Luteni Kanali Vladimir Putin: Afisa muandamizi wa KGB Ujerumani Mashariki na mfadhili wa makundi ya ukombozi Middle East (PFLP, Hezbollah, Hamas)

Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania, huyo msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji.
 
Ccm haiwezi kuiba kura, Rais Magufuli anapendwa sana na Watanzania Pia usije ukamfananisha lowasa na huyo msaliti wa Nchi.
 

Kuficha risasi ni rahisi, je, silaha alificha wapi?
 
dah,mkuu Infantry Soldier unatoaga vyuma tupu humu ndani.big up sana joh...👊🏾✊🏾👍🏾

shda ni huyo ndugu kutoka chama tawala (ᑕᑕᗰ) reply zake zina haribu huu uzi.Kama vp afungue uzi kule jukwaa la siasa then aandike hayo yote ya ᒍᑭᗰ...
 
Hamas hii hii ya kina Ismail Haniya inayopambana na Israel kila siku? Au kuna Hamas nyingine?
Ni kweli kabisa Kuwa Hamass ilianzishwa na Mosaad lakini bila wao kujua,ilianzishwa ndani ya PLO ili kuwa na msimamo mkali ndani ya PLO hasa wa kidini ili kuleta mpasuko ndani ya PLo
 
Ni kweli kabisa Kuwa Hamass ilianzishwa na Mosaad lakini bila wao kujua,ilianzishwa ndani ya PLO ili kuwa na msimamo mkali ndani ya PLO hasa wa kidini ili kuleta mpasuko ndani ya PLo
Kuna kitabu niliwahi kusoma kuhusiana na hili pia mkuu
 
Hawa Black September, waliteka Ndege ile wakiwa wamevalia T-shirts za Che Guevara ndani ya ndege na walienda kutua Mogadishu, Somalia. Hapo ndio SAS kikundi cha usalama cha England waliwaingia na kuwaua na kufree mateka wote.

Soma kitabu cha "Assault In Mogadishu".
 
Hawa Black September, waliteka Ndege ile wakiwa wamevalia T-shirts za Che Guevara ndani ya ndege na walienda kutua Mogadishu, Somalia. Hapo ndio SAS kikundi cha usalama cha England waliwaingia na kuwaua na kufree mateka wote.
Sawa chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…