Lusinde amjia juu Polepole, amsifia Bashiru, ni kuhusu wanaotaka Urais wa Samia

Lusinde amjia juu Polepole, amsifia Bashiru, ni kuhusu wanaotaka Urais wa Samia

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Nukuu za aliyoyazungumza Mbunge wa Jimbo la Mvumi, Livingstone Lusinde, leo Jumatatu Februari 7, 2022:

"Sikiri kuwa, kuna makundi yanayoutaka urais kwa maana wanasubiri ratiba kugombea, bali kuna makundi haramu yanayotaka kugombea urais 2025 ambao wanaanza mapema kabla ya wakati, mimi kundi langu ni kundi linaloongoza nchi kwa sasa.

"Vyama vinavyotunyooshea vidole havina uhalali hata kidogo, vyama vingine vina miaka 30 lakini hata ofisi hazina, hivi ingetokea aliyeanzisha benki angejenga kwa matope na kuezeka kwa majani hivi kuna mtu angeamini na kuweka fedha zake kweli.

"Baada ya kutoka katika uongozi wa chama (CCM), Dkt. Bashiru Ally ameendelea kuonyesha ukomavu na ukubwa wake tangu mwanzo, anazungumza pale inapobidi na ananyamaza inapobidi. Mwenendo wake uko vizuri. Kuhusu, Polepole yeye yuko tofauti na Dkt. Bashiru.

"Ukiwa ni mbunge wa kuteuliwa na Rais, maana yake wewe jimbo lako ni Ikulu, hivyo hata mwenendo wako unapaswa kuwa sawa na mwenendo wa Ikulu.

"Kuna baadhi ya watu ambao wamechelewa kumuelewa Rais Samia anataka nini, yawezekana mmoja wao ni Polepole.

"Kuhusu kauli ya Rais Suluhu Samia kuwaonya mawaziri kuwa ni vyema wakawa wanaheshimiana wao kwa wao na wakati mwingine ni vizuri wakafuata methali za Kiswahili kwamba mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake, kufuatia kauli hiyo, hakuna sehemu Rais aliwaambia waibe.

"Nimefuatilia ukosoaji wa Polepole kuhusu kauli ya Rais ya mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake, niseme tu hakumwelewa Rais, kula urefu wa kamba ni kula vitu ambavyo umepangiwa kisheria, ukiwa waziri unapata stahiki nyingi ikiwemo posho zaidi, usafiri.

"Zipo njia za kukosoa anazotumia Polepole si sahihi, zipo njia sahihi na rasmi za kuwasilisha maoni yake yanayokosoa. Polepole siyo mlafi wa madaraka, lakini nahisi kuna tatizo fulani sehemu fulani.

"Rais Samia alisema atalinda mila na desturi, dhambi iko wapi? Machifu wa zamani walikuwa wanatoza kodi, walikuwa wanahukumu, wakipita walikuwa wanabebwa, je machifu wa sasa wako hivyo? Ni wapi chifu alizuia shughuli zisifanyike.

"Kwa namna tunavyokwenda na kwa kasi anayokwenda nayo Rais Samia na namna anavyofanya kazi bila kufokea mtu huku matokeo yakionekana, napata mashaka ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa ni mkubwa sana kuliko ilivyokuwa 2020.”
 
Jamani mwacheni Bashiru apumzike kazi aliyofanya CCM ni kubwa sana kosa pekee alilofanya ni kuwa mkali kupitiliza.

Polepole anatakiwa atambue kwamba kazi yake ilikwisha na akizidi hapo anajiharibia. Polepole ni mdogo sana kwa CCM
 
kikatiba watia nia wanaruhusiwa kipindi hiki
 
Nukuu za aliyoyazungumza Mbunge wa Jimbo la Mvumi, Livingstone Lusinde, leo Jumatatu Februari 7, 2022:

"Sikiri kuwa, kuna makundi yanayoutaka urais kwa maana wanasubiri ratiba kugombea, bali kuna makundi haramu yanayotaka kugombea urais 2025 ambao wanaanza mapema kabla ya wakati, mimi kundi langu ni kundi linaloongoza nchi kwa sasa.

"Vyama vinavyotunyooshea vidole havina uhalali hata kidogo, vyama vingine vina miaka 30 lakini hata ofisi hazina, hivi ingetokea aliyeanzisha benki angejenga kwa matope na kuezeka kwa majani hivi kuna mtu angeamini na kuweka fedha zake kweli.

"Baada ya kutoka katika uongozi wa chama (CCM), Dkt. Bashiru Ally ameendelea kuonyesha ukomavu na ukubwa wake tangu mwanzo, anazungumza pale inapobidi na ananyamaza inapobidi. Mwenendo wake uko vizuri. Kuhusu, Polepole yeye yuko tofauti na Dkt. Bashiru.

"Ukiwa ni mbunge wa kuteuliwa na Rais, maana yake wewe jimbo lako ni Ikulu, hivyo hata mwenendo wako unapaswa kuwa sawa na mwenendo wa Ikulu.

"Kuna baadhi ya watu ambao wamechelewa kumuelewa Rais Samia anataka nini, yawezekana mmoja wao ni Polepole.

"Kuhusu kauli ya Rais Suluhu Samia kuwaonya mawaziri kuwa ni vyema wakawa wanaheshimiana wao kwa wao na wakati mwingine ni vizuri wakafuata methali za Kiswahili kwamba mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake, kufuatia kauli hiyo, hakuna sehemu Rais aliwaambia waibe.

"Nimefuatilia ukosoaji wa Polepole kuhusu kauli ya Rais ya mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake, niseme tu hakumwelewa Rais, kula urefu wa kamba ni kula vitu ambavyo umepangiwa kisheria, ukiwa waziri unapata stahiki nyingi ikiwemo posho zaidi, usafiri.

"Zipo njia za kukosoa anazotumia Polepole si sahihi, zipo njia sahihi na rasmi za kuwasilisha maoni yake yanayokosoa. Polepole siyo mlafi wa madaraka, lakini nahisi kuna tatizo fulani sehemu fulani.

"Rais Samia alisema atalinda mila na desturi, dhambi iko wapi? Machifu wa zamani walikuwa wanatoza kodi, walikuwa wanahukumu, wakipita walikuwa wanabebwa, je machifu wa sasa wako hivyo? Ni wapi chifu alizuia shughuli zisifanyike.

"Kwa namna tunavyokwenda na kwa kasi anayokwenda nayo Rais Samia na namna anavyofanya kazi bila kufokea mtu huku matokeo yakionekana, napata mashaka ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa ni mkubwa sana kuliko ilivyokuwa 2020.”
Kwani Lusinde ni Nani Hadi apangie watu cha kuongea? Hiyo tafsiri ya Kula kwa urefu wa kamba imeandikwa kitabu gani?
 
Watueleze kwann bwawa la Nyerere halijaanza kujazwa maji, tunataka umeme wa bei nafuu, na hili suala tutajua kiasi Gani wanasiasa wanahujumu hili taifa. Mengine haya hayana maana wala value yoyote kwa taifa wala hayana msaada kwa watanzania.

Umejuwaje kuwa huo umeme utakuwa wa bei rahisi?
 
Nukuu za aliyoyazungumza Mbunge wa Jimbo la Mvumi, Livingstone Lusinde, leo Jumatatu Februari 7, 2022:

"Sikiri kuwa, kuna makundi yanayoutaka urais kwa maana wanasubiri ratiba kugombea, bali kuna makundi haramu yanayotaka kugombea urais 2025 ambao wanaanza mapema kabla ya wakati, mimi kundi langu ni kundi linaloongoza nchi kwa sasa.

"Vyama vinavyotunyooshea vidole havina uhalali hata kidogo, vyama vingine vina miaka 30 lakini hata ofisi hazina, hivi ingetokea aliyeanzisha benki angejenga kwa matope na kuezeka kwa majani hivi kuna mtu angeamini na kuweka fedha zake kweli.

"Baada ya kutoka katika uongozi wa chama (CCM), Dkt. Bashiru Ally ameendelea kuonyesha ukomavu na ukubwa wake tangu mwanzo, anazungumza pale inapobidi na ananyamaza inapobidi. Mwenendo wake uko vizuri. Kuhusu, Polepole yeye yuko tofauti na Dkt. Bashiru.

"Ukiwa ni mbunge wa kuteuliwa na Rais, maana yake wewe jimbo lako ni Ikulu, hivyo hata mwenendo wako unapaswa kuwa sawa na mwenendo wa Ikulu.

"Kuna baadhi ya watu ambao wamechelewa kumuelewa Rais Samia anataka nini, yawezekana mmoja wao ni Polepole.

"Kuhusu kauli ya Rais Suluhu Samia kuwaonya mawaziri kuwa ni vyema wakawa wanaheshimiana wao kwa wao na wakati mwingine ni vizuri wakafuata methali za Kiswahili kwamba mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake, kufuatia kauli hiyo, hakuna sehemu Rais aliwaambia waibe.

"Nimefuatilia ukosoaji wa Polepole kuhusu kauli ya Rais ya mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake, niseme tu hakumwelewa Rais, kula urefu wa kamba ni kula vitu ambavyo umepangiwa kisheria, ukiwa waziri unapata stahiki nyingi ikiwemo posho zaidi, usafiri.

"Zipo njia za kukosoa anazotumia Polepole si sahihi, zipo njia sahihi na rasmi za kuwasilisha maoni yake yanayokosoa. Polepole siyo mlafi wa madaraka, lakini nahisi kuna tatizo fulani sehemu fulani.

"Rais Samia alisema atalinda mila na desturi, dhambi iko wapi? Machifu wa zamani walikuwa wanatoza kodi, walikuwa wanahukumu, wakipita walikuwa wanabebwa, je machifu wa sasa wako hivyo? Ni wapi chifu alizuia shughuli zisifanyike.

"Kwa namna tunavyokwenda na kwa kasi anayokwenda nayo Rais Samia na namna anavyofanya kazi bila kufokea mtu huku matokeo yakionekana, napata mashaka ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa ni mkubwa sana kuliko ilivyokuwa 2020.”
Polepole afukuzwe tu chamani!
 
Watueleze kwann bwawa la Nyerere halijaanza kujazwa maji, tunataka umeme wa bei nafuu, na hili suala tutajua kiasi Gani wanasiasa wanahujumu hili taifa. Mengine haya hayana maana wala value yoyote kwa taifa wala hayana msaada kwa watanzania.
Bwawa la nyerere haliwez kukamilika Leo Wala kesho labda 2025 huko.
Nilijaribu kumuuliza mtu ambaye Ni rafik yangu yupo huko Kama engineer aliniambia kila kitu na Mambo mengi Sana .
Ukweli wanasiasa Ni watu waongo balaa sijui why wanadanganya kwenye vitu sensitive Kama hivi.
Unawezaje kuongea uongo wa mchana kweupe wakat unajua fika hili jambo haliwezekan kwa wakati fulani?

Pia rafik angu alinidokeza kuwa Kuna mitambo inatakiwa ipelekwe huko site lakin hiyo mitambo haiwez kufika salama lazima ijengwe barabara ya lami kutoka mkata km sikosei Hadi huko Rufiji na hiyo barabara Bado haijajengwa.

Pia nikamuuliza vipi speed ipoje ,akanihakikishia kuwa katika mradi unapelekwa kwa speed kali basi Ni huo mradi ,Ila changamoto tu Ni uongo wa wana siasa kuwahadaa wananchi wao.

Hivyo mradi unaendelea kwa speed kali lakin itachukua muda mrefu kukamilika maana mradi Ni mkubwa balaa ,miaka minne au mitano mbele ndipo mradi utakamilika ,so acheni kusikiliza hao Wana siasa uchwara .
 
Anayeitwa 'hajasoma' anaongea vitu vyenye mantiki kuliko wanajiona wamesoma na kuanzisha mashule ya uongozi kwa ajili ya mitahira yao fulani, au zaidi ya wanaojiita great thinkers wengi humu jukwaani jf.
 
Huyo Lusinde hataki Polepole aongee anamfundisha kuwa kondoo, hata hakumbuki huyo anayedai kumuunga mkono ndie aliesema 2025 ni zamu ya wanawake, Lusinde anajipendekeza kirahisi sana.
Huwezi jua.Labda anatafuta njia ya kuvaa madera aliyonunua!
 
Back
Top Bottom