Luteni Jenerali Roger L. Cloutier wa Jeshi la Marekani atekwa na Makomandoo wa Urusi akiwa vitani Ukraine

Luteni Jenerali Roger L. Cloutier wa Jeshi la Marekani atekwa na Makomandoo wa Urusi akiwa vitani Ukraine

Snowden ni defector fake, anazuga ameasi ili hali lengo lake ni kwenda kuwadukua warusi. Huyo bado ni CIA mtiifu ndio maana hata Urusi wana mashaka nae, hawampi access kwenye vitu nyeti.
[emoji16][emoji16][emoji16] kwa hio mkuu Kuna uwezekano wewe ukajua Kwamba Snowden anaifanyia Kazi US halafu Russia wenyewe wakawa hawajui sio?
 
Hahahaaa, hapo kwenye kujipiga kifua umetisha sana mkuu.

Siyo sosi, nyie mashabiki wa huyo kamanda Putin ndiyo mlisema kwamba ataisambaratisha Ukraine kwa siku tatu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Huyu ataachiliwa baada ya vikwazo vyote kuondolewa. Lakini ataachiliwa akiwa hanidhi
Bahati mbaya sana unaota ndoto saa saba mchana,watamwachiliaje mtu ambae hata hawajamteka [emoji1787][emoji1787]
 
Zamotomoto kutoka katika uwanja wa Vita mji wa Mauripol, Makomandoo wa Urusi kutoka kikosi hatari zaidi Ulimwenguni cha Spetsnaz kilichochini ya KGB /FSB wamemteka Kamanda wa Jeshi la Marekani Luten General Roger L. Cloutier Jr, Pamoja na propaganda kadhaa za watu wasio rasmi wala wasemaji wa Marekani kukanusha taarifa hizo, lakini Pentagon na White House hawajatoa taarifa zozote.

Ifahamike kuwa hapo mwanzo Putin alionya kwamba mamluki yeyote atakayeingia Urus atashughulikiwa sawasawa na mhalifu na adui wa Moscow, Na ikikumbukwa ni wiki tatu tu waliposhanbuliwa Mamluki wa Uingereza katika miji ya Khakyiv nk. Sasa leo ni Marekani.

Huyu amekuwa akijichimbia kwenye kambi ya kijeshi ya Azov mjini Mauripol akiongoza vikosi vya Ukraine kwa muda mrefu na kutoa upinzani kwa majeshi ya Ukombozi ya Urusi. Taarifa toka Moscow zinasema kamanda huyu alikuwa akiongoza vikosi vya Walenga shabaha (snipers) ambao wengi wameshaanhamizwa.

Luteni General Roger amwahi kuongoza kikosi cha Marekani kilichoko Afrika (Africa Command HQ.

Taarifa zinasema kwa siku ya tatu sasa Marekani inahaha kumkomba bila mafanikio na imejaribi kila njia kumpigia magoti Rais Putin, ambapo kinyume chake Putin ameamuru General huyu na wenzake waliokamatwa wapelekwe Moscow

View attachment 2177884

View attachment 2177885

View attachment 2177891

View attachment 2177894

View attachment 2177895

Ukimaliza ushabiki wako nipe connection ya wapi ntanunua mafuta ya kula kwa bei rafiki pia mafuta ya petrol na diesel
 
Hi habari Ni ya uzushi tokA juzi naiona na bahati nzuri hata source za mwanzo za kutoka ulaya wanasema Ni uncomfirmed..
Nb, majenerali sio watu wa kuingia uwanja was Vita kupigana au kufundisha mbinu za kivita Kama ambavyo inasemwa na kuhadithiwa na mbumbumbu was medani za kivita.
Majenerali wao Ni watu wa command na order tu. Na Mara nyingi wakipokea ushauri kutoka kwa makamanda vitani, Ni wao hubadili uelekeo was Vita kwa kuzingatia uhalisia ulivyo kutoka kwa commanders.
Nb. Katika middle East na hasa katika nchi ambazo Ni Ant - US majenerali huingia mstari wa mbele kupigana eg rejea Syrian war meja Jenerali Qassem Soleiman was Iran, rejea pia meja Jenerali Suheil El Hassan, Brigedia generali nk
 
Back
Top Bottom