zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Swali kijinga kwa hio yeye ndio anastahili kuuwawa?Kwa nini usitekwe wewe au mimi lakini akayekwa yule? Jiulize sana na utafakari.
Kwa nini yeye atekwe???
Kama unazijua sababu tuambieni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali kijinga kwa hio yeye ndio anastahili kuuwawa?Kwa nini usitekwe wewe au mimi lakini akayekwa yule? Jiulize sana na utafakari.
Kwa nini yeye atekwe???
Kama unazijua sababu tuambieni.
Hotuba ya OVYO kuwahi kutokea na kiongozi wa nchi.Nimesikitika sana kwa hotuba ile
Kosa letu ni kuipokea ajenda ya Shetani ya 50/50,tukaiasi HESHIMA na HADHI iliyoiwekwa na MUNGU ya mwanaume kuwa KICHWA/KIONGOZI/MTAWALA/MTOA MAAMUZI kwa ngazi zote [ki familia hadi kitaifa],sisi [Taifa/wananchi]tukaihamishia kwa mwanamke,ni mfano wa tunu na hadhi ya uzaliwa wa kwanza kati Esau na mdogo wake[Yakobo]ilivyoleta athari kati yao.Ni lazima tukinywee kikombe.TULIYATAKA WENYEWE.Africa tumemkosea nini mungu, kuwa na Rais kichwa panzi kama huyu
Why him and not you or anybody else? GT wameelewa wewe huwezi.Swali kijinga kwa hio yeye ndio anastahili kuuwawa?