Maneno ya hekima na busara kutokea kwake Mwalimu Lwaitama:
Kwa hakika hayupo asiyejua kuwa kesi ya Mbowe ni ya kubumba.
"Sasa anapohitaji kuaminiwa, labda kama ni kuaminiwa anataka kumnyazisha Mh. Mbowe?" -- Lwaitama.
Barikiwa sana Mwalimu Lwaitama. Hekima na busara zako ni inspirational.
Tutafika tu.
Kwa hakika hayupo asiyejua kuwa kesi ya Mbowe ni ya kubumba.
"Sasa anapohitaji kuaminiwa, labda kama ni kuaminiwa anataka kumnyazisha Mh. Mbowe?" -- Lwaitama.
Barikiwa sana Mwalimu Lwaitama. Hekima na busara zako ni inspirational.
Tutafika tu.