Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Kwa mwenye ufahamu wa kawaida nikwamba Mch Peter Msigwa amesha jielekeza kibla (ccm) kama mbuzi wa kafara.
Sasa si bora angenunuliwa Kipindi cha Jiwe sijui Mkwewe au Mjomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mwenye ufahamu wa kawaida nikwamba Mch Peter Msigwa amesha jielekeza kibla (ccm) kama mbuzi wa kafara.
KATIBA mpya itatatua Hilo, sisi wenye Nchi lazima tuvielekeze vyama vyote kuungana pamoja ktk kila HOJA yenye maslah mapana ya NCHI.Msigwa ananisha huko Chadema wamepiga marufuki makada wake kusifia chochote akifanyacho kada wa CCM
Jibu ni rahisi kabisa, keshakichoka hicho chama ambacho yupo. Siku yoyote atarudisha ka
mi ni miongoni mwa waliomsifia Rais Samia Kwa baadhi ya mambo Kama hili la kuleta demokrasi angalau Kwa asilimia 35 , ni vizuri Kabisa kuona hata ndani ya Chama kuna wanaotofautiana mawazo na yajibiwe Kwa heshima si matusi.
Leo nimemuona Mbunge mstaafu wa Iringa mjini akisifia Royal tour ni jambo Zuri kusifia Kwa kuweka facts zako ila sasa kupitia hii comment yake
View attachment 2205118
Huu ni udhaifu mkubwa sana anaouonyesha Msigwa. Anaongea maoni yake, mwingine ana ya kwake, wengine wana ya kwao. Sasa kuna dhambi katika kutofautiana midimamo ikiwa kila mmoja yupo unique na ana namna yake ya kuyaangalia mambo?
Kwani Chama chake kimetoa msimamo hadi akimbilie kusema hahofii kuitwa kwenye kikao cha Maadili cha Chama?
Huwa ana mawazo mazuri sana, ila kila nikimuangalia hivi sasa, kuna dhamira yupo nayo kwasasa ambayo ipo known only to him, ambayo inanilazimisha kusema kuwa there is something wrong na huyu jamaa
Lwaitama
Dr.Lwaitama mwenyewe hana mwandiko kama huuMzee wangu waswahili wanasema MUDA NI MWALIMU MZURI
Wakati ukifika tutaijua hyo dhamira
Nje ya mada wewe n Dr lwaitama ninayemfahamu au mwingine?
Huyu anaweza kuwa mjukuu.. Huwa napumba sana huyu jamaa..Mzee wangu waswahili wanasema MUDA NI MWALIMU MZURI
Wakati ukifika tutaijua hyo dhamira
Nje ya mada wewe n Dr lwaitama ninayemfahamu au mwingine?
Sisi wenye nchi!!andiko kubwa Sana Hilo!Bila shaka unakunywa kahawa kabisa na FDR!!na anakutambua WEWE ni nani!!KATIBA mpya itatatua Hilo, sisi wenye Nchi lazima tuvielekeze vyama vyote kuungana pamoja ktk kila HOJA yenye maslah mapana ya NCHI.
Hahahaa! hiyo ya kulipa mishahara wanae,nimewahi kusikia.Laitwama mtata Sana Kuna siku kaniomba lift kwenda kwake majumba 20 Changanyikeni alafu kaanza nifokea nadhan huyu jamaa ni psychiatric fulani na analipa wanae mishahara while still students bythen 2006