Lyatonga Mrema adaiwa kupora mke wa mtu

Watoto wa Mrema waende mahakamani kunullfy hii ndoa. Doreen alifunga ndoa mpya wakati ana ndoa tayari na Mr Mushi.
 
Watoto wa Mrema waende mahakamani kunullfy hii ndoa. Doreen alifunga ndoa mpya wakati ana ndoa tayari na Mr Mushi.

Tatizo watu wa nje tunapenda kuongea kwa kuhisi. Mambo ya ndoa ni siri ya wanandoa. Si ajabu divorce ipo.

Hata kwa Jack watu walisemaga hivi hivi kwamba Mengi ana ndoa halali na mke wa kwanza. Ndoa ya Jack ni ndoa batili.

Juzi ndio Ukweli ukajulikana kwamba Mengi alikuwa na divorce na mke mkubwa na ndoa ya Jack ni ndoa halali.
 
Ya Mengi divorce ya nje ya mahakama inamaanisha nini? Hata Mengi alikuwa hajamtaliki mkewe though aliomba divorce. Kuna kitu hapa wewe subiri utaona.
 
Ya Mengi divorce ya nje ya mahakama inamaanisha nini ?Hata Mengi alikuwa hajamtaliki mkewe though aliomba divorce. Kuna kitu hapa wewe subiri utaona.
Ya Mengi divorce ya nje ya mahakama inamaanisha nini ?Hata Mengi alikuwa hajamtaliki mkewe though aliomba divorce. Kuna kitu hapa wewe subiri utaona.

Mahakama ya wilaya ya Kinondoni ilivunja ndoa ya kwanza ya Mengi mwaka 2015. Mahakama ilitoa hati ya talaka.
 
Mahakama ya wilaya ya kinondoni ilivunja ndoa ya kwanza ya Mengi mwaka 2015. Mahakama ilitoa hati ya talaka

Ukisoma kwa undani hapo kuna kitu. Any way tusubiri. Pia kwani Jack na Mengi walifunga ndoa lini ?
 
View attachment 2338340
Ukisoma kwa undani hapo kuna kitu. Any way tusubiri. Pia kwani Jack na Mengi walifunga ndoa lini ?

Haijalishi walifunga ndoa lini. Lakini serikali na kanisa la KKKT ambalo mengi alikuwa muumini linaitambua ndoa ya Jack na Mengi..

Sasa kama kanisa linatambua. Na serikali inatambua.. mwingine ni nani aseme sio ndoa halali. Wakati Taasisi zote zinaitambua.

Ni sheria gani ya ndoa inayosema ndoa ya jack na mengi sio halali.. maana ndoa ni mkataba wa kisheria.. sheria ya ndoa inapinga wapi ?
 
We hakuna narudia Tena hakuna kanisa lolote la kkkt linalotambua ndoa ya mengi na jack!

Km walikuwa wanatambua ungeona wamefunga hapa nyumbani baada ya kutoka kufunga huko nje ya nchi!

Roman, Lutheran (kkkt), Anglican....
Hawavunji ndoa,watakushauri,watakuzungusha wee mpk utachoka....
Ndoa zinavunjwa mahamani na kanisa halihusiki kabisa!
Ndo maana hata km una divorce ya mahakamani Romani, kkkt hufungi ndoa unless otherwise "PESA" itumike Kwa baadhi ya wachungaji wajinga wajinga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…