Acheni WivuNdoa ya Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Mrema imeibua utata na kusemekana kuwa ni batili kufuatia uwepo wa madai kuwa mwanamke aliyefunga nae ndoa, Doreen Kimbi, ni mke wa mtu.
Inasemekana kwamba katika hafla fupi iliyofanyika baada ya ndoa hiyo iliyofungwa katika Kijiji cha Kiraracha, Marangu, haikuhudhuriwa na ndugu wa
kuishi Moshi ambako alifungua biashara ya maua na upishi, hizo biashara zingine alizosema kwa kweli hatuzifahamu,” alisema ndugu huyo.
Nani sasa mkuu mimi?Mzee hata fungate hajakula vizuri mmeanza chokochoko [emoji849]
Watanzania tuna muda na mambo ya kipuuzi lakini ikija kwenye maendeeo na uzalishaji tunataka serikali ifanye yenyewe
Huyo anaesema ndoa ni batili kauli yake ndo batili.Ina maaana Mrema na ushushu wake hakufanya due dilligence?
Sasa mbona anadaiwa kupora mke wa mtu?
[emoji116]
Ndoa ya Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Mrema imeibua utata na kusemekana kuwa ni batili kufuatia uwepo wa madai kuwa mwanamke aliyefunga nae ndoa, Doreen Kimbi, ni mke wa mtu.
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, ndugu wa karibu wa mwanamke huyo amesema hawakupewa taarifa juu ya ndoa hiyo na wameshangazwa kuona picha za ndugu yao akila kiapo cha pili cha ndoa.
Taarifa zinaeleza kuwa Doreen alifunga ndoa na Fredrick Mushi katika Kanisa Katoliki la Kristu Mfalme, Tabata mkoani Dar es Salaam na kujaaliwa mtoto mmoja, na baadaye kushindwa kuendelea na maisha ya ndoa baada ya kudaiwa kuwa mumewe aliondolewa kazini na kushindwa kuihudumia vema familia yake.
“Mwaka 2019 mwanamke baada ya kuona kuwa ndiye anayemlea mume, akamkimbia na kwenda kuishi Moshi ambako alifungua biashara ya maua na upishi, hizo biashara zingine alizosema kwa kweli hatuzifahamu,” alisema ndugu huyo.
Hata hivyo ameendelea kueleza kuwa wanashindwa kuelewa lengo la ndugu yao kuolewa na Mrema, hasa ikizingatiwa kuwa bado hajaachana rasmi na mumewe wa awali kwa mujibu wa taratibu za kanisa.
Kwa mujibu wa ndugu wa Doreen, wanasema wameshangazwa juu ya kauli ya Mrema kuwa alifika nyumbani na kukubaliana kuhusu mahari bila wazazi, kaka na dada zake kujua chochote.
“Hilo la mahari hatujui nani kapokea, kwa sababu huyu ni ndugu yetu lazima tujitokeze kushiriki na kufahamu taratibu gani zimefuatwa kuvunja ndoa yake ya kwanza.
Hatujawahi kusikia wala kuhisi kuwa ndugu yetu ataolewa mara ya pili maana alikuwa na uhusiano wa karibu na mumewe wa kwanza,” ameeleza mwanafamilia.
Hata hivyo inaelezwa kuwa katika hafla fupi iliyofanyika baada ya ndoa hiyo iliyofungwa katika Kijiji cha Kiraracha, Marangu, haikuhudhuriwa na ndugu wa damu wa Doreen, isipokuwa marafiki zake wachache.
Kukubaliana na upuuzi wa gazeti na kutuwekea humuSasa kosa langu nini?
Unaijua hela ww?Huyo mume feki mbona hakuweka pingamizi la ndoa? Ndoa imetangazwa kwa siku 21, alikuwa wapi?
Mmh kwahiyo ukweli ni upi ss?
Sikuhizi mapingamizi km anaeoa ana hela hayafanyi kazi,ilikuwa zamani pingamiziHuyo mwenye mke nae fala tu,
Hivi mkewe anaanza kuliwa hadi kupanga harusi yeye alikuwa wapi?
Ndy hao wanaotelekeza mke na kusubiri mwenza akiolewa wanaweka pingamizi.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapa ndio unaona ndugu katika familia zetu za kimaskini walivyo wapumbavu. Yani kwenye familia kuna watu wamekaa baki wanaangalia nani kafanya nini ili waibuke huko mafichoni walipo na kuongea blah blah, na kusema wao ndio ndugu wa flani,
Nina uhakika kama angefunga ndoa na choka mbaya hakuna ndugu ambaye angejitokeza , sasa huyo ni Mrema tu, je angekua mtu kama Kimei au mtu mwenye pesa zake nyingi si wangeuana
[emoji23][emoji23]Kwa wachaga unaweza kuta huyo mumewe wa zamani ndio alikuwa mshenga wa Mrema!
[emoji23]ILA NDOA ZA WACHAGA, ACHA WAFUNGE WAO KWA WAO!
[emoji23]ataongea nn wakati hana hela mkuuBaadhi ya vitu vinavyoshusha hadhi magazeti ni Kama hivi. Kwanini mmtafute ndugu wa karibu wakati wahusika wapo.
Huyo mme hawezi kuongea ?
Hivi aliyekuwa polisi ni huyu mama au mumewe?... maana kama alifumaniwa huko polisi ina maana huyu mama ni balaa.Mzee mrema figisu haachagi usikute yeye ndo alimtoa kwenye ndoa fanya mume wamtu afukuzwe kazi
Kwa hiyo Mrema ametumia hela?Unaijua hela ww?
Kuna ndoa nyingi tu za kanisani ,zilizofungwa mara ya pili pamoja na pingamizi sbb ya hela!
Acahana kabisa na hela!
Sijasema mrema,ila nakwambia hali halisi ya ss!Kwa hiyo Mrema ametumia hela?
Dada mmbea weweIna maaana Mrema na ushushu wake hakufanya due dilligence?
Sasa mbona anadaiwa kupora mke wa mtu?
👇
Ndoa ya Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Mrema imeibua utata na kusemekana kuwa ni batili kufuatia uwepo wa madai kuwa mwanamke aliyefunga nae ndoa, Doreen Kimbi, ni mke wa mtu.
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, ndugu wa karibu wa mwanamke huyo amesema hawakupewa taarifa juu ya ndoa hiyo na wameshangazwa kuona picha za ndugu yao akila kiapo cha pili cha ndoa.
Taarifa zinaeleza kuwa Doreen alifunga ndoa na Fredrick Mushi katika Kanisa Katoliki la Kristu Mfalme, Tabata mkoani Dar es Salaam na kujaaliwa mtoto mmoja, na baadaye kushindwa kuendelea na maisha ya ndoa baada ya kudaiwa kuwa mumewe aliondolewa kazini na kushindwa kuihudumia vema familia yake.
“Mwaka 2019 mwanamke baada ya kuona kuwa ndiye anayemlea mume, akamkimbia na kwenda kuishi Moshi ambako alifungua biashara ya maua na upishi, hizo biashara zingine alizosema kwa kweli hatuzifahamu,” alisema ndugu huyo.
Hata hivyo ameendelea kueleza kuwa wanashindwa kuelewa lengo la ndugu yao kuolewa na Mrema, hasa ikizingatiwa kuwa bado hajaachana rasmi na mumewe wa awali kwa mujibu wa taratibu za kanisa.
Kwa mujibu wa ndugu wa Doreen, wanasema wameshangazwa juu ya kauli ya Mrema kuwa alifika nyumbani na kukubaliana kuhusu mahari bila wazazi, kaka na dada zake kujua chochote.
“Hilo la mahari hatujui nani kapokea, kwa sababu huyu ni ndugu yetu lazima tujitokeze kushiriki na kufahamu taratibu gani zimefuatwa kuvunja ndoa yake ya kwanza.
Hatujawahi kusikia wala kuhisi kuwa ndugu yetu ataolewa mara ya pili maana alikuwa na uhusiano wa karibu na mumewe wa kwanza,” ameeleza mwanafamilia.
Hata hivyo inaelezwa kuwa katika hafla fupi iliyofanyika baada ya ndoa hiyo iliyofungwa katika Kijiji cha Kiraracha, Marangu, haikuhudhuriwa na ndugu wa damu wa Doreen, isipokuwa marafiki zake wachache.
Sasa kumbe walishaachana, tatizo liko wapi hapo?