwaa la mganga wa kienyeji...
hili shindano wakiendelea hivi litapoteza mashabiki wengi...
poor promotion
watu wengi walikuwa hawajui..
no proper media coverage
wasanii waku perform ndo kabisa
mganda hamna kitu
Jaydee akavaa kama anaenda Disco
jukwaa likammeza ,hakuwa hata na dancer mmoja
kaimba nyimbo moja, katoka
kurudi nyimbo ya pili....so poor perfomance
stage ilivyo kuwa na mirangi rangio myekundu utasema jukwaa la mganga wa kienyeji...
hili shindano wakiendelea hivi litapoteza mashabiki wengi...