Luteni Jenerali Roger L. Cloutier wa Jeshi la Marekani atekwa na Makomandoo wa Urusi akiwa vitani Ukraine

Mnaokotaga huu upuuzi na takataka wapi??????
Yaani unaamua tu kutengeza stori yako...unalipwa????
Tafuta hela.......
 
Shukrani Mkuu kwa kuweka sawa record
 
Mpaka mda huu atakua hana marinda
 
Kabla ya yote wamtoe marindah kwanza,Ila wanaweza wakawa wanapotezea Muda wao tu wakashangaa huyo Gen. anakata mauno balaa full kuenjoy maana hayo ndio mambo Wamarekani/NATO na mashabiki wao wa JF wanaayapenda saaana.
 
Huyu endapo kweli ndio kaua majenerali waki rusi 7 kweli kiboko yao Kama mmoja anaua hao majenero wakija kumi putini atakuwepo kweli duniani endapo anatamani kuishi Putin athubutu kummaliza kweli ,endapo nikweli katekwa
 
Siyo majenerali wa USA tu! Ni USA, Ufaransa, Ujerumani, .... the list goes on + NATO. Kwa kifupi, Urusi anapigana na mataifa lukuki na amefanikiwa kuyabamiza kwa sehemu kubwa!
Hizi sasa porojo Mazee [emoji23][emoji23]
 
Kabla ya yote wamtoe marindah kwanza,Ila wanaweza wakawa wanapotezea Muda wao tu wakashangaa huyo Gen. anakata mauno balaa full kuenjoy maana hayo ndio mambo Wamarekani/NATO na mashabiki wao wa JF wanaayapenda saaana.
Mkiishiwaga hoja ndo mnakimbilia huku
 
Jamaa alikuwa na roho ngumu yaani alimyacha mwanaye akafa wakati uwezo wa kumsaidia alikuwa nao?
Mkewe wa kwanza ambaye ni mama wa huyo mtoto alijiua kwa risasi. Huyo first born mwenyewe alijaribu kujiua kwa risasi akakosea shabaha akajeruiwa na kutibiwa na madaktari wa Kremlin. Stalin akamdharau eti hata kujilenga shabaha mwenyewe tu hajui.

Baadae miaka kama tisa mbele Stalin aliua madaktari wake bingwa wengi wao wakiwa Wayahudi kwamba walipanga kumuua. Mwishowe alipozimia wakaitwa madaktari waliostaafu na madaktari vijana kumtibu ila walikuwa washachelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…