Luteni Jenerali Roger L. Cloutier wa Jeshi la Marekani atekwa na Makomandoo wa Urusi akiwa vitani Ukraine

Luteni Jenerali Roger L. Cloutier wa Jeshi la Marekani atekwa na Makomandoo wa Urusi akiwa vitani Ukraine

Zamotomoto kutoka katika uwanja wa Vita mji wa Mauripol, Makomandoo wa Urusi kutoka kikosi hatari zaidi Ulimwenguni cha Spetsnaz kilichochini ya KGB /FSB wamemteka Kamanda wa Jeshi la Marekani Luten General Roger L. Cloutier Jr, Pamoja na propaganda kadhaa za watu wasio rasmi wala wasemaji wa Marekani kukanusha taarifa hizo, lakini Pentagon na White House hawajatoa taarifa zozote.

Ifahamike kuwa hapo mwanzo Putin alionya kwamba mamluki yeyote atakayeingia Urus atashughulikiwa sawasawa na mhalifu na adui wa Moscow, Na ikikumbukwa ni wiki tatu tu waliposhanbuliwa Mamluki wa Uingereza katika miji ya Khakyiv nk. Sasa leo ni Marekani.

Huyu amekuwa akijichimbia kwenye kambi ya kijeshi ya Azov mjini Mauripol akiongoza vikosi vya Ukraine kwa muda mrefu na kutoa upinzani kwa majeshi ya Ukombozi ya Urusi. Taarifa toka Moscow zinasema kamanda huyu alikuwa akiongoza vikosi vya Walenga shabaha (snipers) ambao wengi wameshaanhamizwa.

Luteni General Roger amwahi kuongoza kikosi cha Marekani kilichoko Afrika (Africa Command HQ.

Taarifa zinasema kwa siku ya tatu sasa Marekani inahaha kumkomba bila mafanikio na imejaribi kila njia kumpigia magoti Rais Putin, ambapo kinyume chake Putin ameamuru General huyu na wenzake waliokamatwa wapelekwe Moscow

View attachment 2177884

View attachment 2177885

View attachment 2177891

View attachment 2177894

View attachment 2177895

But Maj. Brian Andries, deputy public affairs officer at NATO Allied Land Command, confirmed in an email to PolitiFact that Cloutier has not been captured.

"These rumors are completely false," Andries said. "Our commander is currently commanding NATO Allied Land Command in Izmir, Turkey, and has not been to Ukraine since the Land Staff Talks we conducted in July of 2021. While NATO nations are sending financial and military aid to Ukraine, no NATO soldiers or leaders are deployed to the country."
 
Kwenye Vita Mateka huwa ni bidhaa muhimu kwa matumizi mbalimbali hivyo kutokumuua mateka usichukulie ni uoga bali ni mbinu za medani …anaweza kutumika kukupa taarifa muhimu, anaweza kutumika kupata unachotaka kwa adui .n.k

Kuhusu Qassim Suleiman hakuwa mateka aliuawa kwa shambulio la kustukiza hivyo usichanganye ma file
Kama Putin anaubavu amuue Kama Qassim Suleiman alivyouwawa
 
Zamotomoto kutoka katika uwanja wa Vita mji wa Mauripol, Makomandoo wa Urusi kutoka kikosi hatari zaidi Ulimwenguni cha Spetsnaz kilichochini ya KGB /FSB wamemteka Kamanda wa Jeshi la Marekani Luten General Roger L. Cloutier Jr, Pamoja na propaganda kadhaa za watu wasio rasmi wala wasemaji wa Marekani kukanusha taarifa hizo, lakini Pentagon na White House hawajatoa taarifa zozote.

Ifahamike kuwa hapo mwanzo Putin alionya kwamba mamluki yeyote atakayeingia Urus atashughulikiwa sawasawa na mhalifu na adui wa Moscow, Na ikikumbukwa ni wiki tatu tu waliposhanbuliwa Mamluki wa Uingereza katika miji ya Khakyiv nk. Sasa leo ni Marekani.

Huyu amekuwa akijichimbia kwenye kambi ya kijeshi ya Azov mjini Mauripol akiongoza vikosi vya Ukraine kwa muda mrefu na kutoa upinzani kwa majeshi ya Ukombozi ya Urusi. Taarifa toka Moscow zinasema kamanda huyu alikuwa akiongoza vikosi vya Walenga shabaha (snipers) ambao wengi wameshaanhamizwa.

Luteni General Roger amwahi kuongoza kikosi cha Marekani kilichoko Afrika (Africa Command HQ.

Taarifa zinasema kwa siku ya tatu sasa Marekani inahaha kumkomba bila mafanikio na imejaribi kila njia kumpigia magoti Rais Putin, ambapo kinyume chake Putin ameamuru General huyu na wenzake waliokamatwa wapelekwe Moscow

View attachment 2177884

View attachment 2177885

View attachment 2177891
Mtoa posts hii habari umeikopi kwa yericko nyerere Facebook,tunajua yericko nyerere yuko upande wa urusi,mbona hatoi habari ya magenerali 7 wa urusi waliouawa ukraine
 
Zamotomoto kutoka katika uwanja wa Vita mji wa Mauripol, Makomandoo wa Urusi kutoka kikosi hatari zaidi Ulimwenguni cha Spetsnaz kilichochini ya KGB /FSB wamemteka Kamanda wa Jeshi la Marekani Luten General Roger L. Cloutier Jr, Pamoja na propaganda kadhaa za watu wasio rasmi wala wasemaji wa Marekani kukanusha taarifa hizo, lakini Pentagon na White House hawajatoa taarifa zozote.

Ifahamike kuwa hapo mwanzo Putin alionya kwamba mamluki yeyote atakayeingia Urus atashughulikiwa sawasawa na mhalifu na adui wa Moscow, Na ikikumbukwa ni wiki tatu tu waliposhanbuliwa Mamluki wa Uingereza katika miji ya Khakyiv nk. Sasa leo ni Marekani.

Huyu amekuwa akijichimbia kwenye kambi ya kijeshi ya Azov mjini Mauripol akiongoza vikosi vya Ukraine kwa muda mrefu na kutoa upinzani kwa majeshi ya Ukombozi ya Urusi. Taarifa toka Moscow zinasema kamanda huyu alikuwa akiongoza vikosi vya Walenga shabaha (snipers) ambao wengi wameshaanhamizwa.

Luteni General Roger amwahi kuongoza kikosi cha Marekani kilichoko Afrika (Africa Command HQ.

Taarifa zinasema kwa siku ya tatu sasa Marekani inahaha kumkomba bila mafanikio na imejaribi kila njia kumpigia magoti Rais Putin, ambapo kinyume chake Putin ameamuru General huyu na wenzake waliokamatwa wapelekwe Moscow

View attachment 2177884

View attachment 2177885

View attachment 2177891

View attachment 2177894

View attachment 2177895
Usisite na kupost habari za kanusho pia [emoji3]
 

But Maj. Brian Andries, deputy public affairs officer at NATO Allied Land Command, confirmed in an email to PolitiFact that Cloutier has not been captured.

"These rumors are completely false," Andries said. "Our commander is currently commanding NATO Allied Land Command in Izmir, Turkey, and has not been to Ukraine since the Land Staff Talks we conducted in July of 2021. While NATO nations are sending financial and military aid to Ukraine, no NATO soldiers or leaders are deployed to the country."
Wangeweka na kaushahidi ka evidence Cloutier akiwa salama ingependeza si unajua maneno matupu hayavunji mfupa?!
 
We ni mjinga mtu katekwa unauliza kuuwawa
Sasa hapa mjinga nani,yule anaeamini habari za uongo au yule anaezikataa.Hakuna General yoyote aliyetekwa,ukweli ndiyo huo,leteni habari nyingine ya kujifariji maana mmekuwa na makasiriko muda wote baada ya Putin kuwatieni aibu Ukraine[emoji846]
 
Kila siku wanapelekewa moto na Zelensky, Leo warusi wa kwa mpalange wameamua waje na habari ya kujifariji kidogo make wiki mbili mfululizo wamenuna tu hakuna habari nzuri kwao.
Wanateseka balaa,wamekoma kuleta habari za Ukraine wamebakia kuokoteza vijihabari uchwara [emoji3]
 
Back
Top Bottom