Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
We nae wale wale sasa Zuchu nae Demu mzuri? Yani ukitumwa demu Mzuri unapeleka ZuchuUnademu mzuri kama zuchu kweli au CCM imekuweusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nae wale wale sasa Zuchu nae Demu mzuri? Yani ukitumwa demu Mzuri unapeleka ZuchuUnademu mzuri kama zuchu kweli au CCM imekuweusha
Nikitumwa wapi?!We nae wale wale sasa Zuchu nae Demu mzuri? Yani ukitumwa demu Mzuri unapeleka Zuchu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nataka niende huko nikarefresh.Kwani safari inatarajiwa kuwa lini? Siku zikikaribia ndio tuunde group ili watu wasije choka kabla ya safari
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Itabidi ikodishwe tu coaster tu sasa maana naona watu ni wengiNami nataka niende huko nikarefresh
Achana nao shime tukaroge sie[emoji3][emoji3]Hamna cha ISIS wala nini hizo huwa ni stori tu, uhalisia huwa ni mdogo sana
[emoji38]Nikitumwa wapi?!
Ahahaa ukitumwa ukalete demu,Nikitumwa wapi?!
Liwale Lindi huko kijiji cha mpiga miti kwenda sehemu moja inaitwa ngorongopa.Huyu bi likunji ni wa wapii
AsanteLiwale Lindi huko kijiji cha mpiga miti kwenda sehemu moja inaitwa ngorongopa
Group la kwenda wapi mamilooo. Nipe taarifa tafadhaliKwani safari inatarajiwa kuwa lini? Siku zikikaribia ndio tuunde group ili watu wasije choka kabla ya safari
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huyo bibi Anafanyeje?Liwale Lindi huko kijiji cha mpiga miti kwenda sehemu moja inaitwa ngorongopa
Kwenda LupatuGroup la kwenda wapi mamilooo,
Nipe taarifa tafadhali
Kufanya nini huko mamiiiKwenda Lupatu
Wewe siku zote mabishano yetu miaka ya nyumaMnapanga kwenda lini ili ikiwezekana nami nijoin??
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kiranga mwenzio mpk kuitaka LUPATU kakubari MUNGU yupo na UCHAWI upoBado watu wanaamini uchawi mpaka leo?
Mkuu umetaja majina ya zamani ya kutaka stamina nakupa heshima kwa kudumu.Wewe siku zote mabishano yetu miaka ya nyuma
uamini uwepo wa Mungu wala majinni km kiranga na ukawa unataka uthibitisho na wenzio kina Bennie 369 sijui yuko wapi huyu
Sasa iweje leo unataka LUPATU ujirinde na wachawi inafikirisha sana nyinyi wapinga MUNGUKiranga mwenzio mpk kuitaka LUPATU kakubari MUNGU yupo na UCHAWI upo
bado wewe rudi BONGO huku urogwe km hujaenda kufata LUPATU au SILVA MACOA kwa bibi kuzikwa ukiwa hai siku 2