Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni tawi la CCM kama matawi mengineTaarifa ya CAG imekipa hati chafu chama cha TLP.
Mzee ameuchapa usingizi, nyuma ya mkewe kuna mjamaa anamkodolea macho mama.Mwenyekiti wa TLP Augustino Lyatonga Mrema , ameonekana kwenye Mkutano Mkuu wa ccm Jijini Dodoma akiwa na Mkewe , ambapo baada ya kuingia alishangiliwa kwa nguvu na Wajumbe wa Mkutano huo , kiasi cha kukatiza hotuba ya Mwenyekiti wa ccm Samia Suluhu.
Bado haijafahamika kama Mrema amehudhuria Mkutano huo kama Mgeni mwalikwa , ama kama Mwanaccm , Mwenyekiti wa TLP au amehudhuria kama sehemu ya fungate baada ya kufunga ndoa kabambe hivi karibuni.
View attachment 2171416
Vyama vina wake zao?Na wake zao ?
Mke wa Mrema apewe uteuzi ili amtunze vizuri mzee wetu.ana madhaifu yske lakini alifanya kazi ya kutukuka sana katika nchi hii.Mwenyekiti wa TLP Augustino Lyatonga Mrema , ameonekana kwenye Mkutano Mkuu wa ccm Jijini Dodoma akiwa na Mkewe , ambapo baada ya kuingia alishangiliwa kwa nguvu na Wajumbe wa Mkutano huo , kiasi cha kukatiza hotuba ya Mwenyekiti wa ccm Samia Suluhu.
Bado haijafahamika kama Mrema amehudhuria Mkutano huo kama Mgeni mwalikwa , ama kama Mwanaccm , Mwenyekiti wa TLP au amehudhuria kama sehemu ya fungate baada ya kufunga ndoa kabambe hivi karibuni.
View attachment 2171416
Hata situlii.Tulia wewee
Akili za wadangaji mnahisi kila mwanamke ni mdangaji,wengine sio wadangaji ni wanawake wanajiheshimu na wanaojua thamani yao na future yao.hapo naona mke wake anawatolea macho masponsor wa CCM
Mama hajali hayoTaarifa ya CAG imekipa hati chafu chama cha TLP.
Mke wa Mrema ni mke wa chama cha TLP ?Vyama vina wake zao?
Mrema kalengamkewe anaonekana hata kimavazi yupo smart sna na umri ni mtu mzima haswaa
na wengi waliokuwa wanamcheka huyu mzee ni migume gume inayokimbiwa hayaolewi
Abas Talimba [emoji23] [emoji23]Mzee ameuchapa usingizi, nyuma ya mkewe kuna mjamaa anamkodolea macho mama.
Muda wa Mbowe kuhudhurua mkutano Mkuu CCM umewadia,aache kuwahadaa makamanda
AiseeMhe.Rais katambua Uwepo wa Mzee Lyatonga na Bibie
Marehemu hasemwi vibaya.Mrema Kigeugeu
wakumbusheMarehemu hasemwi vibaya.