Luteni Ian Kagame

Sitapiga kura Mimi ,,Afrika ina laana
 
Umemaliza kila kitu mkuu, umeingiza ndani mno.
 
So kipi kifanyike ili waishi pamoja?
 
Awa jamaa Ni wauwaji Sana.

Mi naona congo ifanye kitu pk apotee.
Watusi wanaoishi uganda sijasikia wameua mtu, hata walioko kanda ya ziwa tz sijasikia wakiwa na migogoro na wahutu sasa kwanini wa Rwanda na burundi wawe ndo wakorofi? Shida ni nn?
 
Watusi wanaoishi uganda sijasikia wameua mtu, hata walioko kanda ya ziwa tz sijasikia wakiwa na migogoro na wahutu sasa kwanini wa Rwanda na burundi wawe ndo wakorofi? Shida ni nn?
Kagame Kama angefwata nyayo za m7 ingekua afadhali kidogo.

Watusi wa Burundi wanafwata nyayo za pk.
Na ndio Mana ata umonitor wa darasa hapewi mtusi uko Burundi.
 
Unatuletea sifa za huyo nanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…