LUPITA NYONG'O - Msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi Afrika, Bongo nani wa kututoa kimasomaso na sisi?

LUPITA NYONG'O - Msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi Afrika, Bongo nani wa kututoa kimasomaso na sisi?

Hata kama yakiwa ya M wangu, hayakuhusu.
Nawewe si una M, mwambie akurithishe, au mshazika?
Yaani wanaume wengine mnakuwa kama macchoko tena mahanithi msiotahiriwa jandoni.
Hv wewe unashoboka na mimi unadhani nitakuachia eti kisa uma wa watu?
Qumma mako, nini uma....hata ingekuwa kijiko poa tu.
Unadhani nitaogopa kukujibu panya mmoja wewe kisa uma wa humu?
Kuna mtu ananilisha humu K wewe?
Mmeshaambiwa tangu jana....acheni kushobokea shobokea comment za watu
Mtazalishwa bila shahawa.
Ulitumwa uni-quote?
Ukajua nitakuachia au.

Mbona wengine wamepita kimya...ila wewe ukasimamisha mapumbbu yako jukwaani ku-comment.
Na ulichokitafuta ushakipata
Na Mimi nina uume kama wako....nichezee nikutie mimba.
Usidhani akina Madame wote humu ni wanawake.

Panya buku we!!
[emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji2] madameeeeee
 
Anza tena kama umemaliza
Ndo nakwambia....ukomeeee kudandia comment za watu.
Kama una hamu ya kudandia vitu...kadandie kissimi cha mkeo, ukiteleza utakiachia.
Mnatuona tupo kimya mnaanza kututia vidole vya makalio.

Next time tukikutana jukwaani, kung'uta kendde zako.....pitia kushoto kwangu.
Mnajitia ujuaji msiokuwa nao.

Wengine sisi sio waongeaji, afu hatuogopi Ban vilevile pale inapobidi.
Mxiyuuuuuuuuuuuuu!!!!!!
 
Ndo nakwambia....ukomeeee kudandia comment za watu.
Kama una hamu ya kudandia vitu...kadandie kissimi cha mkeo, ukiteleza utakiachia.
Mnatuona tupo kimya mnaanza kututia vidole vya makalio.

Next time tukikutana jukwaani, kung'uta kendde zako.....pitia kushoto kwangu.
Mnajitia ujuaji msiokuwa nao.

Wengine sisi sio waongeaji, afu hatuogopi Ban vilevile pale inapobidi.
Mxiyuuuuuuuuuuuuu!!!!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji3]
 

Naam Lupita nyong'o kutoka hapo juu tu paitwapo kenya ndiye mcheza filamu anayelipwa pesa nyingi zaidi kutokea upande huu wa East of afrika, na hakika hakuna anayeweza kupinga kua huyu dada anajua ku act plus na kingereza nacho kinamuhakikishia maisha mazuri huko hollywood,

Swali langu ni kwa hapa bongo nani anaweza kututoa kimasomaso na sisi atupeleke huko hollywood? au ni lini bongo movie yetu itaweza kutusua hata mpaka hapo West of Africa (Nigeria) tu? kama wanavyofanya vijana wetu wachapakazi wa Bongo Fleva wakiongozwa na wasanii machachari sana yani Diamond na Alikiba.

Wakwetu wengi hata baada ya kusoma sana elimu yao na akili zinaishia kiunoni.Kwa hawa waliopita tuhesabu hasara KIDOTI ni mke wa chama. SEPENGA ndio kabisa anapenda mashine kuliko hela, hawawengine kina Mobeti, Wolper hata siwataji kwani kichwani hakuna kitu labda madini yapo kiunoni.Hivi na MANGE je?
 
Labda siku Mwakyembe na Juliana Shonza watakapo amua kucheza wenyewe filamu kama mume na mke (kimaigizo) ndio filamu hiyo yaweza kuhit
 
Mi huwa nawashangaa sana hawa bongo movie wameshindwa kujiongeza kina Wema hata kwenda Nigeria tu hapo atleast ingewasaidia hata kuonekana na kujulikana Africa kabla hawajafika huko mbali, kazi yao kugombania mabwana tu ndicho wanachokiweza zaidi
 
Huyo ana uraia wa marekani hivyo sii mkenya wala mwafrika kama unavyodhani
 
Back
Top Bottom