Lyatonga Mrema: CCM wamenichezea rafu Uchaguzi Serikali za Mitaa, aonya

Lyatonga Mrema: CCM wamenichezea rafu Uchaguzi Serikali za Mitaa, aonya

Hivi huyu hata shamba la migomba hana? Basi achome mbuzi mbona wachaga wengine tu km yeye wako hapa wanauza supu ya kongoro
 
Mwenyekiti wa TLP amesema CCM na wasimamizi wa serikali za mitaa wamemchezea rafu, anasema mfano Moshi, mawakala wa chama chake wameondolewa kwenye vituo vya kupigia kura.

Ameonya kama hali ndo hii, kuna uwezekano wa kutokea machafuko huko mbeleni.
****

Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukiendekea katika kijiji cha Kiraracha, jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, mwenyekiti wa TLP, Agustino Lyatonga Mrema, amelalamika kufanyiwa hujuma na baadhi ya mawakala wake kuondolewa kwenye vituo.

Mrema ameyasema hayo leo wakati akizungumza kuhusu uchaguzi huo, ambapo amesema hatendewi haki licha ya kuwa na kijiji kimoja pekee.

Mrema ambaye anashiriki katika uchaguzi kwenye kijiji cha Kiraracha pekee ambako ndiko anakoishi, akichuana na CCM, amedai kuwa aliamua kushiriki uchaguzi huo ili kumsaidia Rais John Magufuli lakini hajatendewa haki.

"Hali ni mbaya, kwani mimi nilikuja kushiriki uchaguzi huu kwa nia njema kumsaidia Rais wangu kwa sababu walitaka kuonyesha kuwa hakuna utawala bora, watu walisusa na kugoma, mimi nikasema ingawa sina halmashauri nibaki na kijiji hiki kimoja."

Aliongeza, “nilisema ushindani uwe kwenye sanduku la kura, lakini haikutokea hivyo, magari yote ya serikali ya Moshi yamehamia Kiraracha, kuna mawakala wangu wametolewa kwenye vituo, hali ikiwa hivi nchi itaharibika."

Akizungumzia malalamiko hayo, msimamizu wa uchaguzi Moshi Vijijini, Juma Tukosa, amesema hali inakwenda vizuri na wakala anayemlalamikia Mrema, alikuwa anakunywa pombe katika eneo la kituo na kuambiwa aziondoe, ndipo alipoanza kulalamika anaondolewa kituoni.

"Hakuna wakala aliyeondolewa, ila katika kituo kimoja wakala wa TLP, alikuwa na bia tatu ndani ya kituo, alipoambiwa aziondie bia hizo, akaanza kulalamika anaondolewa lakini hajaondolewa bado yupo kituoni," amesema Tukosa.

View attachment 1271804
Mzee pole aisee
 
Mwenyekiti wa TLP amesema CCM na wasimamizi wa serikali za mitaa wamemchezea rafu, anasema mfano Moshi, mawakala wa chama chake wameondolewa kwenye vituo vya kupigia kura.

Ameonya kama hali ndo hii, kuna uwezekano wa kutokea machafuko huko mbeleni.
****

Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukiendekea katika kijiji cha Kiraracha, jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, mwenyekiti wa TLP, Agustino Lyatonga Mrema, amelalamika kufanyiwa hujuma na baadhi ya mawakala wake kuondolewa kwenye vituo.

Mrema ameyasema hayo leo wakati akizungumza kuhusu uchaguzi huo, ambapo amesema hatendewi haki licha ya kuwa na kijiji kimoja pekee.

Mrema ambaye anashiriki katika uchaguzi kwenye kijiji cha Kiraracha pekee ambako ndiko anakoishi, akichuana na CCM, amedai kuwa aliamua kushiriki uchaguzi huo ili kumsaidia Rais John Magufuli lakini hajatendewa haki.

"Hali ni mbaya, kwani mimi nilikuja kushiriki uchaguzi huu kwa nia njema kumsaidia Rais wangu kwa sababu walitaka kuonyesha kuwa hakuna utawala bora, watu walisusa na kugoma, mimi nikasema ingawa sina halmashauri nibaki na kijiji hiki kimoja."

Aliongeza, “nilisema ushindani uwe kwenye sanduku la kura, lakini haikutokea hivyo, magari yote ya serikali ya Moshi yamehamia Kiraracha, kuna mawakala wangu wametolewa kwenye vituo, hali ikiwa hivi nchi itaharibika."

Akizungumzia malalamiko hayo, msimamizu wa uchaguzi Moshi Vijijini, Juma Tukosa, amesema hali inakwenda vizuri na wakala anayemlalamikia Mrema, alikuwa anakunywa pombe katika eneo la kituo na kuambiwa aziondoe, ndipo alipoanza kulalamika anaondolewa kituoni.

"Hakuna wakala aliyeondolewa, ila katika kituo kimoja wakala wa TLP, alikuwa na bia tatu ndani ya kituo, alipoambiwa aziondie bia hizo, akaanza kulalamika anaondolewa lakini hajaondolewa bado yupo kituoni," amesema Tukosa.

View attachment 1271804
Safi sana kwani wenzako wakati wanajitoa ulikuwa wapi? Si ulishabikia ukoo wa panya? Wacha uione NGONDOIGWA.
 
Utavuna ulichopanda
Mwenyekiti wa chama cha TLP, Agustino Mrema amesema atalalamika kwa Rais @Magufu ( 339 X 640 ).jpg
 
Mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema amedai Tanzania hakuna demokrasia baada ya kuchezewa rafu katika kijiji cha Kiraracha.

Amesema chama chake kilishiriki uchaguzi ili kuonyesha dunia kuwa Tanzania kuna demokrasia lakini alichofanyiwa katika kijiji hicho amekata tamaa.
images.jpeg.jpg


Jogoo kapandwa anasubiri kutaga mayai
 
Mwenyekiti wa TLP amesema CCM na wasimamizi wa serikali za mitaa wamemchezea rafu, anasema mfano Moshi, mawakala wa chama chake wameondolewa kwenye vituo vya kupigia kura.

Ameonya kama hali ndo hii, kuna uwezekano wa kutokea machafuko huko mbeleni.
****

Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukiendekea katika kijiji cha Kiraracha, jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, mwenyekiti wa TLP, Agustino Lyatonga Mrema, amelalamika kufanyiwa hujuma na baadhi ya mawakala wake kuondolewa kwenye vituo.

Mrema ameyasema hayo leo wakati akizungumza kuhusu uchaguzi huo, ambapo amesema hatendewi haki licha ya kuwa na kijiji kimoja pekee.

Mrema ambaye anashiriki katika uchaguzi kwenye kijiji cha Kiraracha pekee ambako ndiko anakoishi, akichuana na CCM, amedai kuwa aliamua kushiriki uchaguzi huo ili kumsaidia Rais John Magufuli lakini hajatendewa haki.

"Hali ni mbaya, kwani mimi nilikuja kushiriki uchaguzi huu kwa nia njema kumsaidia Rais wangu kwa sababu walitaka kuonyesha kuwa hakuna utawala bora, watu walisusa na kugoma, mimi nikasema ingawa sina halmashauri nibaki na kijiji hiki kimoja."

Aliongeza, “nilisema ushindani uwe kwenye sanduku la kura, lakini haikutokea hivyo, magari yote ya serikali ya Moshi yamehamia Kiraracha, kuna mawakala wangu wametolewa kwenye vituo, hali ikiwa hivi nchi itaharibika."

Akizungumzia malalamiko hayo, msimamizu wa uchaguzi Moshi Vijijini, Juma Tukosa, amesema hali inakwenda vizuri na wakala anayemlalamikia Mrema, alikuwa anakunywa pombe katika eneo la kituo na kuambiwa aziondoe, ndipo alipoanza kulalamika anaondolewa kituoni.

"Hakuna wakala aliyeondolewa, ila katika kituo kimoja wakala wa TLP, alikuwa na bia tatu ndani ya kituo, alipoambiwa aziondie bia hizo, akaanza kulalamika anaondolewa lakini hajaondolewa bado yupo kituoni," amesema Tukosa.

View attachment 1271804
msema kwel mpenz wa mungu, huu uzi sijasoma nimeishia tu kutaman hako ka kiuno hapo avatan
 
Huyu mrema ameanza kutumiwa na mabeberu kuichafua nchi. Atulie tufanye maendeleo
 
Huyo anatuenjoi hana lolote ili mradi tu aonekana yuko upande wa pili.
 
Mwenyekiti wa TLP amesema CCM na wasimamizi wa serikali za mitaa wamemchezea rafu, anasema mfano Moshi, mawakala wa chama chake wameondolewa kwenye vituo vya kupigia kura.

Ameonya kama hali ndo hii, kuna uwezekano wa kutokea machafuko huko mbeleni.
****

View attachment 1271804


Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukiendekea katika kijiji cha Kiraracha, jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, mwenyekiti wa TLP, Agustino Lyatonga Mrema, amelalamika kufanyiwa hujuma na baadhi ya mawakala wake kuondolewa kwenye vituo.

Mrema ameyasema hayo leo wakati akizungumza kuhusu uchaguzi huo, ambapo amesema hatendewi haki licha ya kuwa na kijiji kimoja pekee.

Mrema ambaye anashiriki katika uchaguzi kwenye kijiji cha Kiraracha pekee ambako ndiko anakoishi, akichuana na CCM, amedai kuwa aliamua kushiriki uchaguzi huo ili kumsaidia Rais John Magufuli lakini hajatendewa haki.

"Hali ni mbaya, kwani mimi nilikuja kushiriki uchaguzi huu kwa nia njema kumsaidia Rais wangu kwa sababu walitaka kuonyesha kuwa hakuna utawala bora, watu walisusa na kugoma, mimi nikasema ingawa sina halmashauri nibaki na kijiji hiki kimoja."

Aliongeza, “nilisema ushindani uwe kwenye sanduku la kura, lakini haikutokea hivyo, magari yote ya serikali ya Moshi yamehamia Kiraracha, kuna mawakala wangu wametolewa kwenye vituo, hali ikiwa hivi nchi itaharibika."

Akizungumzia malalamiko hayo, msimamizu wa uchaguzi Moshi Vijijini, Juma Tukosa, amesema hali inakwenda vizuri na wakala anayemlalamikia Mrema, alikuwa anakunywa pombe katika eneo la kituo na kuambiwa aziondoe, ndipo alipoanza kulalamika anaondolewa kituoni.

"Hakuna wakala aliyeondolewa, ila katika kituo kimoja wakala wa TLP, alikuwa na bia tatu ndani ya kituo, alipoambiwa aziondie bia hizo, akaanza kulalamika anaondolewa lakini hajaondolewa bado yupo kituoni," amesema Tukosa.
Sijui na Lowasa ndio atakuja kuwa hivi!! Huyu mzee tangu aukose urais, hajawahi kuwa sawa. Ni juzi alisema halmashauri kuu ya TLP imemteua Rais Magufuli kuwa mgombea, leo anasema "kwakuwa hatuna halmashauri..." Aliyeelewa anisaidie. Halafu sijaelewa kuwa yeye ndio alikuwa mgombea ama meneja kampeni?
 
Mwenyekiti wa TLP amesema CCM na wasimamizi wa serikali za mitaa wamemchezea rafu, anasema mfano Moshi, mawakala wa chama chake wameondolewa kwenye vituo vya kupigia kura.

Ameonya kama hali ndo hii, kuna uwezekano wa kutokea machafuko huko mbeleni.
****

View attachment 1271804


Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukiendekea katika kijiji cha Kiraracha, jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, mwenyekiti wa TLP, Agustino Lyatonga Mrema, amelalamika kufanyiwa hujuma na baadhi ya mawakala wake kuondolewa kwenye vituo.

Mrema ameyasema hayo leo wakati akizungumza kuhusu uchaguzi huo, ambapo amesema hatendewi haki licha ya kuwa na kijiji kimoja pekee.

Mrema ambaye anashiriki katika uchaguzi kwenye kijiji cha Kiraracha pekee ambako ndiko anakoishi, akichuana na CCM, amedai kuwa aliamua kushiriki uchaguzi huo ili kumsaidia Rais John Magufuli lakini hajatendewa haki.

"Hali ni mbaya, kwani mimi nilikuja kushiriki uchaguzi huu kwa nia njema kumsaidia Rais wangu kwa sababu walitaka kuonyesha kuwa hakuna utawala bora, watu walisusa na kugoma, mimi nikasema ingawa sina halmashauri nibaki na kijiji hiki kimoja."

Aliongeza, “nilisema ushindani uwe kwenye sanduku la kura, lakini haikutokea hivyo, magari yote ya serikali ya Moshi yamehamia Kiraracha, kuna mawakala wangu wametolewa kwenye vituo, hali ikiwa hivi nchi itaharibika."

Akizungumzia malalamiko hayo, msimamizu wa uchaguzi Moshi Vijijini, Juma Tukosa, amesema hali inakwenda vizuri na wakala anayemlalamikia Mrema, alikuwa anakunywa pombe katika eneo la kituo na kuambiwa aziondoe, ndipo alipoanza kulalamika anaondolewa kituoni.

"Hakuna wakala aliyeondolewa, ila katika kituo kimoja wakala wa TLP, alikuwa na bia tatu ndani ya kituo, alipoambiwa aziondie bia hizo, akaanza kulalamika anaondolewa lakini hajaondolewa bado yupo kituoni," amesema Tukosa.
Je hakujua kama alikuwa amemkumbatia nungunungu?
 
ma ma e ataisoma namba..mnafiki ka mrema hata nikimkuta analia namuongezea mkong'oto
 
ma ma e ataisoma namba..mnafiki ka mrema hata nikimkuta analia namuongezea mkong'oto
 
Nimeeecheeekaaaak
Mwenyekiti wa TLP amesema CCM na wasimamizi wa serikali za mitaa wamemchezea rafu, anasema mfano Moshi, mawakala wa chama chake wameondolewa kwenye vituo vya kupigia kura.

Ameonya kama hali ndo hii, kuna uwezekano wa kutokea machafuko huko mbeleni.
****

View attachment 1271804


Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukiendekea katika kijiji cha Kiraracha, jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, mwenyekiti wa TLP, Agustino Lyatonga Mrema, amelalamika kufanyiwa hujuma na baadhi ya mawakala wake kuondolewa kwenye vituo.

Mrema ameyasema hayo leo wakati akizungumza kuhusu uchaguzi huo, ambapo amesema hatendewi haki licha ya kuwa na kijiji kimoja pekee.

Mrema ambaye anashiriki katika uchaguzi kwenye kijiji cha Kiraracha pekee ambako ndiko anakoishi, akichuana na CCM, amedai kuwa aliamua kushiriki uchaguzi huo ili kumsaidia Rais John Magufuli lakini hajatendewa haki.

"Hali ni mbaya, kwani mimi nilikuja kushiriki uchaguzi huu kwa nia njema kumsaidia Rais wangu kwa sababu walitaka kuonyesha kuwa hakuna utawala bora, watu walisusa na kugoma, mimi nikasema ingawa sina halmashauri nibaki na kijiji hiki kimoja."

Aliongeza, “nilisema ushindani uwe kwenye sanduku la kura, lakini haikutokea hivyo, magari yote ya serikali ya Moshi yamehamia Kiraracha, kuna mawakala wangu wametolewa kwenye vituo, hali ikiwa hivi nchi itaharibika."

Akizungumzia malalamiko hayo, msimamizu wa uchaguzi Moshi Vijijini, Juma Tukosa, amesema hali inakwenda vizuri na wakala anayemlalamikia Mrema, alikuwa anakunywa pombe katika eneo la kituo na kuambiwa aziondoe, ndipo alipoanza kulalamika anaondolewa kituoni.

"Hakuna wakala aliyeondolewa, ila katika kituo kimoja wakala wa TLP, alikuwa na bia tatu ndani ya kituo, alipoambiwa aziondie bia hizo, akaanza kulalamika anaondolewa lakini hajaondolewa bado yupo kituoni," amesema Tukosa.
 
Back
Top Bottom