Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo naona mke wake anawatolea macho masponsor wa CCM
Anafuatilia hotuba kwa makinihapo naona mke wake anawatolea macho masponsor wa CCM
Muda wa Mbowe kuhudhurua mkutano Mkuu CCM umewadia,aache kuwahadaa makamandaMwenyekiti wa TLP Augustino Lyatonga Mrema , ameonekana kwenye Mkutano Mkuu wa ccm Jijini Dodoma akiwa na Mkewe , ambapo baada ya kuingia alishangiliwa kwa nguvu na Wajumbe wa Mkutano huo , kiasi cha kukatiza hotuba ya Mwenyekiti wa ccm Samia Suluhu...
Bi.mkubwa lazima hapo atengeneze michakato ya connection na wadau, mzee wa watu ana sukari hana tabu na mtu πhapo naona mke wake anawatolea macho masponsor wa CCM
Na wake zao ?Vyama zalendo vyote vimealikwa
π π π π πhapo naona mke wake anawatolea macho masponsor wa CCM
Hivi huyu dada naye zinamtosha kweli?Mwenyekiti wa TLP Augustino Lyatonga Mrema , ameonekana kwenye Mkutano Mkuu wa ccm Jijini Dodoma akiwa na Mkewe , ambapo baada ya kuingia alishangiliwa kwa nguvu na Wajumbe wa Mkutano huo , kiasi cha kukatiza hotuba ya Mwenyekiti wa ccm Samia Suluhu.
Bado haijafahamika kama Mrema amehudhuria Mkutano huo kama Mgeni mwalikwa , ama kama Mwanaccm , Mwenyekiti wa TLP au amehudhuria kama sehemu ya fungate baada ya kufunga ndoa kabambe hivi karibuni.
View attachment 2171416
Mambo ya aibu snMhe.Rais katambua Uwepo wa Mzee Lyatonga na Bibie
Wapo akina Kinana watamshughulikiaBi.mkubwa lazima hapo atengeneze michakato ya connection na wadau, mzee wa watu ana sukari hana tabu na mtu π
Kwani ni dhambi kuwa CHADEMA? hivi wahudumu na walinzi hakuna kazi leo CHAMWINO?Unaweza kukuta mke wa Mrema ni Chadema.
Wachaga tuna vituko sana bwashee!