Udikiteta wa Iddi Amin haumfanyi Museven kuwa Mtakatifu.Wakombozi wa nchi tulieni!
Si mnapumua nyie? Baada ya kuonewa sana kwa miaka 5?
"Hakika yule jamaa alikuwa katili sana. Juzi nlikutana na mtu aliemtuma kwenda kuchoma nyumba yangu kigoma na mikorosho kule mtwara!
Mungu amelikomboa taifa kwa kumuondoa yule jamaa bila kumwaga damu."
Sasa tunapumua,
Vitu bei chini, kodi chini, mafuta bei ya kutupwa, mishahara juu, maisha kama ulaya!
Wakombozi wa nchi ya nyoko!
Wakombozi wa nchi tulieni!
Si mnapumua nyie? Baada ya kuonewa sana kwa miaka 5?
"Hakika yule jamaa alikuwa katili sana. Juzi nlikutana na mtu aliemtuma kwenda kuchoma nyumba yangu kigoma na mikorosho kule mtwara!
Mungu amelikomboa taifa kwa kumuondoa yule jamaa bila kumwaga damu."
Sasa tunapumua,
Vitu bei chini, kodi chini, mafuta bei ya kutupwa, mishahara juu, maisha kama ulaya!
Wakombozi wa nchi ya nyoko!
Yule alikuwa muovu fullstop
Udikiteta wa Iddi Amin haumfanyi Museven kuwa Mtakatifu.
Hii club house ni zaidi ya BungeManeno ya hekima na busara kutokea kwake Mwalimu Lwaitama:
Kwa hakika hayupo asiyejua kuwa kesi ya Mbowe ni ya kubumba.
"Sasa anapohitaji kuaminiwa, labda kama ni kuaminiwa anataka kumnyazisha Mh. Mbowe?" -- Lwaitama.
Barikiwa sana Mwalimu Lwaitama. Hekima na busara zako ni inspirational.
Tutafika tu.
Hii club house ni zaidi ya Bunge
SwadaktaUdikiteta wa Iddi Amin haumfanyi Museven kuwa Mtakatifu.
Mbowe atafungwa Kwa ugaidi wakeHukuisikia hukumu?
Sabaya amefungwa kwa uharamia wake.
Labda kama ulimaanisha: "kamfunga haramia mwenzake sembuse Mbowe?"
Mbowe atafungwa Kwa ugaidi wake
Mkuu, nami huwa nawashangaa wanaofananisha kesi ya Mbowe, na ya Sabaya."kamfunga haramia mwenzake sembuse Mbowe?"
Wanasaccos ya kichaga wakiwa hawaamini gaidi Christmas hii ana nyea debe [emoji23][emoji1787]View attachment 2052256
Porojo Tu hizi mmemlisha zito uongo mmeumbuka ni Bora hao magaidi yanyongweKwenye mkutano wa Msajili na wadau wa Siasa kulitamkwa tatizo "heshima" si ugaidi [emoji16][emoji16].
Mtaimaliza misamiati yote ila mtarejea pale pale: #mbowesigaidi.
[emoji23][emoji1787]Pambana na hoja za nguli mwalimu Lwaitama kama una ubavu. Viroja si mnabaki na wasomi wenu:
View attachment 2052269
Mbowe sio GaidiMbowe atafungwa Kwa ugaidi wake
Eti Rais ana nia njemaπ π πManeno ya hekima na busara kutokea kwake Mwalimu Lwaitama:
Kwa hakika hayupo asiyejua kuwa kesi ya Mbowe ni ya kubumba.
"Sasa anapohitaji kuaminiwa, labda kama ni kuaminiwa anataka kumnyazisha Mh. Mbowe?" -- Lwaitama.
Barikiwa sana Mwalimu Lwaitama. Hekima na busara zako ni inspirational.
Tutafika tu.