Lusinde amjia juu Polepole, amsifia Bashiru, ni kuhusu wanaotaka Urais wa Samia

Kwamba wanautaka urais wa Samia!!?
 
Umenifurahisha hujaonyesha u-team wa kijingajinga; umesema wanachofanya na umesema wasichofanya sawa (kudanganya)..... ubarikiwe kwa hilo. Kuna watu humu hawalali kwa ajili ya kudanganya kuwa mradi huo umetupiliwa mbali, kwamba hakuna chochote kinachoendelea huko.

Ukiacha waongo hao waitwao wanasiasa, kuna kundi jingine la waongo linaibuka kwa kasi humu mitandaonni linalochochewa na ujinga unaoitwa team. Tena uongo wa hawa ni wa ki.p.umbavu kweli maana utalikuta lijitu, tena linajiita great thinker, halafu linakomaa kudanganya huku sura ikiwa inamshuka kwa aibu!
 
Ukiwa muuaji saa zote unafikiri na wewe wanataka kukuua, fanyeni kazi acheni kujihami!
 
Ukifika mtera jimboni kwa kibajaji unaweza kutoa machozi sijui huu muda wa kubwabwaja anautoa wapi wakati jimboni kwake hakuna alichokifanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…