Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Kama hao wanajeshi wa USA hao(wanaume) hawana mapumbu.Kiapo cha wanajeshi wa Marekani ni kuwa tayari kufa kuliko kutoa siri za nchi kwa adui.
Zamotomoto kutoka katika uwanja wa Vita mji wa Mauripol, Makomandoo wa Urusi kutoka kikosi hatari zaidi Ulimwenguni cha Spetsnaz kilichochini ya KGB /FSB wamemteka Kamanda wa Jeshi la Marekani Luten General Roger L. Cloutier Jr, Pamoja na propaganda kadhaa za watu wasio rasmi wala wasemaji wa Marekani kukanusha taarifa hizo, lakini Pentagon na White House hawajatoa taarifa zozote.
Ifahamike kuwa hapo mwanzo Putin alionya kwamba mamluki yeyote atakayeingia Urus atashughulikiwa sawasawa na mhalifu na adui wa Moscow, Na ikikumbukwa ni wiki tatu tu waliposhanbuliwa Mamluki wa Uingereza katika miji ya Khakyiv nk. Sasa leo ni Marekani.
Huyu amekuwa akijichimbia kwenye kambi ya kijeshi ya Azov mjini Mauripol akiongoza vikosi vya Ukraine kwa muda mrefu na kutoa upinzani kwa majeshi ya Ukombozi ya Urusi. Taarifa toka Moscow zinasema kamanda huyu alikuwa akiongoza vikosi vya Walenga shabaha (snipers) ambao wengi wameshaanhamizwa.
Luteni General Roger amwahi kuongoza kikosi cha Marekani kilichoko Afrika (Africa Command HQ.
Taarifa zinasema kwa siku ya tatu sasa Marekani inahaha kumkomba bila mafanikio na imejaribi kila njia kumpigia magoti Rais Putin, ambapo kinyume chake Putin ameamuru General huyu na wenzake waliokamatwa wapelekwe Moscow
View attachment 2177884
View attachment 2177885
View attachment 2177891
View attachment 2177894
View attachment 2177895
We ni mjinga mtu katekwa unauliza kuuwawaKama Putin anaubavu amuue Kama Qassim Suleiman alivyouwawa
Wakisema Sirro katekwa Ukraine itabidi ajitokeze hadharani?Kama sio kweli basi ajitokeze hadharani kuthibitisha Kuwa hajatekwa
Kiapo cha wanajeshi wa Marekani ni kuwa tayari kufa kuliko kutoa siri za nchi kwa adui.
Kama Putin anaubavu amuue Kama Qassim Suleiman alivyouwawa
Mtoa posts hii habari umeikopi kwa yericko nyerere Facebook,tunajua yericko nyerere yuko upande wa urusi,mbona hatoi habari ya magenerali 7 wa urusi waliouawa ukraineZamotomoto kutoka katika uwanja wa Vita mji wa Mauripol, Makomandoo wa Urusi kutoka kikosi hatari zaidi Ulimwenguni cha Spetsnaz kilichochini ya KGB /FSB wamemteka Kamanda wa Jeshi la Marekani Luten General Roger L. Cloutier Jr, Pamoja na propaganda kadhaa za watu wasio rasmi wala wasemaji wa Marekani kukanusha taarifa hizo, lakini Pentagon na White House hawajatoa taarifa zozote.
Ifahamike kuwa hapo mwanzo Putin alionya kwamba mamluki yeyote atakayeingia Urus atashughulikiwa sawasawa na mhalifu na adui wa Moscow, Na ikikumbukwa ni wiki tatu tu waliposhanbuliwa Mamluki wa Uingereza katika miji ya Khakyiv nk. Sasa leo ni Marekani.
Huyu amekuwa akijichimbia kwenye kambi ya kijeshi ya Azov mjini Mauripol akiongoza vikosi vya Ukraine kwa muda mrefu na kutoa upinzani kwa majeshi ya Ukombozi ya Urusi. Taarifa toka Moscow zinasema kamanda huyu alikuwa akiongoza vikosi vya Walenga shabaha (snipers) ambao wengi wameshaanhamizwa.
Luteni General Roger amwahi kuongoza kikosi cha Marekani kilichoko Afrika (Africa Command HQ.
Taarifa zinasema kwa siku ya tatu sasa Marekani inahaha kumkomba bila mafanikio na imejaribi kila njia kumpigia magoti Rais Putin, ambapo kinyume chake Putin ameamuru General huyu na wenzake waliokamatwa wapelekwe Moscow
View attachment 2177884
View attachment 2177885
View attachment 2177891
He's a cake eater,, amekuwa afisa like career yake yote,, angekuwa staff sergeant hapo ningesema yeees hatafungua domo,, tena ni from army [emoji23][emoji23] kidogo angekuwa jsoc hapo sawa au muhuni wa marine coreKiapo cha wanajeshi wa Marekani ni kuwa tayari kufa kuliko kutoa siri za nchi kwa adui.
Usisite na kupost habari za kanusho pia [emoji3]Zamotomoto kutoka katika uwanja wa Vita mji wa Mauripol, Makomandoo wa Urusi kutoka kikosi hatari zaidi Ulimwenguni cha Spetsnaz kilichochini ya KGB /FSB wamemteka Kamanda wa Jeshi la Marekani Luten General Roger L. Cloutier Jr, Pamoja na propaganda kadhaa za watu wasio rasmi wala wasemaji wa Marekani kukanusha taarifa hizo, lakini Pentagon na White House hawajatoa taarifa zozote.
Ifahamike kuwa hapo mwanzo Putin alionya kwamba mamluki yeyote atakayeingia Urus atashughulikiwa sawasawa na mhalifu na adui wa Moscow, Na ikikumbukwa ni wiki tatu tu waliposhanbuliwa Mamluki wa Uingereza katika miji ya Khakyiv nk. Sasa leo ni Marekani.
Huyu amekuwa akijichimbia kwenye kambi ya kijeshi ya Azov mjini Mauripol akiongoza vikosi vya Ukraine kwa muda mrefu na kutoa upinzani kwa majeshi ya Ukombozi ya Urusi. Taarifa toka Moscow zinasema kamanda huyu alikuwa akiongoza vikosi vya Walenga shabaha (snipers) ambao wengi wameshaanhamizwa.
Luteni General Roger amwahi kuongoza kikosi cha Marekani kilichoko Afrika (Africa Command HQ.
Taarifa zinasema kwa siku ya tatu sasa Marekani inahaha kumkomba bila mafanikio na imejaribi kila njia kumpigia magoti Rais Putin, ambapo kinyume chake Putin ameamuru General huyu na wenzake waliokamatwa wapelekwe Moscow
View attachment 2177884
View attachment 2177885
View attachment 2177891
View attachment 2177894
View attachment 2177895
Hawezi kumuua kwa sababu hata kumteka tu hajafanikiwa.Pro Russia wamevurugwa haswa[emoji1787]Kama Putin anaubavu amuue Kama Qassim Suleiman alivyouwawa
Upo sahihi! Kama wanayo, usaliti Ni nje nje! Ataongea vyote hata asivyoulizwa!!!! Kiapo kwa wanadamu wenye mwili wa nyama???Labda Kama hao wanajeshi wa USA hao(wanaume) hawana mapumbu.
Hakuna mtu mwenye akili zake timamu akatoka kukanusha vi habari vya kuokoteza,General ana kazi za muhimu zaidi za kufanya.Waambieni Kremlin wao ndiyo wathibitishe hilo kama hata huo ubavu wanaoKama sio kweli basi ajitokeze hadharani kuthibitisha Kuwa hajatekwa
Kwani atamwacha!?Kama Putin anaubavu amuue Kama Qassim Suleiman alivyouwawa
Wangeweka na kaushahidi ka evidence Cloutier akiwa salama ingependeza si unajua maneno matupu hayavunji mfupa?!![]()
No, NATO leader wasn’t captured by Russians in Ukraine
The Russian invasion of Ukraine has sparked another baseless internet rumor, this time about the alleged capture of a towww.politifact.com
But Maj. Brian Andries, deputy public affairs officer at NATO Allied Land Command, confirmed in an email to PolitiFact that Cloutier has not been captured.
"These rumors are completely false," Andries said. "Our commander is currently commanding NATO Allied Land Command in Izmir, Turkey, and has not been to Ukraine since the Land Staff Talks we conducted in July of 2021. While NATO nations are sending financial and military aid to Ukraine, no NATO soldiers or leaders are deployed to the country."
Sasa hapa mjinga nani,yule anaeamini habari za uongo au yule anaezikataa.Hakuna General yoyote aliyetekwa,ukweli ndiyo huo,leteni habari nyingine ya kujifariji maana mmekuwa na makasiriko muda wote baada ya Putin kuwatieni aibu Ukraine[emoji846]We ni mjinga mtu katekwa unauliza kuuwawa
Wanateseka balaa,wamekoma kuleta habari za Ukraine wamebakia kuokoteza vijihabari uchwara [emoji3]Kila siku wanapelekewa moto na Zelensky, Leo warusi wa kwa mpalange wameamua waje na habari ya kujifariji kidogo make wiki mbili mfululizo wamenuna tu hakuna habari nzuri kwao.