nimulikie
Senior Member
- Feb 1, 2020
- 133
- 176
Kafue chupi ukimaliza kalaleHatareeeee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafue chupi ukimaliza kalaleHatareeeee.
Ni mtoto wa nani?Inasemekana hugo sio mtoto hailsi wa kagame
hahahahaha,hizi tuhuma zilikuwepo sana miaka ya 2009 huko kn blog moja ilianzisha hiliMkuu kitanda hakizai haramu
View attachment 2414808
Watutsi wote ni Malaya kwa asili hasa wanaume.Watusi waliokulia tz waliishia kuwa wakulima na wafugaji, nasikia wanapenda ngono na pombe hivyo hawako focused hawawezi pewa nyazifa kubwa wakazimudu maana wamekaa kizembe na shule hamna au ni maneno ya kuwabania tu?
Sitapiga kura Mimi ,,Afrika ina laanaMambo Ni Yale Yale tu,CHADEMA kukiwa na Mzee mtei akamuachia chama mkwewe Mbowe.Mbowe nae akampa Ubunge wa viti maalum mchepuko wake J. Mukya,huku Mzee Ndesamburo nae binti yake Lucy owenya nae akipewa ubunge wa viti maalum,Lissu dada yake Christina Lissu nae viti maalum.
CCM Kuna wakina JR kibao January,Ridhiwani,Nape etc
😄😄 Trump alituitaga Ni shit hole aisee.Sitapiga kura Mimi ,,Afrika ina laana
Mambo ya kuchafuana hayoKitanda hakizai haramuView attachment 2414804
Umemaliza kila kitu mkuu, umeingiza ndani mno.Kwanza wale katika nchi zao race hazizidi tatu yaani kuna wahutu ambao ni wengi Rwanda na burundi, kuna Watusti kabila linalofuata kwa idadi ya watu kwenye nchi zote sasa kuna watwa hii ni jamii dhalili na maskini sasa kwa Burundi na Rwanda wakoloni walichagua kufanya kazi za kiofisi na watutsi huku wahutu ambao ni wengi wakiachwa wafanye kazi za nguvu na kuwatumikia watusti ambao walikua wanamiliki mifugo mingi, na ikawa hivo uongozi ukaanza kua vita hadi leo sema watutsi shule iliwasaidia na kumiliki uchumi, na wanaushirikiano kupita maelezo yaani mtutsi wa Tanzania, Rwanda na Burundi kukuta wanaconnection sio ajabu, halafu walivoingia Tanzania walikuta wenzao waha wametangulia muda mrefu, ambapo kwa hao waha wakawameza watutsi sasa waha wanakua na viukoo vyao wanaita milyango kama wakimbili, wanyongozi , wajiji na kadhalika lakini walikua na tawala zenye nguvu na zinazomiliki uchumi tayari wakawa na akina mwami ntare na watangulizi wao hivo wakakosa nguvu na wakishia kule manyovu tu hawakusambaa zaidi, halafu, warundi, wanyarwanda na watu wa kigoma hasa waha wanaongea lugha moja na wanaelewana tofauti ni utamshi wa maneno wengine huvuta, wengine huongea haraka, halafu mfumo wa kiuongozi kwa Tanzania yenye makabila 120 , mila desturi za mtanzania wale wasingefurukuta kwanza wachache sana
So kipi kifanyike ili waishi pamoja?Kuna mtu aliwahi niambia kuwa watutsi wengi pale Rwanda huwa wanajua vizuri kuwa kuna siku wahutu wataamka na kuchukua haki yao ya utawala maana wao ni 85% so hata wakienda kwenye free and fair election watashinda mapema saana sasa watutsi wengi wanajua kabisa hiyo siku ikitokea wahutu wameshika nchi lazma watalipiza kisasi ikiwemo kuwanyang'anya watutsi haki yao waliyojimilikisha kibabe ya kumiliki siasa na uchumi wa Rwanda pamoja na sekta zote nyeti ikiwemo jeshi so watutsi wale wa Rwanda wote wapo mguu ndani mguu nje kila mmoja kuna nchi ya ziada aliyojiattach wapo waliojiattach na Tz wapo waliojiattach na Uganda na wachache wale wakishua wamejiattach na baadhi ya nchi za ulaya na marekan n.k mfano mtoto mkubwa wa Kagame,Ian Kagame yeye anamiliki mjengo marekani mjini California na zipo tetesi kuwa anayo Green card.
We vipi.Katika orodha makabila ya bongo watusi hamna ila wahutu wapo hii huwa nashindwa kuielewa kabisa
Hahaaa ushetani wao ni upi?We vipi.
Mashetani watajwe wapi.
Awa jamaa Ni wauwaji Sana.Hahaaa ushetani wao ni upi?
Watusi wanaoishi uganda sijasikia wameua mtu, hata walioko kanda ya ziwa tz sijasikia wakiwa na migogoro na wahutu sasa kwanini wa Rwanda na burundi wawe ndo wakorofi? Shida ni nn?Awa jamaa Ni wauwaji Sana.
Mi naona congo ifanye kitu pk apotee.
We utakuwa hufwatilii hii Vita wewe [emoji1787][emoji1][emoji1] Wakata mauno na Vita wapi na wapi.
Jeshi la Congo wanapigwa hata na Jeshi la mgambo wa bongo.
Kagame Kama angefwata nyayo za m7 ingekua afadhali kidogo.Watusi wanaoishi uganda sijasikia wameua mtu, hata walioko kanda ya ziwa tz sijasikia wakiwa na migogoro na wahutu sasa kwanini wa Rwanda na burundi wawe ndo wakorofi? Shida ni nn?
Pk changamoto yoyote inayotokea yeye hana njia nyingine ni kuuwa tu duhNdio maana binti alikua kaoza halafu mwamba anampenda sana alexia mupenda, ikabidi alexia auawe ili ange abaki peke yake ajishindie kombe kirahisi
😄😄 Vita gani?labda unamaanisha Vita ya huko Twitter/ social medias.We utakuwa hufwatilii hii Vita wewe [emoji1787]
Unatuletea sifa za huyo nangaPichani ni Ian Kagame (jina lake kamili ni lan Kagame Deogratius Rutagambwa) ambaye alijiunga na jeshi la nchi hiyo wiki iliyopita.
Ian alikuwa ni miongoni mwa Maofisa cadets 568 waliopewa kamisheni katika Chuo cha Kijeshi cha Rwanda ambao waliweza kufaulu mafunzo ya kijeshi nchini Rwanda, kemisheni hizo zilitolewa na Rais Paul Kagame mwenyewe.
Ian Kagame Deogratius Rutagambwa ambae ni moja ya askali wapya katika jeshi la Rwanda alijiunga na Chuo cha kijeshi cha Royal Military Academy huko Sandhurst nchini Uingereza mnamo Agosti 8, 2021 na kuhitimu mafunzo yake Agosti 12, mwaka huu ambapo alitunukiwa cheo cha Luteni wa Pili (Second Lieutenant).
Chuo hiki cha Royal Military Academy cha huko Sandhurst ni miongoni mwa vyuo bora vya Kijeshi nchini Uingereza, vinavyo wafunza watoto wa viongozi wakubwa duniani, hasa kutoka Afrika, Mtoto wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Muhoozi Kainerugaba pia alipata mafunzo yake chuo hiki na kuhitimu mwaka 2000.
Hiyo Tisa, Kumi ni Kwamba...
Ian alikuwa ni miongoni mwa askali 24 maalumu waliopelekwa nje ya nchi kupata mafunzo muhimu, Ian Kagame Deogratius Rutagambwa ni mtoto wa 3 kuzaliwa kati ya watoto wa Kagame na mtoto wa pili wa kiume.
Huyu ndio mtoto pekee wa Kagame aliweza kufaulu mafunzo ya juu ya kijeshi na kujiunga na jeshi la nchi hiyo, mtoto mkubwa wa Kagame aitwae Ivan aliachilia masomo katikati katika Chuo cha Kijeshi cha West Point huko Marekani mwaka 2010 miezi miwili tu baada ya kujiunga, Alisema hakupendezwa na Jeshi.
Huyu Ivan alimkatisha tamaa baba yake sana, Paul Kagame alikili hilo hadharani.
Kuna tetesi kwamba Rais Kagame anapanga Ian (Ian Kagame Deogratius Rutagambwa) achukue nafasi yake mwaka 2034, awe ndio mrithi wake wa kiti cha uraisi.
MUHIMU: Itambulike ni tetesi..[emoji1]
Ndimi Comred Mbwana Allyamtu CMCAView attachment 2414354View attachment 2414358View attachment 2414355View attachment 2414356View attachment 2414357View attachment 2414359