Lyatonga Mrema: CCM wamenichezea rafu Uchaguzi Serikali za Mitaa, aonya

Hivi huyu hata shamba la migomba hana? Basi achome mbuzi mbona wachaga wengine tu km yeye wako hapa wanauza supu ya kongoro
 
Mzee pole aisee
 
Safi sana kwani wenzako wakati wanajitoa ulikuwa wapi? Si ulishabikia ukoo wa panya? Wacha uione NGONDOIGWA.
 


Jogoo kapandwa anasubiri kutaga mayai
 
msema kwel mpenz wa mungu, huu uzi sijasoma nimeishia tu kutaman hako ka kiuno hapo avatan
 
Huyu mrema ameanza kutumiwa na mabeberu kuichafua nchi. Atulie tufanye maendeleo
 
Huyo anatuenjoi hana lolote ili mradi tu aonekana yuko upande wa pili.
 
Sijui na Lowasa ndio atakuja kuwa hivi!! Huyu mzee tangu aukose urais, hajawahi kuwa sawa. Ni juzi alisema halmashauri kuu ya TLP imemteua Rais Magufuli kuwa mgombea, leo anasema "kwakuwa hatuna halmashauri..." Aliyeelewa anisaidie. Halafu sijaelewa kuwa yeye ndio alikuwa mgombea ama meneja kampeni?
 
Je hakujua kama alikuwa amemkumbatia nungunungu?
 
ma ma e ataisoma namba..mnafiki ka mrema hata nikimkuta analia namuongezea mkong'oto
 
ma ma e ataisoma namba..mnafiki ka mrema hata nikimkuta analia namuongezea mkong'oto
 
Nimeeecheeekaaaak
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…