kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kila mjanja na mjanja wake kagame ndo wakugongewa mpaka kuzalishiwa na mtoto
Jamaa hatari sana huyu atakuwa na mattz sio bureNa hii inatakiwa kwa kila binadamu, mtu yoyote akileta giza mfute tu π€£π€£
Watu wanakela sanaaa, lazima wauliweJamaa hatari sana huyu atakuwa na mattz sio bure
Sasa mfano huyo mtt aliyeliwa kichwa alikuwa na ttz ganWatu wanakela sanaaa, lazima wauliwe
Huwezi jua watu wana intel, wanafanya maamuzi baada ya ikusanyaji wa tarifaSasa mfano huyo mtt aliyeliwa kichwa alikuwa na ttz gan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tayariiiiiKafue chupi ukimaliza kalale
Uhalisia mwingine uko hivi.Kuna mtu aliwahi niambia kuwa watutsi wengi pale Rwanda huwa wanajua vizuri kuwa kuna siku wahutu wataamka na kuchukua haki yao ya utawala maana wao ni 85% so hata wakienda kwenye free and fair election watashinda mapema saana sasa watutsi wengi wanajua kabisa hiyo siku ikitokea wahutu wameshika nchi lazma watalipiza kisasi ikiwemo kuwanyang'anya watutsi haki yao waliyojimilikisha kibabe ya kumiliki siasa na uchumi wa Rwanda pamoja na sekta zote nyeti ikiwemo jeshi so watutsi wale wa Rwanda wote wapo mguu ndani mguu nje kila mmoja kuna nchi ya ziada aliyojiattach wapo waliojiattach na Tz wapo waliojiattach na Uganda na wachache wale wakishua wamejiattach na baadhi ya nchi za ulaya na marekan n.k mfano mtoto mkubwa wa Kagame,Ian Kagame yeye anamiliki mjengo marekani mjini California na zipo tetesi kuwa anayo Green card.
Kwamba Wewe na akili zako timamu umeamini kabisa PK ana Muda wa kupoteza kukaua kademu kasiko na security threat kwake kisa kanatombwa na Bwn wa mtoto wake?ππSasa mfano huyo mtt aliyeliwa kichwa alikuwa na ttz gan
Ndio stori iliyoletwa bruh naanzaje kubisha aliyeleta akija na ushahidiKwamba Wewe na akili zako timamu umeamini kabisa PK ana Muda wa kupoteza kukaua kademu kasiko na security threat kwake kisa kanatombwa na Bwn wa mtoto wake?ππ
Kweli ku-brainwash watu Ni kitu rahisi saaana.
ππ Ushahidi wenyewe Ni Nini bro?Ndio stori iliyoletwa bruh naanzaje kubisha aliyeleta akija na ushahidi
Take easy bruh hapa ni kama tupo kijiwen kwangu mimiππ Ushahidi wenyewe Ni Nini bro?
Wewe mpuuzi unawaza ngono tu.Handsome balaaa, anatamanishaaa uwiiiii.
ππ Kwamba anaweza kua na hoja sio?Take easy bruh hapa ni kama tupo kijiwen kwangu mimi
Mtu kasema sista aliuwawa na sbb kataja siwezi kubisha moja kwa moja anaweza kuwa na hoja
ππ naona unatuchokonoa wanaume wa TZ na ufupi wetu haujui tuna wivu piaHandsome balaaa, anatamanishaaa uwiiiii.
Eeeh jamaa anaweza kuwa yupo rwanda jikon kabisa πππ Kwamba anaweza kua na hoja sio?
Kweliii.
We si unaona hata mtoto na kwamba mwenyewe walivyofanana
ni ngumu sana Congo kuipita Rwanda, kwasababu kwenye jeshi la congo kagame amejaza mamluki wanauza ramani everyday, na vita ikianza tu, kagame atakachofanya ni kuongeza silaha kwa M23 ambao wanamsumbua sana congo, yeye atafuata nyuma kumalizia tu. kushinda vita pamoja na kuwa na silaha na jeshi kubwa, unahitaji kuwa na umoja ndani ya jeshi, kitu ambacho congo hakipo na hakitakuja kuwepo. hata tanzania tukiamua kumega upande mmoja wapo wa congo tunaweza na anaweza asitufanye kitu sana pamoja na kwamba sisi hatuna jeshi la waasi ndani ya nchi yao, ila tutakuwa na faida kuwapa silaha m23 au hata FDLR au hata kuungana na Kagame ili tumegane kile tutakachokipata, yeye achukue Kivu na kwengine, sisi tuchukue upande wote wa ziwa Tanganyika tuingie ndani kabisa. hatujaamua tu, na tunavyojua siasa hata mataifa ya nje hayatatufanya kitu.Masaa masaba yana tosha kwa Congo kuinyuka Rwanda ndugu.
Juzi juzi tu Hapa rwanda wameanza kulia baada ya ndege moja ya kivita kuingia rwanda na kuaribu mawasiliano.
Alafu Bado unaleta ushabiki uchwara Hapa.