Luteni Colonel Daniel Davis wa Jeshi la Marekani anasema hakuna njia yoyote ya kijeshi itayoifanya Ukraine iishinde Urusi vitani

Luteni Colonel Daniel Davis wa Jeshi la Marekani anasema hakuna njia yoyote ya kijeshi itayoifanya Ukraine iishinde Urusi vitani

Tuweke kumbukumbu sawa! Marekani haikuondoka Afghanistan ila ilikimbia toka Afghanistan!! Ilishindwa hata kuchukua vitu vyake!! Marekani ilishindwa vita nchi Afghanistan baada ya kupigana huko kwa miaka zaidi ya 20!!!
Sawa. Hili Halina mjadala. Naamini unaujua ukweli.
 
Back
Top Bottom