Lyatonga Mrema adaiwa kupora mke wa mtu

Acheni Wivu
 
Huyo anaesema ndoa ni batili kauli yake ndo batili.

Mrema hakufunga ndoa kwa siri, ilitangazwa mara kadhaa na hakuna pingamizi lililowekwa kabla na hata wakati wa kufungwa ndoa kanisani.

Huyo ndg yake Doreen ni marioo atakuwa alikuwa analishwa na dada yake sasa imefika mwisho atafute za kwake
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee mrema figisu haachagi usikute yeye ndo alimtoa kwenye ndoa fanya mume wamtu afukuzwe kazi
Hivi aliyekuwa polisi ni huyu mama au mumewe?... maana kama alifumaniwa huko polisi ina maana huyu mama ni balaa.

Na wakati huo Mrema alikuwa waziri wa mambo ya ndani.
 
Ile miwani nyeusi badala ya shela ilikuwa inaficha jambo lililopo nyuma ya pazia.

Ila huyo mme wa zamani sii kwamba hakuwa anajua kinachoendelea hapana!

Atakua alijua kila kitu ila kelele za sasa ni uthibitisho kwa dunia kutia muhuri wa kuachana kwao.
 
Dada mmbea wewe
 
Kwani huyo mumewe anasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…