Luteni Ian Kagame

Luteni Ian Kagame

Waliopigana vita kutokea Tanzania wengi ni warundi na walidaka vyeo kwao, kwa Rwanda wengi ni crew ya kutoka pori la uganda waliokua na museveni,
Miaka hiyo nasikia walikusanywa tutsi kutokea nchi zote Africa mashariki warudi kupigania nchi yao mwanzoni mwa 90's, vijana wakajiunga na rpf wakapambana na kushinda vita 94, sasa baada ya vita mbona hatuoni vijana waliotokea bongo wakitoboa? Waliishia kuwa wa kawaida tu je ni elimu hawakuwa nayo uweledi au walibaniwa?
 
Ukweli ni kwamba namba ya wabongo waliotoboa ni ndogo mno ukilinganisha na wa ug ama burundi pengine labda waliotokea bongo hawakuwa na elimu au exposure kama hao waliotokea mataifa jirani au pia labda mchango wa wabongo ulikuwa mdogo sana na wanastahili walichopata
Mchango kua mdogo huo Ni kweli,watutsi kutoka Uganda na Burundi ndio walitoa wapiganaji wengi Kwny RPA.Nadhani hata ratio ya Tutsi wengi waliohamia Rwanda baada ya 1994 walitokea huko huko Uganda na Rwanda kulinganisha na bongo.
 
Mchango kua mdogo huo Ni kweli,watutsi kutoka Uganda na Burundi ndio walitoa wapiganaji wengi Kwny RPA.Nadhani hata ratio ya Tutsi wengi waliohamia Rwanda walitokea huko huko Uganda na Rwanda kulinganisha na bongo.
Mchango wao uliokuwa mdogo ni wa nguvu kazi au mali? Ni walikuwa wachoyo wa kutoa mali zao au walibania watoto wao wasijiunge na jeshi kupigania nchi yao?
 
Mchango wao uliokuwa mdogo ni wa nguvu kazi au mali? Ni walikuwa wachoyo wa kutoa mali zao au walibania watoto wao wasijiunge na jeshi kupigania nchi yao?
Mchango wa kijeshi.

Lkn Pia PK amekulia Uganda wkt Janet Kagame amekulia Burundi so watakaobebwa hapo wanajulikana watatokea wapi.

Kwa mfano kwny jeshi lao Kuna kipindi top brass ya jeshi walienjoy waliokulia Congo wakina Gen. James Kabarebe,then kuna zamu walienjoy waliokulia Uganda wakina Gen. Nyamwasa,Kayonga,Nyamvumba na Sasa Ni zamu ya waliokulia Burundi wakina Gen. Kazura.

So far hata Mimi sijaona Kama kuna boss yoyote wa jeshi lao aliyetokea/kukulia Tz lkn nchi nyingine karibu zote za E/Africa yaani Burundi, Uganda,Congo zimeshatoa mkuu wa majeshi huko Rwanda.
 
Mchango wa kijeshi.

Lkn Pia PK amekulia Uganda wkt Janet Kagame amekulia Burundi so watakaobebwa hapo wanajulikana watatokea wapi.

Kwa mfano kwny jeshi lao Kuna kipindi top brass ya jeshi walienjoy waliokulia Congo wakina Gen. James Kabarebe,then kuna zamu walienjoy waliokulia Uganda wakina Gen. Nyamwasa,Kayonga,Nyamvumba na Sasa Ni zamu ya waliokulia Burundi wakina Gen. Kazura.

So far hata Mimi sijaona Kama kuna boss yoyote wa jeshi lao aliyetokea/kukulia Tz lkn nchi nyingine karibu zote za E/Africa yaani Burundi, Uganda,Congo zimeshatoa mkuu wa majeshi huko Rwanda.
Watusi waliokulia tz waliishia kuwa wakulima na wafugaji, nasikia wanapenda ngono na pombe hivyo hawako focused hawawezi pewa nyazifa kubwa wakazimudu maana wamekaa kizembe na shule hamna au ni maneno ya kuwabania tu?
 
Hii vita aliyoichokoza kagame kwa DRC naombea mungu congo ashambulie mapema sana.Hii itakuwa kama kumsukuma tu mlevi kiuchonganishi maana wahutu watammaliza mapema sana kagame mungu ni mwema
 
Watusi waliokulia tz waliishia kuwa wakulima na wafugaji, nasikia wanapenda ngono na pombe hivyo hawako focused hawawezi pewa nyazifa kubwa wakazimudu maana wamekaa kizembe na shule hamna au ni maneno ya kuwabania tu?
😄😄 aisee labda inawezekana mkuu.
 
Hii vita aliyoichokoza kagame kwa DRC naombea mungu congo ashambulie mapema sana.Hii itakuwa kama kumsukuma tu mlevi kiuchonganishi maana wahutu watammaliza mapema sana kagame mungu ni mwema
😄😄 Wakata mauno na Vita wapi na wapi.

Jeshi la Congo wanapigwa hata na Jeshi la mgambo wa bongo.
 
Aliuliwaje
Sasa hapa mambo ni mengi huyu alikuaga mtu wa club sana na kuhang, kwao kwa wazazi wake alikua anaishi yeye pale ikasemekana alienda club akarudishwa na watu sita akiwa amelewa sana houseboy akaelezwa amelewa ataamka asubuhi aachwe alale, lakini alikua na majeraha kiasi kumbe ile wale watu walileta maiti tu walishamuua huko huko, wengine wakasema alinyongwa na houseboy wao ambae baadae alitoroka hadi leo hajulikani alienda wapi watu wakasema labda alitoroshwa ili asiseme aliona nini, wengine wanasema walimfuata kwao wakanyonga huku house boy akiwa ametekwa then wakaondoka zao mambo yalikua mengi sana
 
Mambo Ni Yale Yale tu,CHADEMA kukiwa na Mzee mtei akamuachia chama mkwewe Mbowe.Mbowe nae akampa Ubunge wa viti maalum mchepuko wake J. Mukya,huku Mzee Ndesamburo nae binti yake Lucy owenya nae akipewa ubunge wa viti maalum,Lissu dada yake Christina Lissu nae viti maalum.

CCM Kuna wakina JR kibao January,Ridhiwani,Nape etc

Mnaokoyeza mambo ilimradi tu kuifanya CHADEMA ionekane mbaya. Nakumbuka kipindi Chadema wanachagua Mbowe kwa Mara ya kwanza kura zilipigwa kimajimbo, yani primaries. Sasa najiuliza ilikuwaje Mbowe akarithishwa uenyekiti kwa staili hiyo?. Tuache uongo.
 
Uzuri wa rwanda hakuna upuuzi wa kuchezea mali za umma kama ilivyo Tanzania.Hata kama akiirithisha ni sawa tu maana anajali maendeleo ya wananchi.Kwa tanzania miaka 62 kimetawala chama kimoja na hakuna cha maana kilichofanywa zaidi ya kuleta shida tu kwa wananchi.
 
Mnaokoyeza mambo ilimradi tu kuifanya CHADEMA ionekane mbaya. Nakumbuka kipindi Chadema wanachagua Mbowe kwa Mara ya kwanza kura zilipigwa kimajimbo, yani primaries. Sasa najiuliza ilikuwaje Mbowe akarithishwa uenyekiti kwa staili hiyo?. Tuache uongo.
Acha mboyoyo nyingi.

Katika maelezo yangu hapo juu wapi nimedanganya?
 
Mnaokoyeza mambo ilimradi tu kuifanya CHADEMA ionekane mbaya. Nakumbuka kipindi Chadema wanachagua Mbowe kwa Mara ya kwanza kura zilipigwa kimajimbo, yani primaries. Sasa najiuliza ilikuwaje Mbowe akarithishwa uenyekiti kwa staili hiyo?. Tuache uongo.

Ona mnavowehuka mkielezwa ukweli, sasa unadhani kuna uongozi utapata bila connection labda alibahatisha magufuli tu, lakini mambo ni yale yale lazima circle iwe ileile ndio maana Bush Baba aliwahi kua rais then Bush mtoto akawa rais, msaidizi wa obama makamo wake wa rais kwa sasa ndio Rais na obama anafamfanyia kampeni kila leo, hivo ndio mambo yanavokuaga,
 
Acha mboyoyo nyingi.

Katika maelezo yangu hapo juu wapi nimedanganya?

Hakuna uongo hapo hawa ndio mbowe kua mwenyekiti miaka 30 ni sawa lakini Ridhiwan akija kua rais wanajifanya kushangaa, jomo kenyatta alikua Rais wa kenya, baadae uhuru kenyatta akawa Rais wa kenya pia, haya mambo hutakiwi kushangaa ni mzunguko uliojipanga toka enzi na enzi, leo muhooz akiwa Rais uganda hakuna cha kushangaa, yaani circle inazunguka humo humo tu inabidi watu wazoee au upambane uwe mwanasiasa uingie kwenye circle ili iwe rahisi kupiga simu wanao wasaidiwe
 
Halafu ukumbuke watutsi wao walitokea tu Rwanda na Burundi huku majority ya waha wakitembea kutoka Bunyoro na nyankole uganda ndio wakawapitia wengine rwanda na burundi na wengine wakabaki ngara yaani wale wahangaza ni koo kwa waha na wanaongea lugha moja pia na kuelewana pamoja na wanyankole nao wakiongea wanaelewana na watu karibu wa Rwanda, Burundi, Ngara, Kigoma hasa Kibondo na kule kasulu, hivo number na uchache wao viliwazuia kuanzisha nchi nyingine kule kigoma wakamezwa wakawa wapole
Kinyankole na kihaya ni 90% same....

Jamii ya kinyambo inafanana sana na kitutsi...

Majina ya kitusi yanafanana sana na kihaya, kinyankole na kihima
 
Back
Top Bottom