Lwaitama: Sishangai Msigwa kumsifia Rais wa nchi hasa wa CCM

Lwaitama: Sishangai Msigwa kumsifia Rais wa nchi hasa wa CCM

lwaitama1

Member
Joined
Nov 8, 2021
Posts
39
Reaction score
196
mi ni miongoni mwa waliomsifia Rais Samia Kwa baadhi ya mambo Kama hili la kuleta demokrasi angalau Kwa asilimia 35 , ni vizuri Kabisa kuona hata ndani ya Chama kuna wanaotofautiana mawazo na yajibiwe Kwa heshima si matusi.
Leo nimemuona Mbunge mstaafu wa Iringa mjini akisifia Royal tour ni jambo Zuri kusifia Kwa kuweka facts zako ila sasa kupitia hii comment yake

157829D9-C9D5-4BB8-851E-2EFB8428B297.jpeg

Huu ni udhaifu mkubwa sana anaouonyesha Msigwa. Anaongea maoni yake, mwingine ana ya kwake, wengine wana ya kwao. Sasa kuna dhambi katika kutofautiana misimamo ikiwa kila mmoja yupo unique na ana namna yake ya kuyaangalia mambo? Mwingine ataona linafaa mwingine aone siyo, tunatofautiana Kwa hoja na kusonga mbele zaidi . Na jiuliza
Kwani Chama chake kimetoa msimamo hadi akimbilie kusema hahofii kuitwa kwenye kikao cha Maadili cha Chama?
Huwa ana mawazo mazuri sana, ila kila nikimuangalia hivi sasa, kuna dhamira yupo nayo kwasasa ambayo ipo known only to him, ambayo inanilazimisha kusema kuwa there is something wrong na huyu jamaa


Lwaitama
 
Mzee wangu waswahili wanasema MUDA NI MWALIMU MZURI

Wakati ukifika tutaijua hyo dhamira

Nje ya mada wewe n Dr lwaitama ninayemfahamu au mwingine?
 
mi ni miongoni mwa waliomsifia Rais Samia Kwa baadhi ya mambo Kama hili la kuleta demokrasi angalau Kwa asilimia 35 , ni vizuri Kabisa kuona hata ndani ya Chama kuna wanaotofautiana mawazo na yajibiwe Kwa heshima si matusi.
Leo nimemuona Mbunge mstaafu wa Iringa mjini akisifia Royal tour ni jambo Zuri kusifia Kwa kuweka facts zako ila sasa kupitia hii comment yake

View attachment 2205118
Huu ni udhaifu mkubwa sana anaouonyesha Msigwa. Anaongea maoni yake, mwingine ana ya kwake, wengine wana ya kwao. Sasa kuna dhambi katika kutofautiana midimamo ikiwa kila mmoja yupo unique na ana namna yake ya kuyaangalia mambo?
Kwani Chama chake kimetoa msimamo hadi akimbilie kusema hahofii kuitwa kwenye kikao cha Maadili cha Chama?
Huwa ana mawazo mazuri sana, ila kila nikimuangalia hivi sasa, kuna dhamira yupo nayo kwasasa ambayo ipo known only to him, ambayo inanilazimisha kusema kuwa there is something wrong na huyu jamaa


Lwaitama
Wapotoshaji na wenye hofu kuu Kwa chama walichotamani wangekuwa wamekizika ila wakajikuta wanaangukia pua wanavunja pua fuvu,na hata bichwa
 
Laitwama mtata Sana Kuna siku kaniomba lift kwenda kwake majumba 20 Changanyikeni alafu kaanza nifokea nadhan huyu jamaa ni psychiatric fulani na analipa wanae mishahara while still students bythen 2006
 
Kwaufupi nikimuangalia silaa na huyu msigwa.utagundua mapadri akili zao zinashida kubwa.
Kitendo cha kuasi huduma za kimungu wamekua wajinga wa kutosha kabisa.
 
Laitwama mtata Sana Kuna siku kaniomba lift kwenda kwake majumba 20 Changanyikeni alafu kaanza nifokea nadhan huyu jamaa ni psychiatric fulani na analipa wanae mishahara while still students bythen 2006
Hahahahahahahahahahhaaahaahaha......
Umekosea nini hadi akufokee mkuu....

Si ungemshusha njiani ..!!

Hahahahhhhhahahahahahahah ..
Duh!!
 
mi ni miongoni mwa waliomsifia Rais Samia Kwa baadhi ya mambo Kama hili la kuleta demokrasi angalau Kwa asilimia 35 , ni vizuri Kabisa kuona hata ndani ya Chama kuna wanaotofautiana mawazo na yajibiwe Kwa heshima si matusi.
Leo nimemuona Mbunge mstaafu wa Iringa mjini akisifia Royal tour ni jambo Zuri kusifia Kwa kuweka facts zako ila sasa kupitia hii comment yake

View attachment 2205118
Huu ni udhaifu mkubwa sana anaouonyesha Msigwa. Anaongea maoni yake, mwingine ana ya kwake, wengine wana ya kwao. Sasa kuna dhambi katika kutofautiana midimamo ikiwa kila mmoja yupo unique na ana namna yake ya kuyaangalia mambo?
Kwani Chama chake kimetoa msimamo hadi akimbilie kusema hahofii kuitwa kwenye kikao cha Maadili cha Chama?
Huwa ana mawazo mazuri sana, ila kila nikimuangalia hivi sasa, kuna dhamira yupo nayo kwasasa ambayo ipo known only to him, ambayo inanilazimisha kusema kuwa there is something wrong na huyu jamaa


Lwaitama

Anaposema “… sihofii kuitwa tena…” anaamanisha kuwa amewahi kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya CDM baada ya kuwa ametoa maoni kama haya. Swali kwamba “Sasa kuna dhambi gani katika kutofautiana…” kiulizwe chama chake cha CDM, sio Msigwa!

Labda cha ajabu ni kwamba Msigwa anaonekana hataki kuwa mhanga wa dictatorship, lakini yeye anatumia dictatorship hiyo hiyo katika kuiongoza Kanda yake!
 
Siasa za Bongo ni pasua kichwa tu. Bora hata ya mimi nisiye mwanachama wa chama chochote kile cha kisiasa.
 
Kwa mwenye ufahamu wa kawaida nikwamba Mch Peter Msigwa amesha jielekeza kibla (ccm) kama mbuzi wa kafara.
 
ndugu zangu CDM wanataka demokrasia wakati wenyewe kuiishi demokrasia hawawezi....
 
CHADEMA kuna shida kubwa sana ya kiuongozi!

Chama hakina mikakati ya kujijenga kiuchumi, wamekalia maujinga ujinga kama kukusanya fedha mitaani kupitia slogans za kindezi kama "Join the Chain"!

Hivyo kunapotokea watu kama Mchungaji Msigwa hawako Bungeni wanakolipwa mamilioni, CHADEMA haiwezi kuwa- accommodate!

Kumbuka hawa wameshakuwa Wabunge na wameji-brand tayari hivyo wanataka maisha fulani standard,watoto wao wasome Shule nzuri, wa- drive, wa- maintain standard life, hawawezi tena kwa ujasiri kwenda kula majamvini kwa Mamalishe!

Hii ndiyo Siri ya Viongozi wa upinzani kutofautiana kila wakati - NJAAAA, NJAAAA!

Na ni muhimu kujua kuwa Nyumba yenye NJAA kelele haziishi!
 
Mzee wangu waswahili wanasema MUDA NI MWALIMU MZURI

Wakati ukifika tutaijua hyo dhamira

Nje ya mada wewe n Dr lwaitama ninayemfahamu au mwingine?
Naona Peter Msigwa alipokuwa mbunge hakuwekeza.
Siku hizi hayuko sawa kisaikolojia ukimfuatilia twits zake anajiongelesha mwenyewe.
Kwasasa anasaka uungwaji mkono ccm na apewe nafasi.
Hoja yake sio mbaya lkn nia yake inaweza kuwa ovu.
 
Back
Top Bottom